Тёмный

PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA! 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 51 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 128   
@cmsa1r
@cmsa1r 2 года назад
Please make a movie out of this… incredible and a heroic story
@ERICKPM2000
@ERICKPM2000 2 года назад
Story nzuri... mtangazaji anahangaika hangaika hadi anaharibu
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Год назад
Ningepata pressure kupeleka ndege juu mabawa yanapiga kelele. Huyu mzee very genius. Halafu tendo la kuwadanganya watekaji nampa big up.Angekwenda kufundisha mambo ya usalama mbona bado ananguvu.
@andrewkazungu6542
@andrewkazungu6542 Год назад
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟🎧.
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 2 года назад
Huyu mtangazaji hajaja hapa kwa ajili ya watizamaji kaja kupiga stori na jamaa tu kwa faida yake
@mtv574
@mtv574 2 года назад
Daah interview umeiharibu sana!!!!!!
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 3 месяца назад
Mtangazaji unambana sana mzee
@filbertrobert1141
@filbertrobert1141 2 года назад
Daaah! Mr
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 года назад
Proud of you Baba Mungu akuzidishie baraka maana ulijua kuwaingiza Chaka tulivuuuuuu🙏🤗
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 2 года назад
Huyo Capt nae alikuwaga muhuni Galloway alikua anaroho nzuri mno subiri Sasa kilichotokea hapo mbona ilibidi wawapeleke watakako falangata lake halikuishia hapo
@kareisindilo2776
@kareisindilo2776 2 года назад
hii stori nimeisubira sana big up sana lebabaz
@xyz-tv4om
@xyz-tv4om 2 года назад
Mtangazaji ungetulia basi.....
@subirajohn728
@subirajohn728 2 года назад
Good story!
@abrahamnyangwa3298
@abrahamnyangwa3298 2 года назад
Jamaa kazingua kinoma, maswali mengi sana. Mwache dingi afunguke
@magesamulongo8486
@magesamulongo8486 2 года назад
À
@johnbidya119
@johnbidya119 Год назад
Daah mzee wang bado upo hai mungubmkubwa
@niyonzimakabwa6996
@niyonzimakabwa6996 2 года назад
Store nzuri sana
@titongholo6261
@titongholo6261 5 месяцев назад
Yaani mtangazaji hajui hata Control tower , duh amazingly sana
@kihangasper
@kihangasper 2 года назад
Mtangazaji jau..sikiliza zaidi ya kuuliza
@mustahilramadhan5873
@mustahilramadhan5873 2 года назад
Hiyooo ndegeew ipooo mpakaa leooooo
@erickendrick3330
@erickendrick3330 2 года назад
Huyu mzee noma
@jumahamis227
@jumahamis227 2 года назад
Mtangazaji ameshindwa huyu aendelee kuripoti zile kesi 😂 , mahojiano ya ana kwa ana hayawez, anamkatisha sana mhojiwa na kumpoteza kwenye maaudhui husika wakati mwingine, global mfanyie kazi hili.
@TheKigosi
@TheKigosi 2 года назад
Nakuunga mkono
@c.bproduction2576
@c.bproduction2576 2 года назад
Mwandishi Msomi....Duh. ....Ivi faida ya usomi Wako kwenye hiki kipindi uko Wapi. ...Unaaribu kazi. ...kumbuka unafanya kazi kwaajili ya Wananchi Sasa Usitake uonekane Unajua saana Mwachie mzee Aelezee. ...Maswali Hapo Nimengi sana. .....Unatuboa. ...Hakuna chausomi Hapo. ...Umefeli Sana. .....Samahani lakini. ...Unafaa Za Mahakamani tu.
@Robust78
@Robust78 5 месяцев назад
Kweli huyu mtangazaji ni zero kabisa. Anamhoji huyu mzee kabla hajamaliza kujibu anauliza swali la kumtoa kwenye mada. Rubbish
@sreugenathomas809
@sreugenathomas809 2 года назад
Mwandishi wa habari anaongea mno. Mwache mzee aeleze vinginevyo funga kipindi.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 года назад
Halafu anajiita mwandishi msomi..!
