Тёмный

URUSI wayafanyia uchunguzi makombora ya ATACMS ya Mmarekani ambayo yamekuwa magumu kuyaharibu vitani 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 103   
@shomaryramadhani270
@shomaryramadhani270 3 месяца назад
Duuuuh jaman tuwaombee tu mungu awape mioyo ya kustisha mapigano vita sio nzuri kuna watu wanakufa bila hatia
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 месяца назад
@@shomaryramadhani270 wazo lako mzuri marekani na umoja wa ulaya biashara yao migogoro duniani.
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 3 месяца назад
Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!
@YohanaMasebo
@YohanaMasebo 3 месяца назад
Habari nzuri kwa team Russia 🇷🇺🙏🙏
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
Ndio mjue sasa kwann russia wameficha silaha mpya na wanatumia zaidi silaha za kizamani
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 3 месяца назад
Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza
@makanjamkabila
@makanjamkabila 3 месяца назад
Kwani wewe unaona wa china 🇨🇳 wapo juu kwa technology ku zidi russia 🇷🇺
@hashimumwinyi2239
@hashimumwinyi2239 3 месяца назад
Iran baba linaenda mabingwa wa reverse
@WilliamKivugo
@WilliamKivugo 3 месяца назад
​@@makanjamkabilawachina wana copy hatareeee
@AjudeKaluwa-bp1zz
@AjudeKaluwa-bp1zz 3 месяца назад
Tena wanaboresha zaidi
@sirpaza8513
@sirpaza8513 3 месяца назад
Urusi na Marekani ndio top. China wanakuja kwa kasi
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 2 месяца назад
Nani kakudanganya kuwa urusi ananguvu zaidi duniani
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 месяца назад
Urusi anaga baiya
@SelemaniMeena-oo3os
@SelemaniMeena-oo3os 3 месяца назад
Urusi kuichalenji marekani ni rahisi mno, ila marekani kuichalenji urusi ni ngumu mno
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 месяца назад
Safi sana Urusi
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw 3 месяца назад
Ufanisi mwema kwa urusi...
@MsokaDibron
@MsokaDibron 3 месяца назад
Mmarekan ndio mkali wa hz kaz kwahiyo kaen kwa ku2lia na bd
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 3 месяца назад
Marekani ananguvu
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 3 месяца назад
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 месяца назад
Apa US kapokea wastan kwa idadi
@directortwicep3028
@directortwicep3028 3 месяца назад
Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂 Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 3 месяца назад
Nenda kaolewe marekan
@kwisa4899
@kwisa4899 3 месяца назад
mbona watu munaona hii ni big deal munaijua fab 3000?
@kanutimosha1193
@kanutimosha1193 3 месяца назад
😅😅 yangu macho na masikio muache mwenye ngufu apite
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 3 месяца назад
🎉 Nice urusi ikojuu
@paschalcosmas6093
@paschalcosmas6093 3 месяца назад
Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 3 месяца назад
Unabishana na machawa wa putin😂😂😂​@@paschalcosmas6093
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
​@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@theempire4058
@theempire4058 3 месяца назад
Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.
@HarounRashidKuyawa
@HarounRashidKuyawa 3 месяца назад
kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Ww choko hujielew mrusi ndo mweny technology zaid ya hao mashoga
@theempire4058
@theempire4058 3 месяца назад
@@omarymwaluko9765 tuache ushabiki usio na maana, umeona apo kabisa urusi ndo anaanza kujifunza uo mfumo afu unasema urusi iko juu
@theempire4058
@theempire4058 3 месяца назад
@@omarymwaluko9765 poa
@MustafaNoman-c4y
@MustafaNoman-c4y 3 месяца назад
Urusi ni mwamba wa vita duniani
@abdulrazack9577
@abdulrazack9577 3 месяца назад
Sasa wamelipataje
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 3 месяца назад
Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.
