Тёмный

SHEIKH KISHKI AWA KUGWI WA WANAWAKE AONGEA MANENO MAZITO AJAWAHI ONGEA, ATOA SIRI ZILIZO KWENYE NDOA 

KHIDMA TV
Подписаться 36 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

• SHEIKH KISHKI AWA KUGW... #KHIDMATV #sheikhnurdeenkishki #siokilaaliyeachika #siomke #talakarejea #eda #mawaidha #ndoa
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
RU-vid: / @khidmaonlinetv350

Опубликовано:

 

22 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 105   
@mayasamissanga3736
@mayasamissanga3736 15 дней назад
Shekhe leo Alhamndulillah nakushukuru umenijibia maswali yangu mengi kuhusu talaka yaani kila nikisema mbona hichi hajasema mbele anakifafanua Shekhe Akulipe kheir akupe umri mrefu uzidi kutupa Elimu nimefurahi sanaaa MashaAllah
@sein.208
@sein.208 16 дней назад
Masha Allah Amiiiiiiiiiiin yaa Rabby 🤲 Allah akulipe mema mengi Sheikh wetu Jazaakallah kheiry
@MejumaaRashid-s8g
@MejumaaRashid-s8g 20 дней назад
Allah akupe umri mrefu shekhe uzidi kutuelimsha shukurani jazillah
@maryamadam5622
@maryamadam5622 20 дней назад
Amma ni darsa nzito hii Wanawake na waume pia kujuwa haki zetu na taratibu zote husika. Mashallah Sheikh Kishki. Tunafaidia sana. Raha pia kusikiliza ukisoma Quraan. Quraan isomeni kwa sauti njema na kufuata amri zake zote. Watching.from Canada
@MwaliSuleih
@MwaliSuleih 2 дня назад
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Masha'Allah sheikh wetu baraka'Allah fiika wa jazaka'Allah Khair insha'Allah mafunzo mazur xan Iman uzidi kua nasi tuzidi kuishi katika ndoa halali ya mwenyezi Mungu, Aamin ya rabby Aamin 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 alhamdulillah rabbil Aalamin
@Husna-z6f
@Husna-z6f 2 дня назад
shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazur jazakah Allah kheir
@sabrasaid7739
@sabrasaid7739 14 дней назад
Shukran Sana Shekh hili Dars muhimu Sana tena Sana Allah akulipe Tupe Duruus za Talaka bado hujamaliza Shekh lete mpaka tulifahamu Sisi na Waume Pia Talaka za Uongo pia Zimejaa
@HawaaUmibrahim-um7zi
@HawaaUmibrahim-um7zi 5 дней назад
Mashallh , shukran kwa darsa nzuri🤲
@BatuliHamis-z8q
@BatuliHamis-z8q День назад
Allhamdulilah mashallah allah akulipe heri akupe umri mrefu wenye kheri naww
@AishaJuma-zz2rj
@AishaJuma-zz2rj 5 дней назад
Shekh shukran san Allah akujaalie
@رحمةمحمد-ش1ه
@رحمةمحمد-ش1ه 11 дней назад
Mashaallah tabaarakahllah sheikh Allah akupe kheri ya dunia na akhera.
@omarjuma3146
@omarjuma3146 20 дней назад
Mashallah baraka Allahu fiik
@AbasHabimana
@AbasHabimana 20 дней назад
Sheikh kishki Allah akuifazi akupe umri mrefu wenye manufaa uzidi kuelimisha jamii
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 18 дней назад
Allahumma Ameen Yaa Rabby 🤲🤲🤲
@aishamumy8402
@aishamumy8402 15 дней назад
Shukran sheikh Allah akujalie afya njema na umri wenye kher, Alhamdulillah twajifunza mengi kutoka kwako
@rahmaally5128
@rahmaally5128 2 дня назад
Masha Allah, tabaarakallah
@AnifaJuma-p9c
@AnifaJuma-p9c 15 дней назад
Mashallah ,Amina yaaraby
@HadijaSilimu
@HadijaSilimu 20 дней назад
Allahuma Aminii
@LUTFIAAHMADA
@LUTFIAAHMADA 12 дней назад
Shukrani sanaa Jazzaka Allahu kheir... Kwa kweeli hili darsa ni muhimu saana wengi wetu hatulifahamu
@IsaKitagame
@IsaKitagame 4 дня назад
Allah akbar nashukur kwa hii darsa
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w 7 дней назад
Barakallahu fiika yaa sheikhe Nuurdeen kishki❤ Allah azidi Kuku hifadhi sheikhe wetu mpendwa na akujalie mwisho mwema
@IDRISANTILA
@IDRISANTILA 15 дней назад
Walillahi-lhamd, Allah amjaze kher nyingi Shekh wetu
@fatmabunu5145
@fatmabunu5145 15 дней назад
Jazaka llahu khery
@MilupoAly-tl1pk
@MilupoAly-tl1pk 20 дней назад
Tunakupebda sana kwa ajili ya Allah
@halimayusuf3501
@halimayusuf3501 15 дней назад
Masha Allah tabaraka Allah
@shamimuleslie1703
@shamimuleslie1703 9 дней назад
Amina shekhe Alhamdulillah kwa darasa zur umetutoa gizan ,shekhe Kama unataka kujivua na mume hakumaliza mahari he unalipa alichotoa au unalipa mahar yote?
@AshaHassan-fl8tw
@AshaHassan-fl8tw 13 дней назад
Allaahumma Ammina