@salumnassor3857
@salumnassor3857 4 месяца назад
Hyu jmaa mshamba sna
@ommy2525
@ommy2525 2 года назад
Millard ayoo nenda katupe stori movie imeisha bila starting ending
@PlantsForsale-xd3dd
@PlantsForsale-xd3dd 5 месяцев назад
Mtangazaji anazingua, maswali Mengi sana
@MrBeerlahairoi
@MrBeerlahairoi Месяц назад
Jamaa hajui ku interview.. hamwachi mzee akatoa story yake.
@martinmayombo7949
@martinmayombo7949 2 года назад
Jifunze kuhoji. Unaharibi story sana...
@jacobsospeterchannel1658
@jacobsospeterchannel1658 2 года назад
Hatujaona mwendelezo pt 3 hatuoni
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 года назад
Hujui kuhoji weeee
@deusoden3614
@deusoden3614 6 месяцев назад
Duh! hili tukio nalikumbuka
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 года назад
Mwandishi punguza maswali kwa mzee bwana. Hili jandishi LA habari LA ovyo sana linamkatisha sana rubani mstaafu. Namchukia sana huyu mwandishi hafai kufanya interview na watu.
@christinainnocent5971
@christinainnocent5971 2 года назад
Unaboa Sana mtamgazaji
@jazeeraqaita4757
@jazeeraqaita4757 2 года назад
Mtangazaji punguza kuongea shenz😏
@hamadwaziri121
@hamadwaziri121 2 года назад
Maswal mengi sana kaka Hadi story instoka kwenye Nia
@kasimukigoda8974
@kasimukigoda8974 Год назад
Mwandishi bado anamaswali yasiyona msingi alafu ahoji kama mwandishi yuko kama anapiga story na shoga
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 года назад
Oooh imeishia pazuri,muendelezo uko wapi bwana Lebabaz
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 года назад
Mwandishi mwingine akahoji huyu Mzee tutapata story nzuri.
@luganojacob
@luganojacob 2 года назад
@milladiayo aje apa
@titongholo6261
@titongholo6261 5 месяцев назад
Watangazaji wa online watanzania ni mbumbumbu sana kwenye hojaji .
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Год назад
Duuuuuh
@MrMasterMathew
@MrMasterMathew 17 дней назад
Mtangazaji Bado uwezo mdogo
@loshiyesindiyo5079
@loshiyesindiyo5079 2 года назад
Mtangazaji anaboa Sana. Anauliza maswali ya kishamba Sana.
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 года назад
Ww mtangazaji humuhoji uyo mzee ila unapiga nae story tu!
@jacksonpaul3866
@jacksonpaul3866 2 года назад
Mwandishi dah unakata sana
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 4 месяца назад
Mtangazaji aliiharibu hii stori!
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 2 года назад
nakumbuka Hilo tukio vizuri,nilikuwa kijana ndogo nikiwa mwanza
@fanikiomisigaronyamuvugwa9937
@fanikiomisigaronyamuvugwa9937 2 года назад
Story inasisimua kweli. Part 3 lini?
@davidmushi2212
@davidmushi2212 Месяц назад
Kipindi kizuri. Ila mtangazaji anamkatiza sana Pilot.
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 года назад
Nashauri kajifunze vizuri kuhoji then uje kurudia tena story pia yule jamaa aliyeteka hiyo Ndege mwaka huo 88 nafikiri yupo zanzibar njia panda waliwahi kumuhoji ni story nzuri sana ila dogo umeshindwa kumuhoji mzee vzr rudi shule
@josephlorri431
@josephlorri431 2 года назад
Mwandishi msomi unachemsha sana... sijui lengo lako, unarukia vitu visvyohusika wakati mzee anataka kutiririka..
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 года назад
Mwandishi huyo ni wa ovyo sana anamkatisha sana mzee ktk masimulizi yake. Hafai huyu mtangazaji.
@rashidnkya9602
@rashidnkya9602 2 года назад
Maswali mengi hata stori hainogi misifa tu
@christinainnocent5971
@christinainnocent5971 2 года назад
Mtangazaji uwesikivu tu acha maswali yasio na maana mwache mwenyewe
@mustafaabdulhafidh3257
@mustafaabdulhafidh3257 2 года назад
Mtangazaji una wenge sana mwache mtu amalizie anachokielezea
@hassankadodo8281
@hassankadodo8281 2 года назад
Mtangazaji anakela saa nini maana ya part 2
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 3 месяца назад
chuma baridii
@evancedaniel7322
@evancedaniel7322 2 года назад
Mwandishi anazingua
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 2 года назад
Uyu kijana mtangazaji ni moja ya vijana watangazaji wazuri na wenye kufanya kazi kwa ueledi mkubwa sana namuona kufika mbali sana , namfananisha na millard ayo
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 года назад
Hajui kuulizwa maswal ya msingi!
