Тёмный

Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Wakati wowote kuanzia sasa Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana mkoani Katavi, atawasili Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za matibabu.
Sativa alitakiwa kuwasili Dar es Salaam leo saa tisa alasiri kwa ndege maalumu ya kukodi, lakini kutokana na dharura iliyojitokeza, amelazimika kusafirishwa kwa gari la wagonjwa akitokea mkoani Dodoma kuletwa jijini hapa.
Sativa mkazi wa Mbezi wilayani Ubungo alipatikana Alhamisi Juni 27, 2024 katika pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, akiomba msaada wa kupelekwa hospitalini.
Akizungumza na wanahabari leo Jumamosi, Juni 29, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, mratibu wa matibabu na safari ya Sativa, Martin Masese maarufu ‘MMM’ alisema Mwakabela anaendelea vema na hali yake inazidi kuimarika, ndiyo maana madaktari wametoa ruhusa asafirishwe.
Masese amesema Sativa alikuwa asafiri na Shirika la Ndege la Tanzania, tangu Juni 28 kutoka Katavi kupitia Tabora hadi Dar es Salaam, lakini kwa bahati mbaya usafiri huo ulishajaa.
Kutokana na hali hiyo, Masese amesema walishauriana na ndugu wa Sativa na madaktari na kuazimia mgonjwa huyo aletwe Dar es Salaam na gari la wagonjwa badala ya kusubiria ndege iliyopangwa kufika Dodoma usiku.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@Mariam-w9s3b
@Mariam-w9s3b 3 месяца назад
Mnajua kutufunga kamba kumbe Kwa Gari angeweza kufika vp mkae kusubili ndege?
@mussasuleiman1302
@mussasuleiman1302 3 месяца назад
Ple sn mungu atampa nfuu
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 19 дней назад
Huyu mgonjwa ilitakiwa akimbizwe south Africa au Kenya kwa hapa Tz watamuwinda nakummalizia
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 3 месяца назад
Danadana Mpira wenye chenga nyingi
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 3 месяца назад
Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 месяца назад
Poleni sana
@prospersteven4564
@prospersteven4564 3 месяца назад
Poleni saana
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 месяца назад
Huyo rpc ni WA serekali hii mnayoishbulia Kila siku au??
@swaibushemdoe2143
@swaibushemdoe2143 3 месяца назад
Kwanini msichukue V8
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 3 месяца назад
Sas V8 ndo ambulance?
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 3 месяца назад
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 месяца назад
@@InjiliyaUfalmetv hamna kulinw hapo
@YangaNews
@YangaNews 3 месяца назад
Nyie akili ndogo sana 😢
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 3 месяца назад
mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 3 месяца назад
SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 месяца назад
Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 месяца назад
Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia
@fridayjkajange1247
@fridayjkajange1247 3 месяца назад
Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae
@KilingohJuma
@KilingohJuma 3 месяца назад
Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 3 месяца назад
Rais wenu sio
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 месяца назад
Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,
@danielndam5997
@danielndam5997 3 месяца назад
Askali wanalinda nn eneo la tukio?
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 месяца назад
Kwan alionywa ache matus au harakati utakufa brazer acha watu wafanye yao wewe raia tu wako wanene wahii nchi
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 месяца назад
Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 месяца назад
Hawawez uma tumeshajua
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад
Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 месяца назад
hapana
@HaulSidney
@HaulSidney 3 месяца назад
Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,
Далее
Outsmarted 😂
00:20
Просмотров 2,3 млн
MDUDE AKIELEZA YALIYO MSIBU AKIWA MIKONONI MWA POLISI
52:26