Marekani kwa urusi ni mnyonge sana sema anajitutumua tu kwa yale mataifa ambayo yey ameyakandaza mataifa hayo ndio yanayo iyona marekani kwamba ana uwezo kuliko urusi lakin hii inaonyesha urus ana nguvu ya ushawishi kuliko marekani kupata urais wa usalama wa umoja wa mataifa nawapa pongezi
Hacha kudanganya watu mwenyekiti wa umoja wa mataifani kwa wanachama 15 tuu wenye nguvu na sio Marekani peke yake uenyekiti hupitia kila mwanachama kwa mpito tuu
@@user-nv7jg6xc8l koff anan ajawahi kuwa rais wa baraza la umoja wa mataifa alikuwa katibu mkuu.na ni raia wa GANA na GANA ni mwanachama wa kudumu wa baraza la umoja wa mataifa.
@@user-nv7jg6xc8lUmoja wa mataifa Kuna mataifa matano yanakura ya VETO, japo Marekani atakuwa na nguvu ila itamletea changamoto sana kwa baadhi ya Mambo kuyapitisha maana mmoja kati ya hao watano akikataa tu Hilo pendekezo linatupiliwa mbali.
Mh kadi Yako tuu ya ccm ila hakikisha unakuwa nayo mda mrefu ili vile vikao vya usiku wa manane vinavyo kuja visikupite bac ww ni wa mda mrefu 😅😅😅😅😅😅 joks
Rais kipind hcho alikua Medvedev Russia yenyew haikua na nguvu yakupambana na NATO(ukitaka kumlinda Mtu lazima uwe na nguvu km au zaid ya Adui yke) Libya ilikua na Ukaribu zaid na nch za Ulaya (hasa Ufaransa) ingawa walimgauka