Тёмный

MWANAFUNZI AKODISHA GHOROFA KARIAKOO, ANAINGIZA MILIONI 30 KWA MWEZI, "NILIANZA UDALALI CHUONI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 218 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 537   
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 2 месяца назад
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Mungu akupe maisha uibadilishe nchi yetu ukiwa minister of investment naiona nchi ikiwa mbali mwanangu
@user-sw6uo6rv6j
@user-sw6uo6rv6j 3 месяца назад
Wanao tudharau ma last born dogo katuwakilisha vyema hongera mashallah Allah atupe hekma ya kutafuta rizki ya halali
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 3 месяца назад
Amin kka
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-rk6sp6ks5e
@user-rk6sp6ks5e 3 месяца назад
😂😂😂kwakweli
@fedrickmichael5970
@fedrickmichael5970 3 месяца назад
Kabisa ✊
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 3 месяца назад
Mtaji mkubwa sana. Je kaupataje??
@joyceKingu
@joyceKingu 3 месяца назад
Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 месяца назад
Hongera kijana mwema. Una bidii sana. Mungu azidi kukubariki na kukuinua katika maono yako.
@AfricaQueen
@AfricaQueen 3 месяца назад
Dah! Smart Boy 🤝💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌Hongera sana Mungu Azidi kuleta Baraka nyingi kwako Ubarikiwe kakaangu🕊️🤝
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 2 месяца назад
Millardayo weka website yake au namba ya dogo
@moahmed7588
@moahmed7588 3 месяца назад
Apo na Rais Mwinyi pakoje apo? Big up dogo
@nasiwasumari3830
@nasiwasumari3830 3 месяца назад
Hongera sana Basil! Mwenyezi Mungu aendelee kukuwezesha. Amina!
@basilmswahili3685
@basilmswahili3685 3 месяца назад
Amen🙏
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 месяца назад
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe.. Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo. Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
@stevenjohn7905
@stevenjohn7905 3 месяца назад
Very Smart jamaa ana akiri nyingi Sana, serikali inabidi iwekeze kwa huyu kijana
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 3 месяца назад
Wapo wengi sana 😂 Kilamtu apambane
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 2 месяца назад
AKILI
@febiolam5904
@febiolam5904 2 месяца назад
Na wewe inabidi uwe na AKILI Sio AKIRI
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 2 месяца назад
​@@febiolam5904😂😂😂😂😂😂 bora umeelewa
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m 3 месяца назад
Ametukuka Allah kwa kujalia akil ubunif kwa kijana huyu, namuona mbali saana kijana, mungu akuzidishie
@axelmalekia2558
@axelmalekia2558 2 месяца назад
Hongera sana. Very inspiring. Hukuna kukata tamaa. Mungu akubariki sana.
@annachales9623
@annachales9623 3 месяца назад
Hongera sana dogo yaani wewe ni hatari na nusu...Mungu azidi kukusimamia
@annndunda3953
@annndunda3953 3 месяца назад
Kwa hio my daughter ako sawa she's in grade eight, lakini musimu wa maembe na machungwa hua anazibeba shule anauza ajibuyia vitu ndogo ndogo
@rerisamba
@rerisamba 2 месяца назад
Heri wewe watoto wengine hata uwawekee barafu wauze hapo nje angalao ajipatie pocket mani hataki
@Jjm172
@Jjm172 2 месяца назад
Smart
@pilotmadata5791
@pilotmadata5791 3 месяца назад
Elon musk, billgate, jeff bezos wooote walianza mdogo mdogo kama huyu kijana wetu🇹🇿❤🥂🥂
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 месяца назад
Wewe unawajua hao majamaa lakn wao hawakufaham😅
@pilotmadata5791
@pilotmadata5791 3 месяца назад
@@PrinceBonnyTz8 hamna umuhim kwa wao kukujua ila cha muhimu ni kujifunza kutoka kwao🙏🏼❤
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 месяца назад
@@pilotmadata5791 Acha nikutumie namba za Musk uongee nae 😅
@AminaIssa-ee6kl
@AminaIssa-ee6kl 2 месяца назад
​@@PrinceBonnyTz8😂😂😂
@Thynkmypodcast
@Thynkmypodcast 2 месяца назад
😂😂😂
@ramadhankipati7740
@ramadhankipati7740 2 месяца назад
Very cool young Man...Maua yake mjasiliamali🎉👏
@shebbymazua8216
@shebbymazua8216 3 месяца назад
Mungu akutangulie bro umetuwakilisha vzk ziba sec
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 месяца назад
Huyu alikuwa na pesa kwa hiyo ukiwa na pesa kila unachofanya unagusa tu ww kukodi ghorofa unafikili kz ndogo?