@leylaakiba2104
@leylaakiba2104 2 года назад
I doubt if this journalist has been to school. NKT
@idanyahmed8701
@idanyahmed8701 2 года назад
MwandiShi rudi kajifunze kuhoji vizur
@sule69UP
@sule69UP 2 года назад
Upo sawa kweli huyu kazoea kesi ya, sabaya
@mamuubuss4236
@mamuubuss4236 2 года назад
Mtangazaji kiherehere kingi
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 5 месяцев назад
Mtangazaji hujui kuhoji una bour kiherehere
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 5 месяцев назад
Anaerobic hajawahi kuona mdege, uwanja wa ndege wala hana hajui chochote kuhusu ndege na wlimu ya kuhoji hana.
@deogratiussaru3074
@deogratiussaru3074 2 года назад
Mtangazaji unakiherehere
@MaalimEdy
@MaalimEdy 4 месяца назад
Namkumbuka mtekaji mmoj akiitwa Kisoda sijui sasa yuko wapibaada ya kutumikia adhabu ya kifungo chakei
@BabuAli-zv8gn
@BabuAli-zv8gn 4 месяца назад
Yupo Quilimane Mozambique
@stephensilvester9652
@stephensilvester9652 2 года назад
Mwandishi rudi shule au nenda milard ayo akufundishe
@jessemathew4696
@jessemathew4696 2 года назад
Mwandishi wa habari hujui hata kuuliza maswali...
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 года назад
Acha kumuingilia???
@raysonngowi4679
@raysonngowi4679 4 месяца назад
Umechemka kolumba,umeharibu mahojiano
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 года назад
Global on line TV mbadilisheni huyo mhojaji.
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 2 года назад
Stori ya a kutekwa hitimisho haeleweki
@netlity5532
@netlity5532 2 года назад
Mtangazaji mbona unazingua? Mwache Mzee aeleze mwenyewe
@arafahhh5574
@arafahhh5574 2 года назад
Anakufahanisha habari ya kutekwa unampa maswali mengine mengi
@icesue6613
@icesue6613 2 года назад
muache mtu ajielezee kwanza . ili watu wapate madini. maswali mengi unabadilisha muelekeo wa story.
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 2 года назад
Mwandish umbwa wew maswali mengiii Hadi kero ingekua ni mm huyo mzee ningeku2x mana humuachii mtu nafax
@tytohsejoh2943
@tytohsejoh2943 2 года назад
Tanzania si mko nyuma😂😂😂😂😂sasa huyu ni mtangazaji?😂😂😂
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 9 дней назад
Acheni ujinga... Stor yenu mmeweka juzi mtu katoa makala mnasema 1982..muwe na kumbukumbu basi
@alphoncenicholaustemba3614
@alphoncenicholaustemba3614 4 месяца назад
huyu jamaa mtangazaj hana ujuz anamapepe sana
@alexjackson5960
@alexjackson5960 2 года назад
Jenerali ulimwengu mwandishi nguli fungua chuo fundisha hawa vijani na makofi juu maana huyu Kama hajui hiyo ni shule kwetu yaani anahamisha mtiririko kwa maswali butubutu. Muunganiko kimtiririko tunaukosa
@othmanally4846
@othmanally4846 2 года назад
Ni pilot ndo anorusha ndege mzee na si captain
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 года назад
Captain ni cheo katika urubani pia kutokana na uzoefu kazini na pia na aina ya ndege anayorusha
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 года назад
Captain no cheo husiwe unakosoa bila kuwa na uhakika.
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 года назад
Kama hujui bora unyamaze tu! Usimkosoe anojua
@mjige9088
@mjige9088 2 года назад
Neno mwandishi msomi Brother ungewacha kusema hivyo - tumia neno mwandishi wenu mflaani basi inatosha.
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 2 года назад
Unataka kujifunza uribani mwandishi?umeacha mada ya utekaji umeingia kwenye mada ya kuendesha ndege?!?!!!!!
