OnAIR with Millard Ayo ni kipisi kingine kutoka kwenye channel ya Millard Ayo hapa YouTUBE ambacho kitakua kinakukutanisha na mastaa wanaohojiwa na Millard Ayo.
Nimependa san stori hii. Hongera sana Nay. Wewe ni mafano mzuri sana kwa vijana. Ningependelea Vijana wapokee yale ya kujifunza ili waweze kujitegemea kama wewe bro. Mungu akubari bwashee. Na kinainjoi sana mziki wako.
dah haya maisha balaaa bt salute sana ney coz ndo mishe nami napitia saiz alfu nataka kua rapper na watu hawaamini ila najua wataelewa tu ck moja mungu nisaidie
hate him your self but cc wengine we love him and we aprishieti this guy ..ney keep it up never give up kutokupendwa na mtu mmoja ktk kundi haiwez kuzui mafanikio yako ,she or he is not god.
Napenda unampo mtaja mungu na kuamin kun vitu yeye ndiye aliye kuvusha bt Nashangaa Kuna interview et umesem huamin kuhus uislam Wala ukristo kaa..tafakar unayo zungumza..bro haijalishi tunafany zambi kiasi gani haiwez kuw sabb ya kuw mbali na mungu.
Kaka me mshabiki wako sanaaaanakukubali kinoma Japo Kaka Niko na Ngoma nimerecod japo sasa Kaka kushut video ndo shida kakanguuu nakulilia unitoe my brother's
mie sina degree ya Radio presenta ila mbona Milliard anaangalia pembeni 24:21 mara kadhaa ka vile anaharaka au hana interest ya kumhoji ....? nampongeza uyu msanii anamoyo kudoji class kushiriki kwenye mashindano ya mziki alipokua pre-form 1!