Тёмный

RUBANI MSTAAFU ANENA MAKUBWA KAZI YA KURUSHA NDEGE "HALI YA HEWA MBAYA" 

Uhondo TV
Подписаться 611 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 Год назад
Nimependa mazungumzo ya huyu Capt.Magoti. Ni rubani mzoefu na hana papara. Watu kama hawa ndo wanaotakiwa Tanzania. Hongera capt.Magoti. Mungu akupe maisha marefu
@kaburumacha315
@kaburumacha315 Год назад
Huyu Rubani amenikumbusha Mzee Butiku. Big up sana
@mohamedallympungi9898
@mohamedallympungi9898 Год назад
Capten mwijuma hongera sana nimepata bahati ya kukuona kwara nyingine mungu akubariki sana ni miaka mingi imepita Ally Mohamed Mpungi
@parma786
@parma786 Год назад
Well done my brother I like yours experience as pilot mungu akubariki Amin thanks very much
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 Год назад
RUBANI NIMEMWELEWA SANA VIWANJA HIVYO VYA NEWALA, MASASI NA NACHINGWEA NI KWELI NI VIGUMU KWELI ILA SIKU HIZI AFADHALI
@nassoryusuf6923
@nassoryusuf6923 Год назад
Mashallah
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 Год назад
MashaAllah captain mzuri sana
@leonardsilago4221
@leonardsilago4221 Год назад
Hongera jaji
@maridadifarid9734
@maridadifarid9734 Год назад
Salute to him, Capt.
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 Год назад
Kweli kabisa kwanini utue wakati mahali hapaeleweki vijana wasikuhizi computer zimewafanya kua na mamuzi yakizembe
@jirehpatrick5960
@jirehpatrick5960 Год назад
Huyu Mshua ninoma
@khalfanibobewe4278
@khalfanibobewe4278 Год назад
Shida kwamba ni subra
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Год назад
Hongera ruban lakin tunataka utupe ya bukoba
@babusadala5732
@babusadala5732 Год назад
Huyu rubani ni mwanafunzi wangu alikuwa vzr sana darasani nimemfundisha kurusha ndege huyu ....🤭🤭🤭
@Boaz22
@Boaz22 Год назад
Mmefeli sana,huyu rubani angetakiwa kutoa tathmini ya hii ajali iliotokea ya precision, mfano, nini kinaweza kua chanzo, ikitokea dharura kipi cha kufanyika, sasa nyie mnaenda hoji rubani atoe historia yake tuu?? Tunajifunza nini sasa??😒
@geofreymtasingwa742
@geofreymtasingwa742 Год назад
Hajaulizwa swali hilo namuandishi
@rukanugachiza4672
@rukanugachiza4672 Год назад
Kuhusu ajali ya Ndege iliyotokea Mkaoni Kagera tayari serikali imeunda kamati maalam ya kufanya uchaguzi ili kubaini chanzo Cha ajali, kwa sasa kila mtu akifanya tathimin na kuja na majibu yake inaweza kuleta shida. Kwa utaratibu baada ya kamati kuja na ripoti ndiyo watu wanaweza kuhoji na kutoa tathimin yao kulingana na mazingira ya tukio na ripoti ya kamati.
@HotBeautifulGirl269
@HotBeautifulGirl269 Год назад
Sio kazi yakeee kuna mamraka inayooo usika na taharifaaaa hzi hap wanakusanya mawazoo tuuu mkuuu
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 Год назад
Kaeleweka vizuri sana,ukumsikiliza vizuri unapata idea ya what might have been the cause of that unfortunate flight.
@stellahmichael789
@stellahmichael789 Год назад
​@@rukanugachiza4672
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Bed weather
@fridageorge2809
@fridageorge2809 Год назад
Hiyo ni lugha tu haiondoi ujuzi hata angeongea kijita ungeelewa tu!
@anajohn8132
@anajohn8132 Год назад
HAHAHAHAHA
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 Год назад
What's Wrong...?
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂We ndo unaelewa herufi za kizungu.Nomaaa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
@@niwemugenimediatrice5640 anatuchanganya Mzee baba
@majaliwamj872
@majaliwamj872 Год назад
Dd
@abrahamreginald8118
@abrahamreginald8118 Год назад
huyu si ndiye aLiyerusha ile ndege ya shujaa wetu majaliwa jamani!. ila naskia alichomoka na parachuti dadadeki.
Далее