Тёмный

Salama Na Khadija Kopa Ep 9 | ALIYEPEWA KAPEWA Part 2 

YahStoneTown
Подписаться 394 тыс.
Просмотров 54 тыс.
50% 1

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Khadija Omar Kopa.
Malkia wa mipasho na lejendari wa muziki wa Taarab kwenye ukanda huu na duniani kwa ujumla, mwenyewe kaniambia yeye kwenda Arabuni na Ulaya ni jambo la kawaida tu kwake maana hayo kayaanza kuyafanya kitaaambo sana. Kitambo kweli naweza sema, mimi nimeanza kumfahamu Da Khadija toka kigori kabisa, na amekua hapo kwenye standard hiyo hiyo kwa miaka nenda na miaka rudi. Hii bila ya shaka imetokana na kwamba na yeye alianza kufanya hizo kazi akiwa bado msichana mbichi kabisa. Na ameweza kutuliza akili yake na ku maintain standard na status yake kwa miaka nenda miaka rudi kitu ambacho ni kigumu kwa mwanamke, tena kwa mwanamke wa visiwani ambako miongozo ya kidini ina mizizi kama ya mbuyu lakini ameweza kutunza heshima yake na kuonyesha kipaji chake huku akiwa na staha yake. Inabidi uwe na nguvu ya ziada kuweza kuwa na ujasiri wa aina hiyo.
Bila ya shaka alikua pia akipambana na mengi, pengine kukatishwa tamaa au hata vitisho ili aache kufanya alichokua anafanya kwa kutumia kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu lakini wapi, kwa mbwembwe za hali ya juu yeye ndo ameibuka kidedea kwenye vita hiyo na ndo maana heshima ya ulejendari inamhusu moja kwa moja Dada yangu huyu.
Wengine watasema pengine yeye si muimbaji wa taarab mwenye sauti nzuri zaidi ya flani na fulani, pengine kuna ukweli ndani yake, lakini je, hao wenye hizo sauti nzuri zaidi yake wako wapi? Je wana uwezo wa kucheza na kuringa jukwaani kama Khadija Kopa? Je wanajulikana kama yeye? Je wana ushirikiano na wana muziki wa kizazi kipya cha Bongo Flava na kutoa nao nyimbo zilizoshika chati ya juu? Je wana uwezo wa kuingiza Taarab yao kwenye matamasha ya muziki wa kizazi kipya na watu waka bang kama kawa? Mimi na wewe tunajua jibu.
Hii ni kwa ajili ya Dada yangu, fundi wa hizi kazi, tumpe heshima yake maana ‘Mpewa hapokonyeki, aliyepewa kapewa...’
Tafadhali Enjoy.
Love,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Развлечения

Опубликовано:

 

28 мар 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 107   
@najma3268
@najma3268 4 года назад
Huyu mama ninampenda sana kwakweli , Allah akuweke
@winniekadii5705
@winniekadii5705 4 года назад
Khadija unasauti nzuri jamani horse voice
@prettypretty9745
@prettypretty9745 2 месяца назад
Nimeona stutus nimekuja kuiangalia yoteee aiseee safari ya ndoa ya bikhadijaaa nimeipendaaa😂😂😂
@godfreyally7787
@godfreyally7787 4 года назад
Mama interview zako elimu tosha Mungu akupe maisha malefu
@lakimdiu2547
@lakimdiu2547 4 года назад
Uishi miaka mingi mumy ! salama unajua sana ujie😍
@mwanahella9650
@mwanahella9650 4 года назад
Mambo ya kutundikana roho juu ya miti hiyo kwiyooo 🤸🤸
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Usimsemee mtu maana haujui kwanini anasema hivyo/walikosana nini🤔Ahsante bi khadija kopa
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 4 года назад
Leo mm ndiye wa kwanza ku comment gonga like twende sawa
@oyay2821
@oyay2821 4 года назад
Nadhani chama kimemsikia Khadija kopa. Nia anayo na uongozi anao. Mpeni ubavu Bi Khadija Omar Kopa
@marymalaika476
@marymalaika476 4 года назад
Tafsiri yake ya ndoa nimeipenda sana😂😂😂😂maaana “kutundikwa roho juu mti” si mchezo🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@wewe3394
@wewe3394 4 года назад
😍😍😍❤❤❤❤
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Uyu ndie mimi sitaki kutiwa kaburini kabla siku zangu tunaachana kila asubuhi
@labokush
@labokush 4 года назад
Another awesome interview. Thanks Salama. Mad love 🇨🇦🇰🇪🇰🇪 Am also learning alot of Swahili words.