@hamzamasoud9120
@hamzamasoud9120 3 месяца назад
@@thefactbook...1607 vile vile linawezwa kumiss Fire (kutoripuka)
@CalebThomas-ie4zy
@CalebThomas-ie4zy 3 месяца назад
Warus wapo vzur sana kivita ila marekan ananguv kubwa ya washirika hii ndio itampa ugum putin
@mohamedngoshani2067
@mohamedngoshani2067 3 месяца назад
Uko vzr
@nick1o7bang17
@nick1o7bang17 3 месяца назад
Marekani anatumia nguvu putin anatumia akili mingi tatizo linaanzia apo
@theempire4058
@theempire4058 3 месяца назад
Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 3 месяца назад
Kila mtu ana technology yake yake, ​@@theempire4058
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
​@@theempire4058ww choko urusi anasilaha kali kuliko hao mashoga
@Maxtechtv
@Maxtechtv 3 месяца назад
😂😂 kichwa vita
@InnocentZamkulu
@InnocentZamkulu 3 месяца назад
Wakigundua hilo Marekani ita tengeneza next level 💯
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Marekani mashoga Urusi ana technology kubwa zaid yake
@BenyassearButoyialfred
@BenyassearButoyialfred 3 месяца назад
​@@omarymwaluko9765we shabukia ila hacha kudanganya watu
@josepheriah5977
@josepheriah5977 3 месяца назад
Marking wafanyia uchinguzmakombora ya urus iskanda
@rashidmaty7824
@rashidmaty7824 3 месяца назад
Ww Aly twakujua ni team west ww
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 3 месяца назад
Ally ni Hana UPANDE kama smaa iyo HABARI ni toka juzi
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
Naww tunajua ni team Russia kwaiyo tulia
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Ali kashakuwa mwanachama wa. mashoga
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 3 месяца назад
@@omarymwaluko9765 anachokiripoti ALLY ndicho kimeripotiwa na vyombo vingine vya kuaminika vya kimataifa HATA vile pro Russia
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Urusi kiboko ya mashoga
@RizikiMvungi-h2w
@RizikiMvungi-h2w 3 месяца назад
Ujanja nkuwahi hii ndio karata ya vita
@vumiliamgingu1579
@vumiliamgingu1579 3 месяца назад
🇷🇺🇷🇺🇹🇿 🔥
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 3 месяца назад
Marekani ana nguvu sana
@MeddyMasuddy
@MeddyMasuddy 3 месяца назад
nguvu za kiume au
@jeromeshirima2053
@jeromeshirima2053 3 месяца назад
Kwanini was display why isingekuwa silently
@ElisalMasawe
@ElisalMasawe 3 месяца назад
Hapa watakua wamepata JB bt wanacheza na akili ya us waone action hivyo hiyo action ndo itawaxaidia
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 3 месяца назад
Urusi ndiyo inchi pekee yenye nguvu zaidi
@InnocentZamkulu
@InnocentZamkulu 3 месяца назад
Nguvu za kushindwa kumaliza vita ambayo walidai watashinda kwa wiki mbili. Bali leo imekua karibu miaka.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
​@@InnocentZamkuluurusi anapambana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine
@BenyassearButoyialfred
@BenyassearButoyialfred 3 месяца назад
Mashoga wanasapoti tuu. Vita imemukuana ngumu tu. ​@@omarymwaluko9765
@ShekhMufyd-mn9zn
@ShekhMufyd-mn9zn 3 месяца назад
@@InnocentZamkulu hujui kitu wew urusi anapigana na NATO wew
@minanifreddy6969
@minanifreddy6969 3 месяца назад
Sns ya warusi
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Mashoga hawana jambo wanapigwa tu
@AbuJuhaifah-c8j
@AbuJuhaifah-c8j 3 месяца назад
Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka
@BenyassearButoyialfred
@BenyassearButoyialfred 3 месяца назад
​@@AbuJuhaifah-c8jwatuleteye nondo za huko tanzania ili tuahelewe
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 3 месяца назад
Ili mjue mrusi vita anaimudu mwambieni marekani anyooke moja kwa moja kunpiga urusi nadhan mtakua mmenielewa kwa wale mnao shabikia mashoga
@kanutimosha1193
@kanutimosha1193 3 месяца назад
Mrusi ni baba sio sadam au kadafi
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 месяца назад
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️👑
@kanutimosha1193
@kanutimosha1193 3 месяца назад
Kama afngastani ilimshinda mmarikani je baba putini
@yonathanbanyikwa1813
@yonathanbanyikwa1813 2 месяца назад
Propaganda nazo zipo
@furahafrank8267
@furahafrank8267 3 месяца назад
Nina sikia huu mfumo unamutesa murusi.
@mustafamasudi8093
@mustafamasudi8093 3 месяца назад
Kvp wakati anayaharibu kila siku
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
​​@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 3 месяца назад
Warusi hawawezi kufaulu.
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 месяца назад
Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
Urusi kiboko ya mashoga
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 3 месяца назад
ukapimwe akili kwanza😂😂😂, na ukifuatiliwa mpaka leo haujaolewa bwege wewe akili yako imeganda😂😂😂😂
@josepheriah5977
@josepheriah5977 3 месяца назад
Putin afe
@SelemaniMeena-oo3os
@SelemaniMeena-oo3os 3 месяца назад
Anza kufa wewe
@Hassanbaoma
@Hassanbaoma 3 месяца назад
Huyu Ali masubi ni mchambuzi mzuri kuliko DJ smaa angekua DJ smaa hapo ungesikia kiingerza kingi mara fuse mara logic mambo rundo hongera ali masubi
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 3 месяца назад
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
@Badvoice707
@Badvoice707 3 месяца назад
Mmarekani humuwezi kirahisi hivyo aligundua atomic wa Japan wakasalit amri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 3 месяца назад
Urusi sio japana soma hostory
@Expl0rer.
@Expl0rer. 3 месяца назад
​@@SaidiMkome-qq7hy 💯💯 Urusi anaongoza ktk nyuklia . 💪
@YohanaMasebo
@YohanaMasebo 3 месяца назад
Akili yako ni kizibo
@ShedrackShedrack-c2b
@ShedrackShedrack-c2b 3 месяца назад
Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao​@@SaidiMkome-qq7hy
@ManOfSteel-2ruku
@ManOfSteel-2ruku 3 месяца назад
Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu, N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia, Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌
@chidiomari.65
@chidiomari.65 3 месяца назад
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝
Далее
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20
Просмотров 2,8 млн
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 4,7 млн
How Israel Assassinated  Hezbollah Commander?
8:48
Просмотров 2,7 млн
Language Review: Arabic
21:44
Просмотров 329 тыс.