msukuma mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu unataka upewe upendeleo maalum kwa kuwa eti wewe ni m kiti wa ccm wa mkoa m kiti wa ccm ndio unaruhusiwa kuvunja sheria na kuhusu ufisadi wa RPC yote ayo ni maneno ya mkosaji kwani unasubiri mpk uwekwe ndani ndio useme maovu ya RPC.
Huyu ndo yule chizi anayeshabikiaga mambo ya kipuuzi yanayofanywa na police kwa upinzani,Leo yamemkuta yeye kidogo tu analalama anataka hadi kufa.....hiyo ndo serikali yenu wehu nyie na ujifunze kuacha kuwabeza wapinzan wanapoonewa na serikali yenu MPUUZI WEWE
Ulikuwa wapi kuyaanika hayo unayotaka kuyasema,acha unafiki msukuma,usiwajibishwe ww ni nan katika nchi hii,acha kulia lia RPC piga kazi # HAPA KAZI TU.
Unabii unaonyesha kwamba huo ndo mwanzo wa machafuko ambayo yatakivaa chama cha CCM na hasa wale wasiyomjua Mungu na huo ni mwanzo tu, yapo yanakuja ni muda umefika Mungu amechoka kuona watu wanamyungu yao kuongoza nchi
sasa mwenyekit wa chama akikosa hastaili kuadhibiwaa? na kama anastahili kuadhibiwa unalalamika nn Kukaa siku mbili maneno yote yanakutoka je ungekaa miezi 6 ingekuwaje
eti rpc ni chadema hahahhahhhaaaaaa, kisa wewe ccm kakukamata hahahahhaa, kwani ccm ndo nini weka ndani wote alafu acha mikwara kwa rpc hahhaaaha eti risasi! nani akupige risasi wewe hakuna mtu wa kukupiga risasi tanzania ni ya amani, alafu kama wewe ni kiongoz bora ni bora uzungumze hadharani kwnini unaficha siri au kupiga mkwara, tumbua basi kama unaweza
hiyo ndio sifa ya darasa zero, huna lolote kazi yako kupiga kelele na kujipendekeza kwa Magufuli, sasa utaamua kurudi shule au kuwa mfurukutwa zaidi wa ccm, kazi yako kuongopea watu eti mimi naungana na raisi Magufuli kwenye vita vya kiuchumi, mbona hilo la Rpc kama ana madudu lilikushinda kuzungumza bungeni? kilichobaki ni kula matapishi yako mwenyewe kwani ulikuwa ukiona raha kuwafika wapinzani eee
Huo ni ubinafsi na tatizo la kuongozwa na hisia. Acha kukidhalilisha chama chako. Kubali tu kuwa hauko juu ya sheria. Ukiendelea kujiona chifu subiri kikao kijacho cha chama ndio utajua.
safi sana na uache kimbelembele kujifanya unajua sana kusema wenzio na kama ungekuwa mzalendo ungesema maovu yake toka mwanzo siyo kupigwa Tanganyika jeki ndo unajifanya kutoa mapovuu
Ningekuwa kiongozi mda huu ungerudi sero, ulikutoa hayo uliyonayo miyoni mwako, kakini yote haya ni uongozi bora wa Dr Rais jpm, Mungu akutie nguvu ili uwe na makamanda wengi km wa geita hii ni ishara kuwa nchi inazidi kuwa Safi, huyo wammkamate aseme aseme, na sheria itende haki....
Ww sheria haina mbuge unakata kote roho mbaya ndo kazi ya jeshi et huna kikao na RPC ww jitafakali mwenyewe na mwenyekiti ukivunja sheria inafata mkondo