Тёмный

Salama Na VANNY BOY Ep 54 | NDAGHA PART 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 465 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Kutoka kwao Mbeya mpaka Dar es Salaam kwaajili ya kutafuta maisha bora na maendeleo kama wengi wetu ndo ilikua nia na madhumuni ya Raymond wa enzi hizo. Ingawa kuna kipindi ilifika alikua hataki kabisa kuskia habari za muziki, ila alipoambia kama kuna pesa ndani yake katika huo mchongo wa mashindano ambayo aliitiwa na akiangalia nyumbani moja haikai na mbili haijulikani ilipo akaona basi sawa, kwani nini? Na huo ndo ulikua mwanzo wa safari nzuri ya ki superstar ambayo anaishi nayo sasa.
Najua wengi wenu mlikua mnadhani labda yangezungumziwa madhila alokua nayo sasa ila kwa bahati mbaya (kwako) na nzuri kwetu, sisi tulizungumza naye kabla. So hii ilikua free na natural kama ambayo utaiona au kuiskiliza. Wengi wetu huwa tunapitia madhila na mitihani mingi tu kabla ya kujielewa na kusimama sawa sawa, na kupitia hayo ndo kujifunza na kuwa BORA kunatokea. Kuna msemo mmoja wa Kiswahili unaoenda kama, ‘asipo chafuka, atajifunzaje’, something like that.
Mimi Ray huyu nilianza kumsikia vizuri zaidi kutoka kwa AY ambaye ali spend naye muda mwingi hapa Bongo wakati wanafanya rekodi remix ya Zigo na nchini Afrika ya Kusini wakati Zee ameenda ku shoot video ya wimbo huo ambao Diamond Platnumz ndo ameshirikishwa, ila Vanny Boy alikuwepo all the way na mpaka kwenye video akatokea. AY aliniambia kuhusu ucheshi wake na uhodari wake, na uhodari huo ameuzungumza humu kwenye maongezi yetu mimi na yeye. Aliniambia jinsi ambavyo alikua akitumia kipaji chake enzi hizo kwa kuwaandikia wenzake wimbo mmoja na pengine mpaka album kwa shilingi ELFU THELATHINI TU.
Njia ambazo watu wengi wamepita haiwezi kuwa ndo njia ambayo kila mmoja wetu atapitia pia, ila kunaweza kuwa na mifanano ya hapa na pale, na hii ndo nia na madhumuni ya kipindi hiki. Tunataka wewe usikie na ujifunze ili ujue ‘unatokaje’ au watu walipenya vipi mpaka wakafika!
Sasa ni mmoja ya wasanii wakubwa tu hapa barani Afrika na duniani anafahamika. Bango la album yake linaning’inia kwenye mitaa ya Times Square huko NY City kwenye mji ambao raia wa nchi mbalimbali duniani wanaishi na kupitia. Sidhani kama wakati anahangaikia kufua nguo zake zilizomwagikiwa mafuta ya mawese wakati akiwa safarini kwenye lori kutoka Mbeya kuja Dar aliwahi kuwaza jambo kama hilo.