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 месяца назад
Daaaah!! Hongera sana mdogo wangu...., mwenyewe na utu uzima wangu kina kitu nimepata. Mwenyenzi Mungu Azidi Kukuinua!!!!
@tazamamaajabuyaulimwengu2786
@tazamamaajabuyaulimwengu2786 2 месяца назад
Tatizo mitaji tz sasa yeye alikuwa na mtaji wa kukodi ghorofa kariakoo alikuwa vzr xana
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
Kira kitu umepata
@jaynetasha4190
@jaynetasha4190 2 месяца назад
Eeh Mwenyezi Mungu mjalie mwanangu uwezo huu mkubwa wa kufikiri na umfikishe juu kileleni. Amen. Hongera sana Basil
@basilmswahili3685
@basilmswahili3685 2 месяца назад
🙏🙏
@riddi676
@riddi676 2 месяца назад
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
@lailatmondwe9829
@lailatmondwe9829 2 месяца назад
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
Una akiri Sana👍 nimekuerewa
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 месяца назад
Jamani,kuna swala la capital aliwezeshwa na nani. Million mbili huwezi kukodi gorofa Kariakoo
@pendosailo1989
@pendosailo1989 3 месяца назад
Sure...atueleze kapataje mtaji. Tuanzie hapo
@philej
@philej 3 месяца назад
Ukimsikiliza tena vizuri utamuelewa Kwa msaada tu nikeleweshe kidogo, Jamaa kaongea na mliki wa jengo ampe muda kidogo wakumlipa pesa yake uku akiendelea kulitumia jengo
@selemanindege9933
@selemanindege9933 3 месяца назад
Hakuna tajiri wa hvyo yaan akupe ghorofa utumie alafu umpe Kidogo kidogo wakati kaliakoo​ watu wenye pesa zao wanatafuta hizo ghorofa@@philej
@ashelimwamlima602
@ashelimwamlima602 3 месяца назад
Asa mbn unatak kuweka DEBATE kubisha yani,, n jamaaq kasema
@barbarasara4033
@barbarasara4033 3 месяца назад
​@@selemanindege9933 NI mwongo 😂I 😂😂😂😂 Kariakoo Kwa hiyo bei
@mwanajaajuma9042
@mwanajaajuma9042 2 месяца назад
Masha Allah Mungu akuzidishie na sisi wengine pia tuige mfano mzuri kama huo
@Kibeche
@Kibeche 3 месяца назад
Big up sana kijana
@honorykwahhay4364
@honorykwahhay4364 2 месяца назад
Vizuri sana Basil Kwa kuona fursa na kuitumia, umetoa funzo kwa vijana na hata hamasa
@sweet16honey75
@sweet16honey75 2 месяца назад
Congrats I am from kenya my mum is from Tabora kudos our Taborian
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians 3 месяца назад
Congratulations 🎉🎉🎉 Basil💪
@tatumwakitwange8369
@tatumwakitwange8369 3 месяца назад
Mungu akubariki akupe fursa zaidi kwenye maisha yako
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 2 месяца назад
Hongera sana Basil keep up the good work
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 2 месяца назад
Dogo ana akili kuzidi watawala,Mungu akulinde uzidi kutimiza ndoto zako👍🏻👏🏽🙏
@niyonzimakatama6516
@niyonzimakatama6516 2 месяца назад
Keep it up kijana be blessed 🙌
@muchunofrank1326
@muchunofrank1326 2 месяца назад
Kwenye Nia pana Njia, vizuri sana dogo
@user-xd4rj2iu5q
@user-xd4rj2iu5q 2 месяца назад
Aiseee basil that is sure kweli wakati wa mungu ni sahihi Sana Hongera kaka
@esterkimath1214
@esterkimath1214 3 месяца назад
Basil ❤unaakili sana 😇
