Rekebisha kauli sio Wazanzibar , hao wanaofanya hivyo ni serekali ya mapinduzi , ccm . Kama lilivyojina lao la chama ndivyo wanavyofanya kuoindua pindua biashara za watu kila sehemu. Si mnawatilia kura yaoneni , si unaona kaja mpaka na sare yake kada 😂😂😂
FREDY VUNJA BEI wala asitumie nguvu sanaaa me naona tu ni bonge la promo😂😅 wamevunja ngazi amepata watu wengi ambao wameona na ninaimani wateja watajaa coz wameshaona
Pole sana, ndugu yetu vunjabei hii nchi yetu ya zanzibar imejaa matatizo zaidi hao manispaa na polisi wamejaa rushwa na kuonea watu. Raisi tunakuomba utusaidie na zaid kwa upande wa manispaa mjini wanadhulumu sana watu wa chini.
Nimemfahamu vizuri Fred kitu gani alitakiwa afanye, Nini aondoe na wapi aweke kwa vile zenji Ina Sheria zake data Sheria Kaka ufanye biashara achana na Hawa wanao comment ujinga na Mambo wasio yajua, popote pale hata bara wanasheria zao hawataki maji ya kunywa ya zenji yaingie bara, sukari na bidhaa nyengine kwahio huo ni utaratibu wa sheria zao .........kila la kheir Fred vunja Bei ukiweka ngazi sawa nitapita hapo kuja kununua bidhaaa😂😂😂
mchukuwe na watu wenu wote kwangu ndio useme hayo sio kuacha watu kwetu kisha unasema sema kwako kwako ovyo na zuena sio wa kwenu uko wewe wa ovyo sana
Apo chacha utasikia wabaguzi lkn sijui kwa nini hawaondoki??km unabaguliwa huwezi dhiki ondokaaaa ....lkn ukikaaa ina maana kuna faida endelea kukaa tu ...kisebusebu na kiroho papo.ovyooo mtuacheeee jamani
Pole sana Fred ila Baraza la manispaa sio barabarani tu Ata ukiwa sehem za ndani wanaongoza kwa kulalia watu hawakai wakafanya mamb ya maana tunawajua kwa majina watumishi wanaopenda rushwa na hawana utemdaji wwte zaid ya fitna tu maisha Zanzibar haitoendelea maisha mpaka kiama kitasimama
Ata ukifata taratibu ila hawana utu ata kidg yaan wanashindwa kuelekeza watu wao wanajiamulia tu unawez ukalipia eneo na ukaomba kibali ila mwisho wa siku wao wao wanakuja kukubomolea
Maneno ya Fred "walikuwa sahihi kuvunja lakini walikosea NAMNA ya kuvunja yananikumbusha maneno ya Thabo Bester alipokuwa akielezea kuhusu kumuua mpenzi wake, Nomfundo Thyulu. Alisema, "I'm responsible for her death but not her killing."
Itakuwa ww mwenyeo huijui zanzbar wkat hao wazanzbar wenyew wanavunyiwa wxnakosa uhuru wa kufanya biashara sema hao manuspaa ndo nyoko tena wsnakera hasa
Tatizo la Tanzania yetu hii ni kwamba tuna mipango ya miaka 2 au 5 nchi Za wenzetu wanamipango ya muda mrefu xana huwezi kuona mambo ya bomoa bomoa ovyo
@@juma2979 IPO hv me nimekutana na weng Wana choyo wanaroh mbaya Sana Wana fitin San Kwa mabosi uwiii hapan kweli Wal watu asilimia kubwa ND wapo na roho mbay
Yana roho mbaya huku yamefunga ramadhani, heheeee!! Hao Wana tabia mbaya ya ubaguzi znz huwa hawatupendi sisi wa bara, na sijui kwanini mnawaacha wanazagaa huku Bara kwetu waende kwao hukoooooo!!! Na sisi tumewachokaaaa
Acha maneno ya kashfa sisi sote ni watanzania halfu heshimu imani ya mtu acha kuitia dosari ramadhan yetu halafu usituchukie waznzibar sisi sote ni watanzania
Na kila sehemu nzuri dar tutaimiliki sisi tutanua maboma tutasimamisha magorofa inshaallah. Na kama nimekuker nisamehe ila nakuombeya kwa Mungu akupe uzima wenye afya na akupe mali uweze kuwasdia watu na akujaliye uwe ni mwenye kuacha hasira ovyo
@@saaduonabdalla3576 Jenga Bara nzima hujakatazwa uwezo wako tu, Nyie ndiyo mnaotukana, Na ubaguzi umewajaa,Sisi Unajua fika kua sote ni 1 ndiyo maana Umetulia.
