Nimependa mazungumzo ya huyu Capt.Magoti. Ni rubani mzoefu na hana papara. Watu kama hawa ndo wanaotakiwa Tanzania. Hongera capt.Magoti. Mungu akupe maisha marefu
Mmefeli sana,huyu rubani angetakiwa kutoa tathmini ya hii ajali iliotokea ya precision, mfano, nini kinaweza kua chanzo, ikitokea dharura kipi cha kufanyika, sasa nyie mnaenda hoji rubani atoe historia yake tuu?? Tunajifunza nini sasa??😒
Kuhusu ajali ya Ndege iliyotokea Mkaoni Kagera tayari serikali imeunda kamati maalam ya kufanya uchaguzi ili kubaini chanzo Cha ajali, kwa sasa kila mtu akifanya tathimin na kuja na majibu yake inaweza kuleta shida. Kwa utaratibu baada ya kamati kuja na ripoti ndiyo watu wanaweza kuhoji na kutoa tathimin yao kulingana na mazingira ya tukio na ripoti ya kamati.