Sio kudhalilisha tu, wanawatumia hawa wadada kuwapatia pesa kwa lazima, kama sii kweli, kwanini wanapokamatwa wanawaambia watoe hela, tena wanawapangia kiwango, wenyewe wanachofanya, wanawaweka ndani kwakigezo cha umalaya, ili kujipatia pesa.
Huyo wakili anaeongea anaendaga kanisani kweli!. NI kweli Kuna wiziserikalini Kuna ulawti.n.k.lakini hao wauza miili adhabu yao nikali mno HATA kwa MUNGU.hawafai.kama huyo anae wateteana YEYE anaendaga kununua laana ya MUNGU itampata.kifupiacheni kuuza miili yenu Kama hamjaolewa nendeni makanisan mkaombe MUNGU mama Samia mama Samia wa Nini ma.ma
Aliejiuza mama Yako sio Kila aliekamatwa ni anajiuza angekamatwa mama Yako Ambae Hana mambo hayo lkn kasimana stand anasubiri usafiri wewe utamwita Malaya kwa vile kakamatwa?