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 3 месяца назад
tofauti ya huyu kijana na watu wengine wanaolalamika maisha magumu na kwamba ajira hamna ni UTHUBUTU, UTHUBUTU, UTHUBUTU
@nurumligo4862
@nurumligo4862 2 месяца назад
Hujiulizi alipata wapi hela ya kukodi ghorofa, ukarabati, furniture. Hakuna mtu hapendi fursa, think beyond the box
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 2 месяца назад
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 2 месяца назад
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 месяца назад
Mtaji Alipata wapi hilo ndilo swali
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 2 месяца назад
@@edwardmkwelele muwe mnasikiliza interview nzima kabla hamjakurupuka kuuliza maswali...mbona ameeleza hapo vizuri tu..au madishi yameyumba kuelewa ndio shida
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 2 месяца назад
Uko vizuri sana mdogo wangu, nina Imani utapiga hatua kubwa sana, na nafahamu utajenga magorofa yako mwenyewe.
@basilmswahili3685
@basilmswahili3685 2 месяца назад
Amina sana😀🙏
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 2 месяца назад
@@basilmswahili3685 MUNGU NI MWEMA 🙏🇹🇿
@AminaIssa-ee6kl
@AminaIssa-ee6kl 2 месяца назад
Amin Thumma Yarabby...🤲🤲🤲
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 2 месяца назад
@@AminaIssa-ee6kl Amina 🙏
@Monyo04
@Monyo04 2 месяца назад
​@@basilmswahili3685hongera kijana
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 3 месяца назад
Shirika la nyumba lijitathmini..ila nampa Big up saana tu huyu dogo..
@barbarasara4033
@barbarasara4033 3 месяца назад
Sijui hata kama lipo
@moudys
@moudys 3 месяца назад
Wewe bado akili imefunga, madhaifu ya sector hizi ndio fursa kwa vijana wenye akili.
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 месяца назад
Hongera sana, Mungu azidi kukupigania 🤝🙏
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 3 месяца назад
Hili tangazo zuri sana kwa wanaohitaji vyumba
@dn.n4983
@dn.n4983 3 месяца назад
Safi sana sana ubarikiwe
@evachuwa3809
@evachuwa3809 3 месяца назад
DUH SMART BOY🎉🎉🎉
@adolfkirway5715
@adolfkirway5715 3 месяца назад
Akili sn hongera mwamba tunahitaji vijana mbali nakusoma tu tuwe wangunduzi na kutatua changamoto za kimaisha kwetu na wenzetu unafaa kuwa kiongozi
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 3 месяца назад
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
@user-bw2zn3il3n
@user-bw2zn3il3n 3 месяца назад
😀😀😀😀😀😀
@Jifunzenami
@Jifunzenami 3 месяца назад
😂😂😂😂
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 3 месяца назад
😂😂😂
@highskills5883
@highskills5883 3 месяца назад
💨
@ASMAFTAAH
@ASMAFTAAH 3 месяца назад
😂😂😅 Naam Sheikh
@lusseraymond5449
@lusseraymond5449 2 месяца назад
Big brain bravooo
@user-jz9bb6lw1c
@user-jz9bb6lw1c 3 месяца назад
Yes..my University mate .. muhimbili...nimeshawahi kufika hapo
@eldawilliam3541
@eldawilliam3541 2 месяца назад
Hongera sana mwangu Mungu akubariki sana
@user-mr5yf1hp7t
@user-mr5yf1hp7t 3 месяца назад