Mimi na yeye tulizungumzia pia mahusiano yake na wazazi wake, familia ya kufikia ya Baba yake ambaye aliachana na Mama yake na kuhamia na mtu mwengine si mbali na wao walipokua wanakaa. Tumeongelea mapenzi yake na muziki na kipaji chake cha uandishi. Tumeongelea jinsi ambavyo Madee alimpokea na Babu Tale ambavyo alikua na kama kusita hivi kwenye suala la yeye kusajiliwa WCB na mambo mengine mengi ya maisha. Yangu matumaini kama ilivyo ada, hapa utajifunza jambo pia.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

19 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 659   
@mrishomasudi7103
@mrishomasudi7103 3 года назад
Kama unaangalia huku unasma coment naunainjoy kumsikiliza vavvy boy LIKE hapa
@jumongjr5837
@jumongjr5837 3 года назад
Tuliokuja apa kwaajili ya vann boy tujuaneeee 🖐🖐
@mwanjekeyz8671
@mwanjekeyz8671 3 года назад
Daaaah naskia rah kupaskia home nzovwe kwa mbembelaa
@dieudonnebigirimana8083
@dieudonnebigirimana8083 3 года назад
Kuanzia leo naungana na hii chanel Kwasababu ya Ray vanny
@ireenramsey951
@ireenramsey951 3 года назад
Watu wa mbeya naombeni like zenu hapaaaa
@agent48classified40
@agent48classified40 3 года назад
Madee mtu mmoja freshi sana kumbe. Haongei haya mambo ila kumbe kambeba rayvanny na pia nilimsikia dogo janja alibebwa na madee. Bog up madee
@yusuphmakurunge2684
@yusuphmakurunge2684 3 года назад
Of&
@tmedia9226
@tmedia9226 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-OUT49HAK4AI.html
@MrMbwelwa
@MrMbwelwa 3 года назад
Walisubiri kusikia jina la paula gonga like hapa
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 года назад
Yn vanny kila sehemu anakaa ht kwenye vichekesho atauwa
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 3 года назад
Nani alikuwa anatamani kuyaona aya maujiano kama mm😍😍😍
@theresiamushi8006
@theresiamushi8006 3 года назад
Ila Rayvan unafaa kua comedian kiukwel😁😁
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 3 года назад
Salaamaaa😭😭😭achaaaaaa Asikwambiee mtu, penye ugumu mkubwaa pana nguvu kubwa itokayo kwa mwenyez MUNGU
@magreth7981
@magreth7981 3 года назад
Nimeipendaa hiyo Oliver !🙉
@johnbernad6806
@johnbernad6806 3 года назад
Rudi kanisani umuimbie Bwana Mungu wa majeshi
@dafxclass
@dafxclass 3 года назад
Tujuane waliokua wanasubuki kipindi hiki na VanyBoy likes hapa nione.🙌👍🤘👌
@hellokittylover7641
@hellokittylover7641 3 года назад
Mimi apa kila dakika nilikua naingia kutizama
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 3 года назад
🤣🤣🤣Mimi
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 года назад
Huu
@hoseamuwanji1894
@hoseamuwanji1894 3 года назад
San
@mashairiyamachinga2379
@mashairiyamachinga2379 3 года назад
Kama nisingekoment ningekuwa mchawi, V vanny boy unajua haipingiki. Mungu akuongoze kaka
@lizzjahsolja1240
@lizzjahsolja1240 3 года назад
Salama ni best interviewer so far,coz she is asking important stuffs from Artist sio umbea
@carolinemualuko5192
@carolinemualuko5192 3 года назад
Mimi sitaki kabisa muachane....nahisi kama mimi ndio nimeachwa...tumewazoeaaa rudianeni .....
@DRIPPINGPAIN
@DRIPPINGPAIN 3 года назад
TULIA WWWE
@DRIPPINGPAIN
@DRIPPINGPAIN 3 года назад
@@carolinemualuko5192 PUMBAVUU
@shiru_choppa7654
@shiru_choppa7654 Год назад
🤣🤣sikujua vanny nimzuri hivi kwenye storytelling walai 😂😂 he can act comedy as well👌👌💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@salminejuma5454
@salminejuma5454 3 года назад
Madee hongera kwako umeshiriki kwa kijana huyu kaka.
@cj_ixi6865
@cj_ixi6865 3 года назад
Nainjoy sana kumsikiliza vanny jamni
@johnjeremia879
@johnjeremia879 3 года назад
Nimeisubir kwa hamu sana hii, kama unamkubar vanny boy like
@manenomkugo6378
@manenomkugo6378 3 года назад
Kelele ya kwanza kwa vany kwa weeeeee
@zenoswai2621
@zenoswai2621 3 года назад
Van umenichekesha apo kwenda kubonyea kimyakimya kwa mandogo ila saf
@Mike-xt9sb
@Mike-xt9sb 3 года назад
Salam leta Diamond please kwa show
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
soon lazima
@allenshoo2346
@allenshoo2346 3 года назад
hawezi...interview za diamond huwa anazielekeza kwa radio yake tu,its business.