@@saaduonabdalla3576 Acha Zarau, Kuna watu zanzibar Wanamaisha Magumu Hadi huruma, Usijishaue Apa, Kama wewe Mungu Amekujalia kipato Shukuru na ukae kimya🙏.
Umeona yaani vitu kama hivi vina vunja moyo hata mwingine alie taka kuja kibiasha ata ogopa kuna ubaguzi flani una fanyika ange kuwa mzazibar ishu isinge kuwa kubwa hivyo
@@annehk8185 Yaani I don't understand wana shida gani utalii wanao lakini maendeleo haiuna watu wanaenda kuendeleza mji wana wavunjia Zanzibar ingetakiwa kuwa kisiwa cha kuigwa
@@aliceudoba3672 hivi unajuwa Wabara na Zanzibar kina nani wengi wako wengi waliohamia kwa wenzao kama upo Zanzibar nenda Dar uwaone Wazanzibar walivyojaa acha kuongea usichokijuwa utawaathiri wakwenu
Nyinyi mmesahau pale yule mbunge wa Nkasi Muamedi Kessi alivyosema kuhusu sukari na mafuta ya kula au mmesahau ? Kati ya sie na nyie ni kinananani wabaguzi ?
Lakini kusema kweli hizo ngazi zimechafua mji uchafu mtupu na mandhari ya nyumba ina sijaona miji ilio endelea kila nyumba ina ngazi lwa ndani na inaonyesha njia ndani kwa ndani sio barabarani vyuma na uchafu
Kaenda kuharibu biashara za watu kuuaza bei atakayo yeye wkt wenyewe wanauza kwa bei Moja wao lkn yy ataua anaeuza bei ya chini zaid , uko Bora uhame baada hapo utarogwa boss wangu Hama mzee
Mbali Na ngazi Kuwa imekiuka taratibu lkn napata mashaka Na wenyeji KUOGOPA ushindani hasa kipindi hiki CHA kuingia sikukuu wa fanya biashara kubali ushindani kama kavunja bei Na nyinyi kafateni anakochukua mwisho mnunuzi wa chini avae vizuri
We sio mgeni hii nchi ni moja unaruhusiwa sehemu yoyote iwe bara au visiwani awataki watu wa bara wafanye biashara unguja hicho ndio naona hapo n serikali Yao ni baguzi
@@aishaomarry6996ubaguzi kwa kua ni zanzibar tu lkn km arabuni utajiita mgeni mwenyeo lol ukitaka usitake mtu yeyote akija kwako atabaki kuwa mgeni maana mamlaka utakua nayo mwenyeo hio lazima.sidhani km jirani yako umemuachia nyumba yako afanye atakavyo kwa sababu anabakia ni mgeni tu . Any how kila mmoja ana haki ya kufanya atakavyo kwenye mamlaka yake.
@@shamsahaji6202 Maneno mengi yanini nainafamika kuwa ninyi ni watu wabaguzi mliotawaliwa na udini uta huko utajapo urabuni ndio baba mkubwa wa ubaguzi duniani
Hao jamaa hawanaga akili Ni mijitu ya ovyo sana hiyo. Washavunja sana vibanda vya watu kwa visingizio vya ajabu kabisa. By the way hao wananyanyasa sana wazanzibari wenzao huyo wa bara bahati mbaya tu
Wazanzibar baadhi Yao wabinafs xana Alf wanaroho kubwa mno Kwa watu wa bara cjui tatizo lipo wapi na izo idara za manispaa nazo ata aziwezi kujali kua huyo ni mteja wao wakatumia busara kwenye swala ILO.