@a.856
@a.856 4 года назад
Khadija mama lao🔥
@naziakijangwa983
@naziakijangwa983 Год назад
Da salama mi nimvivu kuangalia kipindi mpa mwisho but wew ni ninoma nanusu
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
Wakat I umefika CCM wamshike mkononi mama. KHADIJA ago been na yy ale keki ya nchi katumikia sana
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 3 года назад
Kweli aisee
@Nouruyoun
@Nouruyoun 4 года назад
Da khadija gombea jimbo lenu la kwahani. Usikubali kugombania viti maalum, lazma ugombee sehem ambayo kama mwanamke utakua proud...
@RioIpo
@RioIpo 4 года назад
Kweli aje kwetu Kwahani... hatujamtupa mama etu
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
Khadija kopa deserves more respect
@esterdanford5563
@esterdanford5563 4 года назад
Unapotaka lako usitake mawazo ya mtu maana hujengi zahanati ya kijiji,ili mradi huvunji sheria.#NajifunzasanaKupitiahikiKipindi
@hanifakimaro2179
@hanifakimaro2179 4 года назад
Hii interview ndio imenifanya nikasubsribe kwa Chanell yako Salama, much love kwa Khadija ❤️🌹
@sassboy9360
@sassboy9360 4 года назад
Hujamuliza kuhsu vipaji vya watoto wake waliobakia but all in all is good interview you made it mzanzibar mwenzangu
@MrsMabusu
@MrsMabusu 4 года назад
Mpeni kiti mama Khadija she's good 😊
@barackhuncho2432
@barackhuncho2432 4 года назад
Nguo.. Nyeusi ...Salama duuh kila kipindi...
@lionroot4073
@lionroot4073 4 года назад
Niko Sweden na nakusom mzenji mwenzako nakusoma kitambo since upo East Africa TV blessing
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 4 года назад
Salama nakupenda upo mtufulani hivi tofauti na muonekano wako watu wanavyo kudhania 😍😍😍😍
@jeromejoseph9127
@jeromejoseph9127 4 года назад
Huyu mama nampenda forever yaani anaongea ukweli. Yupo open kabisa... MUNGU amuweke
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
My love mom, kipenzi changu legendary ❤️
@feifei9620
@feifei9620 4 года назад
Beat🎺tulivu mambo yetu wa mji mkongwe 🇧🇴 bless up sis Amani tu. .
@mrsmile2420
@mrsmile2420 4 года назад
Interview ya kibabe sana big up sana kwako sister Salama. We need more this kind of interview kwani tunajifunza kitu baada ya kuangalia interview kama hizi.