Mashaallah allah akuzidishie kipaji chako
@ezrommussamusssa2540
@ezrommussamusssa2540 3 месяца назад
Nikijicheki nategemea boom alafu sielewi hata linaishaje nabaki nachoka
@user-jx9xc6vo9x
@user-jx9xc6vo9x 3 месяца назад
Mungu akutangulie mwanangu
@danielsighis9953
@danielsighis9953 2 месяца назад
safi sana, afaa kuwa kiongozi mkubwa saana, big up saaa hata anvyojibu maswali najibu kwa akili sananaa. MUNGU akufunikieee
@leylaruhabaye9017
@leylaruhabaye9017 2 месяца назад
Mungu akulinde kijana wangu kijana wa mkoani umeweza
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas 3 месяца назад
Kariako ni kubwa na hii huwez fanya bira msaada kuna vitu vingi mnaficha hamuweki wazi kariako nisehemu zenye kodi kubwa labda jengo ni lao kuna kitu mnaficha kwa Dar kariakoo kuna kodi kubwa Sana
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 3 месяца назад
Duh kwa kariakoo sidhani labda inawezekana
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 3 месяца назад
Mbona kaongea
@funekamole6742
@funekamole6742 3 месяца назад
Wangese wanazingua!😢
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Fichua wewe mbwa mmoja yaani akilo za maskini.nawe fanya hivyo vitu
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 3 месяца назад
Mtabaki ivo ivo akili zenu kisoda
@PozzTonny-in8vy
@PozzTonny-in8vy 3 месяца назад
Akili kubwa big up brother
@carolinepeter961
@carolinepeter961 2 месяца назад
Kijana Yuko vizuri ..very smart
@user-qb7ej8cp5y
@user-qb7ej8cp5y 2 месяца назад
Upo vizuri sana hongera
@Jammie626
@Jammie626 3 месяца назад
Hongera sana Basil
@user-qv9ii6qz7q
@user-qv9ii6qz7q 3 месяца назад
Mungu akusimamaie kaka
@directorabiero340
@directorabiero340 3 месяца назад
Hongera sana bro
@user-bn8wj2lz1z
@user-bn8wj2lz1z 2 месяца назад
Wewe noma mungu akuongezee njia
@erastojr1195
@erastojr1195 2 месяца назад
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
@Africaner21
@Africaner21 2 месяца назад
Kuna watu wanamshika mkono maana hawezi Kukodi Ghorofa bila maokoto
@erastojr1195
@erastojr1195 2 месяца назад
@@Africaner21 kabisaaa kaka
@ezekielmbise9766
@ezekielmbise9766 3 месяца назад
hongera basil
@Abbysalaam
@Abbysalaam 3 месяца назад
Jamaa anajua kujibu maswali 🎉
@Yohana-cz2ek
@Yohana-cz2ek 3 месяца назад
Respect bro
@anithamaganga
@anithamaganga 2 месяца назад
Vichwa bado vinazaliwa👏👏👏safi bro
@ibrahimmhapa4856
@ibrahimmhapa4856 2 месяца назад
Big up big fighter 💪💪💪💪💪💪
@user-ks7zc6kd7u
@user-ks7zc6kd7u 3 месяца назад
Du jamani huyo mtoto ni brilliant Mungu amtunze na Ulinzi wa kiMungu uwe juu yake
@basilmswahili3685
@basilmswahili3685 3 месяца назад
Amen
@getrudewillson308
@getrudewillson308 3 месяца назад
Kiukweli MUNGU AKUBARIKI sana mwanangu
@tenajtenaj4284
@tenajtenaj4284 2 месяца назад
Very smart guy🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 3 месяца назад
Tusiishi kwa mazoeya lazima tutafute Mbadala
@bakarimasanga3634
@bakarimasanga3634 2 месяца назад
Your testosterone level is high, u know what I mean Basil.big up bro!
