Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe.. Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo. Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
Ukimsikiliza tena vizuri utamuelewa Kwa msaada tu nikeleweshe kidogo, Jamaa kaongea na mliki wa jengo ampe muda kidogo wakumlipa pesa yake uku akiendelea kulitumia jengo
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
Kariako ni kubwa na hii huwez fanya bira msaada kuna vitu vingi mnaficha hamuweki wazi kariako nisehemu zenye kodi kubwa labda jengo ni lao kuna kitu mnaficha kwa Dar kariakoo kuna kodi kubwa Sana
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
Majina ya kina basil yanaakili sana ya biashara, hawaonagi aibu kufanya kazi za mikono yao hata kama wana elimu kubwa, hawapendi kuhajiliwa kwa pesa ndogo ndomana wanajituma sana...
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....