Ni baada ya kupostiwa kwa video zilizokuwa zikiwaonyesha wanawake wanne wakiwa wameshika mabango yaliyowatuhumu kuwa malay*, na huku picha hizo zikisadikiwa kupigwa na Askari kutoka kituo cha Polisi Kigogo, wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
27 июл 2019