Ningepata pressure kupeleka ndege juu mabawa yanapiga kelele. Huyu mzee very genius. Halafu tendo la kuwadanganya watekaji nampa big up.Angekwenda kufundisha mambo ya usalama mbona bado ananguvu.
Mtangazaji ameshindwa huyu aendelee kuripoti zile kesi 😂 , mahojiano ya ana kwa ana hayawez, anamkatisha sana mhojiwa na kumpoteza kwenye maaudhui husika wakati mwingine, global mfanyie kazi hili.
Mwandishi Msomi....Duh. ....Ivi faida ya usomi Wako kwenye hiki kipindi uko Wapi. ...Unaaribu kazi. ...kumbuka unafanya kazi kwaajili ya Wananchi Sasa Usitake uonekane Unajua saana Mwachie mzee Aelezee. ...Maswali Hapo Nimengi sana. .....Unatuboa. ...Hakuna chausomi Hapo. ...Umefeli Sana. .....Samahani lakini. ...Unafaa Za Mahakamani tu.
Mwandishi punguza maswali kwa mzee bwana. Hili jandishi LA habari LA ovyo sana linamkatisha sana rubani mstaafu. Namchukia sana huyu mwandishi hafai kufanya interview na watu.
Nashauri kajifunze vizuri kuhoji then uje kurudia tena story pia yule jamaa aliyeteka hiyo Ndege mwaka huo 88 nafikiri yupo zanzibar njia panda waliwahi kumuhoji ni story nzuri sana ila dogo umeshindwa kumuhoji mzee vzr rudi shule
Uyu kijana mtangazaji ni moja ya vijana watangazaji wazuri na wenye kufanya kazi kwa ueledi mkubwa sana namuona kufika mbali sana , namfananisha na millard ayo
Jenerali ulimwengu mwandishi nguli fungua chuo fundisha hawa vijani na makofi juu maana huyu Kama hajui hiyo ni shule kwetu yaani anahamisha mtiririko kwa maswali butubutu. Muunganiko kimtiririko tunaukosa
Mtangazaji unapoteza radha ya story maana kila wakati unaingiza swali jipya katikati ya maelezo ya captain. Pia unaongea sana, toa muda kwa captain aeleze story yake
mtangazaji hii si kazi yake anajifundisha kaharibu kipindi kizima kwa maswali yake hambayo angemsikiliza pilot anavyo elezea yeye angefaidiaka na sisi tungefaidika.sasa hatukujua mwisho wa story
Mtangazaji huyu ni zero brain " hana utimamu ktk fani yake" ni moja ya waandishi na watangazaji wa hivyo na boring sana hana weledi na kazi. Anachukua sana nafasi ya msimuliaji.
Mbona mnatudanganya hadharani?? Mnasema mwaka 1988 wakati tukio lilitokea wakati Mwl Nyerere akiwa Rais!! Guys get your facts right! Ndege ilitekwa mwaka 1982 kuelekea Jeddah, then onwards to Greece and in the end to London Stanstead Airport!
Wewe mtangazaji kwanza huna weledi wa utangazaji, unapokwenda kupata story kwa Source lazima umpe room ya kuongea na kupanga story nzima iwe kwenye maana moja, sasa wewe umeenda ndio unakuwa ka ndio ulikuwa rubani, maneno mengiii hayana mtirirko mzuri unamkatisha mzee wa watu, unaonea mnooo, yaani unaboa kinoma, huo usomi wako uko kwenye nini? kuongea sana au? wewe uliza swali moja mwache mzee wa watu aelezeeee sasa wewe kudakia dakia, hivi hao global hakuna wahiriri habari wakakushauri? habari ni mririko wa matukio lenye maana, sasa wewe kudakia dakia unamtoa kwenye mchezo mzee wa watu ovyo sana, ndo maana Global hamuwezi kuwafikia Ayo TV, unakera sana.