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 4 года назад
Salama umeuliza swali nzuri Sana utamwambia je Sasa wakati upo lonely
@nyamburawacoast305
@nyamburawacoast305 4 года назад
Naomba umuite diamond akwambie kwanini anachezea madada wa wenziwe
@salamaoman8133
@salamaoman8133 Год назад
Mm nimefurahi sana kwa maeleza ta dada khadja na wajina salama
@kulolamasanyiwa3683
@kulolamasanyiwa3683 4 года назад
Huwa unamaneno ya msingi bi khadija nakupenda basi tu
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 4 года назад
I'm very happy for mama ❤🤲🙏
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 года назад
Mkadokoana 😂😂😂😂😍😍
@henriettenkuba7078
@henriettenkuba7078 4 года назад
Salama nilipenda mkasi pia.muba na yule jamaa mwingine♥️♥️♥️♥️
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 4 года назад
Mama 2020 chukua ubunge viti maalum .....jaribu bahati yako
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 года назад
Salama interview na Khadija bomba😘😘😘😘
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
Salute sj kwanza tyu jna la kipind I ni creativity it changes according to theme you are the best
@salumchande2702
@salumchande2702 4 года назад
So nice
@nasrabakari7280
@nasrabakari7280 3 года назад
I love you salama one day na mimi utakuja nihoji😘
@sekelagatusekelege1824
@sekelagatusekelege1824 4 года назад
Nampenda sana Hadija kwa uwazi,pia Salama kwa maswali yenye mpangilio
@gladnesskimati
@gladnesskimati 4 года назад
Khadija amefiwa hadi ameona kitu cha kawaida
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 года назад
Nimefurah sana kumsikia huyu Bibi Mungu amzidishie
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 4 года назад
Nakupenda Bi.Khadija
@barwani890
@barwani890 3 года назад
Asalaam aleikum salama mm mznzibar lkni Niko Oman nimeipenda kipindi chako mm mpnzi WA michezo ya riama saana na nampendea khadija kopa endelea na kazi yk
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Umenifurahisha sana Bi khadija 😍😘
@henrytawa1191
@henrytawa1191 4 года назад
Ukojuu sana 🙌
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
Bi khadja🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙌🙌luv u 4rever.mliwaka kipndikile na asmah.@sanam la michelini 🤣
@Yessjamal
@Yessjamal 4 года назад
Salama MNASUBIRI NN KUMLETA CHIDI APA AAAH KWNZ CHIDI INTERVIEW YAK UKI UPLOAD HAIPUNGUI VIEWS 300K NASEMA IVY KWA SABABU ATAMIMI RU-vidR LETEN CHIDI BENZ APA
@adelavictor9844
@adelavictor9844 4 года назад
Iko Pouwa
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 4 года назад
nimeipenda sana hii prog yako salama nina suala dogo kwako mzee wako ni mwalimu ?
@nailaomar4810
@nailaomar4810 4 года назад
Much love khadija and salama
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 года назад
Mashallah dada wetu kopa
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
Salama we were ni mtangazie bora Tanzania sio kama Hawa watangazije. Mihemko WA sikuhizi
@hadijandenga8892
@hadijandenga8892 3 года назад
Penda sana wajinaaa
@amanimushi1466
@amanimushi1466 4 года назад
Nimeipenda sana hii
@zaidalnoamani5364
@zaidalnoamani5364 4 года назад
Nawapenda saaana
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Safi Sana salama naaaaaaaaa
@agnesndetaramo7209
@agnesndetaramo7209 4 года назад
Love you guys
@henriettenkuba7078
@henriettenkuba7078 4 года назад
Salama nakupenda yangu 2004 eatv
@khamissshaban4016
@khamissshaban4016 4 года назад
Sijutiii kupoteza bando lng
@yudatadeshayo4434
@yudatadeshayo4434 4 года назад
Mkadokoana ha ha ha bi khadjia bhana
@longdsaningo498
@longdsaningo498 2 года назад
Kwny kichaka kama nanii et 😃 we salama wee
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 4 года назад
Hicho kiatu cha Street Soul mpk leo hakijanunuliwa tu!!