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
@@allenshoo2346 mawazo yako pia yanafaa kuheshimika
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
16:40 nime jua kwamba kumbe rayvani ame pitia shida nyingi ndomana akaimba wimbo wa KWETU daah ina sikitisha ila Mungu ni mwema ame kupa maisha mazuri kaka🙏🙏🙏
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 3 года назад
Honestly Rayvanny ana busara sana. Such a nice interview... Been his fan toka enzi za Collabo za Nzovwe na akina Stannah. Vanny💥
@ireenramsey951
@ireenramsey951 3 года назад
Ukinitajia nzovwe namiss home jaman
@andrewndambuki2207
@andrewndambuki2207 3 года назад
Kila nkimwona Salama she reminds me of Angie Martinez, her interviews, knowledge ya music, laughter etc...
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 3 года назад
Dat 2rue 💪
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 3 года назад
Wangapi tulimsubir vany kwa hamu
@dkt.mohammedsaid8337
@dkt.mohammedsaid8337 3 года назад
Napenda sana kuona analetwa mkojani ( Abdallah mzindwa ) a.k.a kipupwe.
@kelvinphilbert6105
@kelvinphilbert6105 3 года назад
Kaka umenena
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 3 года назад
Staa mkubwa sana huyo
@Filopolazalo
@Filopolazalo 3 года назад
Haaapanaaa😂 mkojani
@saumrashid8086
@saumrashid8086 3 года назад
Na mm naunga mkono mkojan aletwe💟💟🙏
@kelvinphilbert6105
@kelvinphilbert6105 3 года назад
#fight for mkojani
@hassaniphilipo6751
@hassaniphilipo6751 3 года назад
Pambana sana mueshim kilammoja alie kufika ulipo lakin usiache kumshukuru mungu
@bibiejumabibie8835
@bibiejumabibie8835 3 года назад
Jamani masikin anasambaza mwenyewe
@dieudonnebigirimana8083
@dieudonnebigirimana8083 3 года назад
Sound from Africa album bola ya mwaka by Ray vanny
@geraldfrank7641
@geraldfrank7641 3 года назад
Kama na wew umeona kimin na paja la salama gonga like hapa
@playtvtanzania8468
@playtvtanzania8468 3 года назад
Yes good
@hassaniphilipo6751
@hassaniphilipo6751 3 года назад
Kila mmoja ana history yake yamaisha alipo pita mpaka alipo nahuwa zote zina sisimua sana ongera van boy
@Fghhjjjjksdzzhhjjkkzt
@Fghhjjjjksdzzhhjjkkzt 3 года назад
Wangapi tulikwa na subiria kusikia vya zaidi kutoka vanny boy?
@img-foundation
@img-foundation 3 года назад
Wengi tu
@iptysammasood6337
@iptysammasood6337 3 года назад
@@img-foundation mhhhhh ww mbea😂😂
@img-foundation
@img-foundation 3 года назад
@@iptysammasood6337 kwa nn
@evatadeo4610
@evatadeo4610 3 года назад
Jhgi
@hillary792
@hillary792 3 года назад
This is beautiful interview they are free mtu anaweza kufunguka bila kujua
@paulamasanjatv6195
@paulamasanjatv6195 3 года назад
Mi shabikinambamoja wchui nanyimbozakekamazote napendasana ryvany
@tmedia9226
@tmedia9226 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-OUT49HAK4AI.html
@nevers7561
@nevers7561 3 года назад
Salama ongera kwa fikra ulonayo Mungu akujalieeee
@duncanmercy9148
@duncanmercy9148 3 года назад
Jamaa mnoma sana Sema I really wanna see Frida amani kwahii meza if it possible
@isaacdendula9735
@isaacdendula9735 3 года назад
ile kichwa ingine naungana na wewe
@brayanoscar6617
@brayanoscar6617 3 года назад
hiyo itakuwa ngum kuwasilisha mkuu
@ulricamakalla5565
@ulricamakalla5565 3 года назад
Nakupenda ad najionea huruma rayvany❤❤❤❤
@frankgerald9992
@frankgerald9992 3 года назад
Ninafuraha sana kuona mahojiano ya rayvann salama unajua sana na van nae anajua kiufupi interview ilikuwa poa
@glorianikiza6033
@glorianikiza6033 3 года назад
Nilichogundua nikwamba wanamziki wa tz wengi waliishi na maman zao
@yunyun799
@yunyun799 3 года назад
😂😂😂😂
@johnmasungansolezi576
@johnmasungansolezi576 3 года назад
😃😃😃😃😃
@furahajacob506
@furahajacob506 2 года назад
Home boy Ulwalabwe hatari sana mwaisa
@mercynthemba59