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 17 дней назад
Hongera sana ila Kwa kukodisha gorofa kkoo DSM Hii kubali unatumika na wakubwa
@richkaja3317
@richkaja3317 2 месяца назад
Hongera sanaa Boy
@cyrustimothy2714
@cyrustimothy2714 2 месяца назад
Umetisha mwana, umenipatia fursa ghafla ninapoishi
@kulwaemmanuel2875
@kulwaemmanuel2875 2 месяца назад
Mungu azidi kukusimamia na kukufanya uzidi kufanikiwa na kubarikiwa day to day mwamba.
@wakanaiautogaragecarpaints7753
@wakanaiautogaragecarpaints7753 2 месяца назад
I see kijana nampatia mauwa yake kabisa mwenyezi mungu adhidi kukupa afya njema na adhidi kua saidie na watu wengine ambao hata sio wanafunzi wa chuo
@hajudocompanylimited7996
@hajudocompanylimited7996 3 месяца назад
Safi sana mdogo wangu
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 3 месяца назад
Hongera sana
@rosemarykipesha3898
@rosemarykipesha3898 2 месяца назад
Very creative
@sosteneselias7764
@sosteneselias7764 3 месяца назад
Big up brother 💪😁
@FrancissamwelfrancisSamwelfran
@FrancissamwelfrancisSamwelfran 2 месяца назад
Sio kweli kwa sis ambao tunahaso huwez kupata gorofa kariakoo kwa million 2 asituzuge huyu jamaa , lamda atuambie Kuna mwamba nyuma yake
@redemptervictor5006
@redemptervictor5006 Месяц назад
Mwamba Tena??🙄🙄
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 3 месяца назад
Hongera sana Kijana
@kevinmary7129
@kevinmary7129 2 месяца назад
Genius ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@EstherMinja-jv1qf
@EstherMinja-jv1qf 2 месяца назад
Hongera sana mwanangu
@beatricerobert8985
@beatricerobert8985 2 месяца назад
Huyu angesoma bsness admin au interprnurshp
@surusuru1994
@surusuru1994 3 месяца назад
😮mashaallah❤❤❤❤❤🤲🤲
@user-zp4gf7te8o
@user-zp4gf7te8o 2 месяца назад
Duh hii nayo ni nzuri
@AloyceMachinya
@AloyceMachinya Месяц назад
Hongera sana kijana
@nancympangile9813
@nancympangile9813 Месяц назад
Big up sana kaka
@user-rv7nm5ep4p
@user-rv7nm5ep4p 2 месяца назад
Hongera sana Kwa ubunifu.
@medystarter
@medystarter 3 месяца назад
Hii inaweza kuwa nzuri pia inaweza kumfanya mmiliki akatamani kuchukua iyo fursa
@aishaabdalla7624
@aishaabdalla7624 2 месяца назад
Nalo neno!
@user-ql5rr2ve8b
@user-ql5rr2ve8b Месяц назад
Majina ya kina basil yanaakili sana ya biashara, hawaonagi aibu kufanya kazi za mikono yao hata kama wana elimu kubwa, hawapendi kuhajiliwa kwa pesa ndogo ndomana wanajituma sana...
@Adeen.1
@Adeen.1 3 месяца назад
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....
@abrahamtitusi8967
@abrahamtitusi8967 2 месяца назад
laivu bila chenga mzee
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 hatari 😂
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 3 месяца назад
Nimeipenda hii
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 3 месяца назад
maashaallah mungu awabariki nyote kwa interview nzuri kama hii
@ConsolathangairoConsolathamart
@ConsolathangairoConsolathamart 2 месяца назад
Hongera🙏🏻
@AsungaSteven
@AsungaSteven 24 дня назад
Umetisha sana
@owlbig
@owlbig 2 месяца назад
Congratulations brother
@omeraJR
@omeraJR 3 месяца назад
Genius for REAL👊👊
@elieshistephen1534
@elieshistephen1534 2 месяца назад
Basili muinue sana Mungu kila wakati ili azidi kukuongoza na kukuepusha na kila ubaya.
@sein.208
@sein.208 3 месяца назад
Masha Allah
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 3 месяца назад
Mungu azidi kukusimamia
Далее