Тёмный
No video :(

PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA! 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 44 тыс.
50% 1

PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!
Mwisho Kabisa wa Kisa Cha Kusisimua Cha kutekwa kwa Ndege ya Shirika La Ndege ATC Mwaka 1988, ambapo Rubani Mstaafu, Mzee Galway anasimulia jinsi alivyowahadaa watekaji na kuwarudisha Bongo na kujikuta wanakamatwa uwanjani...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@vickylayda6336
@vickylayda6336 3 месяца назад
Hongra sana mzee Galway sikujua umepitia yote hayo mi ni mwenyeji wa Babati na tulishaonana Dar hongera Mungu akutunze mnatakiwa kuwa wakufunzi sasa siyo kukuaa nyumbani sijui serikali ina mpango gani na wastaafu wenye ujuzi wamenkaa mitaani badala ya kurithisha vijana elimu.nzuri .
@halimasaleh5705
@halimasaleh5705 2 года назад
Duuuh Captain Galway jmn kumbe yupo,😊
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 3 месяца назад
Mungu alikupenda sn.
@Mubarak552
@Mubarak552 2 года назад
Naipenda Global TV, Kolumba baba mtangazaji Mwandishi msomi kazi nzuri, tusonge mbele
@hasyno9805
@hasyno9805 2 года назад
Mbona mmemtoa mzee sehemu nzuri umempeleka sehemu mbya tena umemsimamisha
@nyandichearts
@nyandichearts Год назад
Ni mtu sahihi Kwa story za kusisimiwa I know you daday 🙌🤜🤛
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 3 месяца назад
Masikitiko yangu niupuuzi uliofanyika baada ya ndege kufka yote hayo ni upuuzi wakufata taratibu wakati wa matatzo
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 месяца назад
Sahihi
@Hamy1109
@Hamy1109 2 года назад
Safi sana....tunamshukuru mzee wa stori nzuri
@saeaaa8571
@saeaaa8571 2 года назад
Na kwann mumsimamishe mzee w watu jmn mda wote huo
@josephndambo3714
@josephndambo3714 Год назад
mwandishi wa hovyo kabisa huyu, sijaona sababu kwanini umsimamishe mzee mda mrefu kiasi hiko,
@hammerQ954
@hammerQ954 2 года назад
😂😂niliiskia miaka mingi sana hii story nikajua ni uongo kumbea kweli Lkn mbona hamtaji kuwa mmoja alikua mtoto wa mh
@mdzainb3722
@mdzainb3722 Год назад
Kwani haogopi kukamatwa
@dicksonichaulaya1684
@dicksonichaulaya1684 2 года назад
Ajali ya maraisi wa Ruanda na Ruanda
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 года назад
😂😂😂😂Eti nichomoe pin
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 года назад
Daaaaaaaaaaa !! hii story mara kwanza nilisikia kwenye station ya radio
@jorammasila7627
@jorammasila7627 Месяц назад
hii interview zuri ila kwa kelele yaani😮😮
@issasaid1226
@issasaid1226 2 года назад
Tangu ndege imefika pilot kakutana na wanajeshi inakuaje kuaje watekaji wanakimbia hawashikwi sijaelewa nadhani muuliza maswali Hana taaluma nzuri ya kuhoji
@mussakamando2678
@mussakamando2678 2 года назад
Taaluma ya uandishi nchini Tanzania iko chini sana. Mtangazaji anahodhi mahojiano utafikiri yeye ndiye mwenye tukio.
@halimamagingi7839
@halimamagingi7839 2 года назад
Nimependa mzee mcheshi sanaaa,yani sijachoka kumsikiliza,hana story zingine atupe Jamani....
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 2 года назад
yaani mpaka mzee anasema hapa ni jua inamaana huyo host haoni kaniboa kwa kweli mazingira hapo ni kelele lakini host hajali anachofanya
@dorissaivoiye687
@dorissaivoiye687 2 года назад
Kwakweli huyu mwandishi kamtesa captain why kumsimamisha hivi then hiyo background ya nyimbo mara kelele za honi za magari yaan hii part 3 hujaitendea haki kabisa.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Yaani makamanda wamezinguliwa na maembe km Grenade 🤣🤣
@clementiddi5708
@clementiddi5708 2 года назад
Mwandishi msomi anajiita hata interview set up hamna
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 2 года назад
Watafute watekaji hao uwahoji kwa nini walifanya hivyo! Na je wametubia dhambi ya kuwatesa watanzania wenzao?Good job
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 Месяц назад
christopher
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Hiii
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 года назад
Dah mwandishi msomi Kwa hili kafeli aende Kwa Kesi ya sabaya tu.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 10 месяцев назад
Yahni😢
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Год назад
Hiyo ni 90minutes at Entebe. Kidogo ifanane.
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 года назад
Unapenda kuchanganya mada
@ilovemusic9594
@ilovemusic9594 2 года назад
Mzee galu nimefurahi kukuona Norah mke wa mwanafunzi 😂😂kwenye bike
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 года назад
Hujui namna y kuhoji ww kujifunze hilo kwanz
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 года назад
Mhes naniii
@amiribakari2528
@amiribakari2528 2 года назад
Du story nzury sana..andika kitabu meja....
@daudedward5444
@daudedward5444 Год назад
Kumbe ni maembe hahahaha
@joycelaura4611
@joycelaura4611 3 месяца назад
huyu baba ana akili anajieleza vzr
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 2 года назад
Global hivi huyu mtangazaji memtoa wapi
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 2 года назад
ILA POLISI WALIKUA WAZEMBE MUNO
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 2 года назад
Ktk hao waloteka mmoja mpk leo yupo hai namuelew
@mohamedmagubikila3499
@mohamedmagubikila3499 Год назад
Afatwe nae atupe story yake inaweza kuwa tamu sana kwakuwa yeye alikuwa ndie muhusika mwenyewe
@issasaid1226
@issasaid1226 2 года назад
Sijaelewa
@chrissmeshack5451
@chrissmeshack5451 2 года назад
Uyu mahakamini ndo kwake
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Mtangazaji anahoji lakino hawahi kuona ndege kupanda wala kuisikia zaidi ya kuiona juu ikipita masuala ya kijinga hajui ngege wala kuuliza maswali
@siegfriedmtei-ef2jl
@siegfriedmtei-ef2jl Год назад
Hii mm marehemu baba mhidini kimario na baba yangu mdg ambae hadi sasa yupo hai ilikua mwaka 1988 km sikosei ilikua sijui mwezi wa sita au wa tisa nakumbuka kabisa 12:09
@ahmedsaid-gf6qi
@ahmedsaid-gf6qi 4 месяца назад
kati ya hao mmoja ni jirani yangu mpaka leo yuhai na tukikaa naye huwa anatuhadisia hiyo stori siku akiwa kafurahi
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 месяца назад
duh..anasema planyao ilikua nn
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 года назад
nyie Global uyo mtangazaji wenu mmemtoa uchochoroni
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Год назад
Mwandishi mtafute Captain Gandile tufurahi.
@hildadominic629
@hildadominic629 11 месяцев назад
Captain Ng'andile
Далее
Девочки, у вас тоже так? 💅🏻✨
00:17
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Просмотров 824 тыс.
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
40:32
Просмотров 2,1 млн
Девочки, у вас тоже так? 💅🏻✨
00:17