@mercynthemba59 2 года назад
Vanny gave me the inspiration to keep going, I don't know why I'm crying though.....his story is one of the many of young artists out there
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 3 года назад
Nimezid kukupenda pale ulipotufanya sie tulio single kwenye valentine tuka enjoy San na siku kuwa fupi love you Daddy😀
@shalonbufabusha4535
@shalonbufabusha4535 3 года назад
Daddy gani tena jamani
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 3 года назад
@@shalonbufabusha4535 😂😂😂
@amraabdallah9446
@amraabdallah9446 3 года назад
Anaonekana yupo very friendly nimefurahi sana kuona interview yake thnx Salama ❤
@adrianohungu5160
@adrianohungu5160 3 года назад
KK napafahamu nimesoma Rungwe high school, Safi sana
@mwakipundahenry5235
@mwakipundahenry5235 3 года назад
Mwaka gani mkuu? Mi pia nimesoma Rungwe high school
@asueddy1465
@asueddy1465 3 года назад
Nyie Rungwe mlikuwa wakorofi sana
@balegadaffi4472
@balegadaffi4472 3 года назад
Baba Paula you can heard that natokea Malawi nampenda sana Raymond 🙏
@dazawadi1896
@dazawadi1896 3 года назад
Wawooo
@devidone9022
@devidone9022 3 года назад
Iwe wavuta
@scottishmalone1331
@scottishmalone1331 3 года назад
Hahah mtoto wa Migo Migo we🤣🤣🤣hahaha
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 3 года назад
Wa Kwanza Kuangalia😂🙌
@salmaseneda5324
@salmaseneda5324 3 года назад
Vanny to the world ❤️😍smart artist with superb vocals
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Hahaha Vanny umeniacha hoi hapo kwny itakuwa ngumu kuwasilisha mkuu🤣🤣🤣🤣
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 года назад
😃😃😃😃kanichekesha
@godfreyeliabu2582
@godfreyeliabu2582 3 года назад
Kati ya intervew nili kuwa natani ni hii ya vanyboy dah kari sana
@joycegacheri5177
@joycegacheri5177 3 года назад
Watu tumekusanyika hapa ukona kama Rayvanny yuko 😃😃
@benardmurage5125
@benardmurage5125 3 года назад
Wakenya pia tuko......tunaishi humu
@mbembelatv
@mbembelatv 3 года назад
Zahanati y ilalabwe ndipo marehem mzee wng Mbembela alikua alihudumu km daktari hd umauti unampata 😥
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 года назад
Mm nampenda sn vanny yn yupo muelevu mno
@Heal-with-Dodo
@Heal-with-Dodo 3 года назад
Jamani😂😂😂i love this guy...he is very real🤗🤗🤗
@arabgandaempire
@arabgandaempire 3 года назад
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 3 года назад
Hii ni kabla au ni ya Sasa hiv mbona Kama vanny anaraha jaman au wameyamaliza😅 pia nimukuwa wakwanza leo Naomba like zenu
@rustikamwampinge7508
@rustikamwampinge7508 3 года назад
Kabla
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 3 года назад
@@rustikamwampinge7508 okay hapo nitakubali
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 3 года назад
😅😅😅😅ata mimi nilitaka uliza ivo mana naona iko nafuraha
@iptysammasood6337
@iptysammasood6337 3 года назад
one day kaka piga hesabu 🙄😂😂
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 3 года назад
@@iptysammasood6337 🤣🤣 sawa
@ireenmichael131
@ireenmichael131 3 года назад
Nakuelewa Sana Kaka vany boy asanteee umetupaisha Wana tukuyu na mby kwa ujumla msalimie nay
@Paplick9
@Paplick9 3 года назад
Leo wa kwanza mimi dondosha like apa
@sosydee3767
@sosydee3767 3 года назад
Paplic music
@Paplick9
@Paplick9 3 года назад
@@sosydee3767 Sosy Gang
@monicakayombo4770
@monicakayombo4770 3 года назад
Vanny angetengeneza ka movie ka story yake....its amaizing
@amislam2050
@amislam2050 3 года назад
so fine Ray vany😂😂😂Nimeceka mwanzo mwishi
@r.kassimtoutautre3432
@r.kassimtoutautre3432 3 года назад
Nakubali sana 🇧🇮Who lives 🇹🇷
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Uko na mtu gani sasa hivi?😂😂😂😂itakuwa ngumu kuwasilisha hilo mkuu😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka mimi jamani.
