Yaani huyu jamaa huwa muongo sana Manji na dunduka wapi na wapi hadi akutumir video😂 Na sio hii tu ukifatilia clip nyingi anajifanyaga ameongea ama ametumiwa ujumbe na mtu flani maarafu😅😅😅😅
Utopolo wa mo hii tarehe 1 mwezi wa 7 inawauma kama wamebakwa vile hadi jamaa anakataa bado Chama hajasajiriwa eti kwanini hajatambulishwa na jezi ya Yanga, eti kwanini Yanga waanze kumtambukisha Chama na sio wachezaji wengine😂😂😂😂 Ila ukiwa shabiki wa mikia akili zinakuaga kimikiamikia....ok na mnaumia zaidi maana mlijipanga mtoe bango la thenkyuu leo mchana wataasisi wamemtangaza asubuhi na mapema. Lakini ni ujinga wenu kwasababu mlishaanbiwa atatambulishwa tarehe 1 July au hamkujua inamaanisha 17 😅😅😅😅
Chama hatacheza yanga ni mwisho wa Chama. Speed hana kwa hata alipoendaa RS Berkane alishindwa kwa kukosa speed. Akicheza na nchi za afrika magharibi na kusini hachezi huyo. Simba wangecheza na mamelodi wangepigwa 10
Acha hizo,kwani ni lazima atambulishwe kwa kuwepo live.Pia nani aliyekuambia tunataka kumsajili milele?Endeleeni kuumia tu na sisi ndiyo tunaye sasa.Jipe moyo tu.Huko alikuwa na watu wasio sahihi.