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 2 года назад
Mzee usiseme mlitekwa hamjatekwa mlikua na igizo fupi tu
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 года назад
Stori kali mtangazaj ndo tumepgwa
@katangaminerals8047
@katangaminerals8047 2 года назад
Mtangazaje ni mjinga
@deogratiussaru3074
@deogratiussaru3074 2 года назад
Wandishi punguza mdomo aisee umeharibu kipundi
@thomasluhumbika9606
@thomasluhumbika9606 2 года назад
Mtangazaji unapoteza radha ya story maana kila wakati unaingiza swali jipya katikati ya maelezo ya captain. Pia unaongea sana, toa muda kwa captain aeleze story yake
@ericabosco4824
@ericabosco4824 2 года назад
Lebabaz unaongea xana tunakosa ladha ya stor
@salehkejje8786
@salehkejje8786 2 года назад
Yani mtangazaji anaboa kweli
@abdullahalkindi8900
@abdullahalkindi8900 2 года назад
mtangazaji hii si kazi yake anajifundisha kaharibu kipindi kizima kwa maswali yake hambayo angemsikiliza pilot anavyo elezea yeye angefaidiaka na sisi tungefaidika.sasa hatukujua mwisho wa story
@joanithapeter1301
@joanithapeter1301 10 месяцев назад
Muandish chenga😅
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 года назад
Hufawii acha kuharibu ww???
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 года назад
huyu mzee ukimpa hizi ndege za kisasa anaweza kusukuma kweli 🤔🤔mtangazaji huko ovyo sana ujui kuhoji mwache mtu aongee mwenyewe 🖕🖕🖕
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 года назад
Mtangazaji huyu ni zero brain " hana utimamu ktk fani yake" ni moja ya waandishi na watangazaji wa hivyo na boring sana hana weledi na kazi. Anachukua sana nafasi ya msimuliaji.
@BuriloDanken
@BuriloDanken 4 месяца назад
ASEEE NDO MAHOJIANO GANI HAYA TUNASHINDWA HATA KUPATA CONTENT VIZUR
@samasob8233
@samasob8233 Год назад
Mbona mnatudanganya hadharani?? Mnasema mwaka 1988 wakati tukio lilitokea wakati Mwl Nyerere akiwa Rais!! Guys get your facts right! Ndege ilitekwa mwaka 1982 kuelekea Jeddah, then onwards to Greece and in the end to London Stanstead Airport!
@hildadominic629
@hildadominic629 Год назад
Ilikuwa 1988 sio ya 1982
@dicksonlesijila4542
@dicksonlesijila4542 2 года назад
Usimhoji mtu ukiwa umelewa
@TheKigosi
@TheKigosi 2 года назад
Story nzuri sana ila mtiririko wa maswali ya "mwandishi msomi" yanayumba sana
@frankmayige2950
@frankmayige2950 2 года назад
Wewe mtangazaji kwanza huna weledi wa utangazaji, unapokwenda kupata story kwa Source lazima umpe room ya kuongea na kupanga story nzima iwe kwenye maana moja, sasa wewe umeenda ndio unakuwa ka ndio ulikuwa rubani, maneno mengiii hayana mtirirko mzuri unamkatisha mzee wa watu, unaonea mnooo, yaani unaboa kinoma, huo usomi wako uko kwenye nini? kuongea sana au? wewe uliza swali moja mwache mzee wa watu aelezeeee sasa wewe kudakia dakia, hivi hao global hakuna wahiriri habari wakakushauri? habari ni mririko wa matukio lenye maana, sasa wewe kudakia dakia unamtoa kwenye mchezo mzee wa watu ovyo sana, ndo maana Global hamuwezi kuwafikia Ayo TV, unakera sana.
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 года назад
Muandishi very poor rudi shule hujuwi kuhoji huna usomi wowote una boa sana,made ana story nzuri sana ila hajapata mtu sahihi wakumuhoji
@dicksonlesijila4542
@dicksonlesijila4542 2 года назад
Unaehoji hujui kuhoji kwa sababu maelezo unaongea ww mtangazaji Jambo ambalo so kawaida mwache aongee yy
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 года назад
duh mtangazaji ,,,,unaboa Sana 😡
Далее
Wait for it 😂
00:19
Просмотров 1,4 млн
Ilkinchi hotin oberasanmi deb o’ylabman🥹😄
00:26
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
40:32
Просмотров 2,2 млн
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Просмотров 835 тыс.