@salomeoberd2949
@salomeoberd2949 4 года назад
Nampendaga sana uyu bi mkubwa
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Love u mom khadija
@rumibarton2359
@rumibarton2359 4 года назад
Malkia wa mipasho kabisa huyo
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 4 года назад
Mi nawapenda tuuu
@neylakeyla4248
@neylakeyla4248 4 года назад
😍😍
@maryamkhamfar4029
@maryamkhamfar4029 4 года назад
❣❣❣❣
@mjukuuwanyerere1626
@mjukuuwanyerere1626 4 года назад
Ruge Ruge Ruge ......daah rip broda
@najmasoudnaj8211
@najmasoudnaj8211 3 года назад
Nice 🔥💯🥰🤣
@jumamuhando2504
@jumamuhando2504 3 года назад
Hili swali la hadija kopa na nasma kadogo nililitegemea litaulizwa nalaiti salama usingeliuliza hili interview isingenoga
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 4 года назад
Hapo kwenye kukabana Roho
@rahimalewe2835
@rahimalewe2835 4 года назад
Mama nakupenda sana yaani nangalia mfano kutoka kwako naesabu ndoa tu Kama ww mama sitaki dhiki ya nafsi mm😁😁
@rahmamalki610
@rahmamalki610 4 года назад
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 4 года назад
Duuh roho juu ya mti
@chunanachu2529
@chunanachu2529 4 года назад
Nimejifunza kitu hapo kwenye mapenzi
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 3 года назад
Nikeeli hata mmi naolewa na nikiona mwana mme ananifanyia mazila aaa nadai talaka akitokea nakubal na akinitenda naondpka
@maryamkhamfar4029
@maryamkhamfar4029 4 года назад
Siku nikija kujua kua Diamond na Kiba hawana ugomvi ni biashara tuu lazima niwachape bakora
@sherrysalim50
@sherrysalim50 4 года назад
Maryam Khamfar 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@marymalaika476
@marymalaika476 4 года назад
Maryam Khamfar 😂😂😂inavyoonekana wala hawana ugomvi wa maana hao, kuna hitilafu ndogo tu mahali ambayo wajanja wanaitumia kupata kitu...diamond aliwahi kusema mahala fuatilia interview za mondi...!
@haskao77
@haskao77 4 года назад
Hawana ugomvi wowote wa maana. Kuna kipindi zilipostiwa video Kiba yuko na SalamSk wanapiga stori wanacheka.
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 4 года назад
Nakupenda bi.khadija
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
Business ethics guys learn that,play with fans,get more money.
@samsungoman5626
@samsungoman5626 4 года назад
😍😍😍😍😍😍😍
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 года назад
🤣🤣🤣🤣 mkadokoana 🤣🤣🤣❤
@asterialucas4680
@asterialucas4680 4 года назад
Salama mtafute JayDee
@alexshallom3094
@alexshallom3094 4 года назад
Muda mwingine tena, LEO nimejifunza mapenzi lkn nilijua ntajifunza MICHAMBO. NIMEPENDA sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@joycejohn7754
@joycejohn7754 4 года назад
Mlete lulu
@fettymanyo438
@fettymanyo438 4 года назад
Bi kop nimekuelewa
@fettymanyo438
@fettymanyo438 4 года назад
Kipind poa
@abuusalama895
@abuusalama895 4 года назад
Salama kuna swali ameuliza katulia kama maji ya mtungini @ ndoa
@sherrysalim50
@sherrysalim50 4 года назад
Da salama tuletee bint kiziwi please
@binsururu
@binsururu 4 года назад
Et unahesabu Viewers😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Bin Sururu hahaha
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 4 года назад
Mlete na Bi chau
@asiatawfiq1541
@asiatawfiq1541 4 года назад
Anaumwa mbona
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 4 года назад
@@asiatawfiq1541 hata sjawahi kujua jmn
@munynasser365
@munynasser365 4 года назад
Follow account hii ya mapishi...inaitwa...mapishi house
@munynasser365
@munynasser365 4 года назад
Subscribe channel ya mapishi house
@swaumabdi4213
@swaumabdi4213 3 года назад
Nakupenda sana salama ww ni mcheshi mashara kibao raha tupu
Далее
Salama Na Khadija Kopa Ep 9 | ALIYEPEWA KAPEWA Part 1
29:21
Houdini Algorithmic Live #107 - Sci-Fi Dissolve
3:46:08
Просмотров 242 тыс.
Khadija Kopa Top In Town Official Video
20:39
Просмотров 2,4 млн
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
телега - hahalivars
0:54
Просмотров 3,5 млн