@dieudonnebigirimana8083
@dieudonnebigirimana8083 3 года назад
Hunizidi😄😄😄😄 nimecheka kufa mtu😂😂😂
@feronandsulubu6711
@feronandsulubu6711 3 года назад
😂😂😂😂
@danmutoka1193
@danmutoka1193 3 года назад
😂😂😂😂😂
@mohamedomary6883
@mohamedomary6883 3 года назад
Salama ure very beautifull, love you
@ericklaura7511
@ericklaura7511 3 года назад
Humble artist ever, rayvany boy to the world, entertainment is only our take 👏👏🐆🐆🐆
@hasheemrashid4412
@hasheemrashid4412 3 года назад
Best Tanzanian artist at the moment
@Ashley_family123
@Ashley_family123 3 года назад
😯🙈🙈🙈🙈🙈
@allymalenga9598
@allymalenga9598 3 года назад
Eti best Tanzanian artist😁
@boxpoacher1072
@boxpoacher1072 3 года назад
Very true, his album is way hot
@junior-zj6bs
@junior-zj6bs 3 года назад
Namba zake zntisha kakaa🔥🔥🔥
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 3 года назад
Bhujah kwa kyala mdogo wangu
@nibagwireesther4579
@nibagwireesther4579 3 года назад
Wa kwanza leo
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 3 года назад
Kwenye kuosha vyombo nimecheka
@vanessajames2192
@vanessajames2192 3 года назад
Mamaake Van boy kiboko🙌🙌
@replaymoulla6470
@replaymoulla6470 3 года назад
Lov uu dadddyyy😂😂 27:55 hapo hapo
@Jackiedaniel75
@Jackiedaniel75 3 года назад
Asanteeee
@fatimaabdullah6888
@fatimaabdullah6888 3 года назад
Thank you
@shanishosho911
@shanishosho911 3 года назад
😘😘
@jadenmsafi
@jadenmsafi 3 года назад
Nlikuwa naisubiria kwa ham sana
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 года назад
Salama umekua mpole sana Na umekua mkubwa saiv
@jujadiva2394
@jujadiva2394 3 года назад
Ohh My goodness I Love that song..KWETU..
@vanessajames2192
@vanessajames2192 3 года назад
Mungu akuzidishie kwakweli
@nevers7561
@nevers7561 3 года назад
Uzidi kututaftiya na wengine kwakweli interview ya pacha langu Rayvanny nime enjoy
@oscaremanuel664
@oscaremanuel664 3 года назад
Hiii mmekaa nayo sana tulikuwa tunaisubiriii sanaaaa
@mwanaidisaid7457
@mwanaidisaid7457 3 года назад
Vanny boy namkubali sanaaaa msanii wangu naemkubliii kinomaaa
@mejuomar4397
@mejuomar4397 3 года назад
My best artist ever Big up v vany boy Mob love from Qatar
@omikiss1868
@omikiss1868 3 года назад
👍🇹🇿🇴🇲
@carolcutymedia2658
@carolcutymedia2658 3 года назад
Nimejifunza kua bila ata vany kuwa pahali ako sai na hizo talent zote bado angekua famous tu,
@ramahassan9171
@ramahassan9171 3 года назад
Ametoa nyimbo ngapi hakuna hata moja imesikika paka alipo simamia wimbo wa kwetu na laizer ww fikiria MTU anauza wimbo elfu 30 ya tanzania
@carolcutymedia2658
@carolcutymedia2658 3 года назад
@@ramahassan9171 am saying he is talented hatakam aliuza I don't know,the talents he mentioned cud have made him famous
@djrautz733
@djrautz733 3 года назад
Hii nikiisubili sana
@isunaslabs4733
@isunaslabs4733 3 года назад
Jessica ni waitress maarufu Tanzania nzima 😂. Inabidi siku naye apate interview hapo aisee. 😂😂
@azizamohd5728
@azizamohd5728 3 года назад
Umesema kweli kabisa interview inamuhusu
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 3 года назад
Kweli asee
@Dapeopletz7
@Dapeopletz7 3 года назад
Point kubwa sana
@jescanyanguva9165
@jescanyanguva9165 3 года назад
Wewe
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 3 года назад
na ana mashabiki wengi kinoma😂😂
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 года назад
Rayvanny unaweza msikiza tu... Ana karama ya kuongea...
@fellixjames702
@fellixjames702 3 года назад
Acha unafkiiii
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 3 года назад
Napenda Sana rayvanny anapoimba nyimbo zinazobembeleza
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 3 года назад
SALAMA YOUR THE BEST LOVE YOU
@geniousjustin3274
@geniousjustin3274 3 года назад
Vanny boy boy frani namuelewa Sana sometime hutakiwi kuwa msaliti ili utoboe
@dieudonnebigirimana8083
@dieudonnebigirimana8083 3 года назад
Chuiiii vivany boy tunakupenda 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️
@a.856
@a.856 3 года назад
Rayvanny free of makeup🤗
@abdiaziz2978
@abdiaziz2978 3 года назад
Wangapi wanataka waone #Salama Na #Harmonize ? Itakuwa bonge la convo. Pls next tuletee konde boy umueleze ulikosea wapi #BSS
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
Mmakonde ana nongwa na chuki
@innomaxie7132
@innomaxie7132 3 года назад
Ndio tunaanza kumsikiliza hapa
@jumandabirorere3737
@jumandabirorere3737 3 года назад
kubali sana Chui
@jameel__rhymes3479
@jameel__rhymes3479 3 года назад
Its a great learning.... a wonderful change from a zero to a hero.... big up bro♠
@goldenhubylove
@goldenhubylove 3 года назад
Ulivyomwambia ray chakula anachokula kinaitwaje nimekipenda kidogo nikwambie salama rudia.. Kwa ufup enterview kaliii
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 года назад
Ewaaaa 😀😀😀kwa sauti ya koffi
@nururamadhan8938
@nururamadhan8938 3 года назад
Daddy akeeeeeee aweweeeeee
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 года назад
Nakupenda sana salama pia na Revn
@aminasinze8500
@aminasinze8500 3 года назад
Jama nlikuwa nasubil kwa hamu hii exclusive
@zailulu7781
@zailulu7781 3 года назад
V vany boy niowe mke Wa 2
@selemanichiga5828
@selemanichiga5828 3 года назад
Uwe wa Kwanza kwangu Ila Sio tajiri
@neemamagige7668
@neemamagige7668 3 года назад
U so amazing nmeenjoy show mwanzo mwisho keep it up vanny kinyago cha mbeya salama love u nataman niwe kama u cku moja napenda vpindi vyako vyote unavyofanyaga toka mkasi u are amazing ma
@elishakalengo6368
@elishakalengo6368 3 года назад
Hii ndio tulikaaa kuisubili
Далее
Salama Na VANNY BOY Ep 54 | NDAGHA PART 2
16:12
Просмотров 218 тыс.
МАРИЯ ГОЛУБКИНА О БАБУШКЕ #shorts
00:43
Mkasi - SO6E01 with Kajala (Msimu Mpya)
28:59
Просмотров 161 тыс.
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
41:27
Просмотров 468 тыс.
BOFLO STAR SEARCH | MBEYA & IRINGA - USWEGE & ELIUD
34:34
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Просмотров 11 млн