@MilupoAly-tl1pk
@MilupoAly-tl1pk 20 дней назад
Alhamdulilah rab lalamin Mashaallah shek kushik Allah akulinde na mahsad akuoe umri mrefu ila ss wengine tu ZNZ tunaomba na simu zikuwepo iyo siku ya maswalu tunataka fursa ya kwenda umra ishaallah
@IssaDulle
@IssaDulle 20 дней назад
#mashallah nafaidi darasa hapa youtube pia na faida darasa nyumbani maan mke wangu alihudhuria #Al- hikma Allah akulipe sheikh
@ZuberiKikoti-zo2on
@ZuberiKikoti-zo2on 10 дней назад
Alhamdulilah mwenyezi mungu akulipe kwa darsa unayotupa inshaallah na akupe maisha mema inshaallah
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 6 дней назад
❤ Jazakallahu kheir sheikh
@RukiyaBadawiy
@RukiyaBadawiy 13 дней назад
Mashallah
@meowzna
@meowzna 10 дней назад
Jazak'Allahu Kheir Sheikh🙏💫
@mwanasomomuhaji6130
@mwanasomomuhaji6130 12 дней назад
Allah Akuhifadhi Atujalie wenye kusikia na kufuata amiin.
@AshuraAyubomar
@AshuraAyubomar 11 дней назад
Asante sana shehe nitaufanyia kazi
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 17 дней назад
Bismillah
@omanmct135
@omanmct135 20 дней назад
Masshalllah
@MustafaOsman-oc7ly
@MustafaOsman-oc7ly 11 дней назад
Mwili hunisisimuka wakati sheikh Noor Din Kishki akisoma Qur'an tukufu yarab mungu azidi kukupa uwezo wakutujuza kuusu dini yetu ya kiislam
@halimamsafiri288
@halimamsafiri288 12 дней назад
Shukran Sheikh ❤❤❤
@JabuMohd
@JabuMohd 20 дней назад
Allah atufanyie weps
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q 19 дней назад
Mashaa-Allah darsa nzito na ina rahaa😊
@KhadiaAli
@KhadiaAli 10 дней назад
Shkh nchoo na zanzibar utupe elimu InshaAllah
@Wattingalby
@Wattingalby 19 дней назад
Asalam alayekum warahmatullh wabarakati naomba mawasiliano Na taasisi hii Nina maswali ya Dini yalio nichanganya Na mm sifahamu vzr maswala hayo ya talaka
@meowzna
@meowzna 10 дней назад
Ameen Yaarab🙏
@JabuMohd
@JabuMohd 20 дней назад
Ishallah
@AshuraLikwaya
@AshuraLikwaya 15 дней назад
Asalam alykm shekhe...mimi nimetelekezwa yapata mwaka wa 3 huu..nanikimwambia nipe talaka yangu..majibu yake mimi najua kuoa sijui kutoa talaka..lkn pia kwenye mawasilianonaweza akaa hamiezi..6 bila mawasiliano...kwaupande wa matumizi.anaweza akakaa hata mwaka akatoa matumizi mara 3..sasa mimi nifanyaje shekhe..na pia yeye hana pakuishi mpka sasa anaishi kwa dada yake...tafadhali nipe mwongozo...nilienda mpaka bakwata wakalijadili ..wakanishauri nimpigie tena sm niombe talaka..lkn majibu yake ni kwamba mimi najua kuoa sijui kuacha..na mimi ni binadam ninakula nashiba..na waume wakunioa wapo...nifanyeje.tafadhali shekhe nijibu...
@zuhramwavyoni8400
@zuhramwavyoni8400 19 дней назад
❤❤❤
@JabuMohd
@JabuMohd 20 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
@KhadiaAli
@KhadiaAli 11 дней назад
Shekh nakusikiliza sana darsa zako na mawaidha yako na nimejifunza mambo mengi kupitia elmu unayotupatia .
@BuhiteAlly
@BuhiteAlly 4 дня назад
Upo.eda.ya.talaka
@MwanaishaZakaria
@MwanaishaZakaria День назад
Shekhe hao wanaume wenyewe hakikuacha hataki hata kukuona mpaka kipigo
@nkurunzizaabdul-aziz7211
@nkurunzizaabdul-aziz7211 7 дней назад
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh wetu kishik jazakhallah kheir mada ya leo inaweka wazi kila kitu. Sasa sheikh kuna swali :--ikiwa mwanamke amerudutadi huo kuna haja ya talaka na kuika eda ima kupewa cocote kifungasha cakwenda naco kama inavyositahiki kupewa wanapotolewa kwenye nyumba zao bada ya talak? Naomba jibu
@RidhaaHamisi
@RidhaaHamisi 16 дней назад
Asalm aleykum?mm mume wang alinitumia talk kweny sm tatu zote? Lakin hakunihudumia had miez mitatu ikaish ni sahihi
@BakaryOmally
@BakaryOmally 8 дней назад
Hiyo sio talaka rejea ila Allwah ndie mjuzi
@ZuenaHaji-t2r
@ZuenaHaji-t2r 4 часа назад
Asalam ghaleikum samahani shehe wangu ninashida na namba Yako ninamtihani na mume wangu Naomba nisaidie
@Raissaabdoul
@Raissaabdoul 10 дней назад
Sheikh Allah akulipe kila laheri nataka kuuliza sheikh mimi mume aliniacha ndani ya nyumba tena nyumba ya kupanga tena kaniacha na watoto akuna ata uduma watoto sheikh uyo ndaweza murudisheya pesa zake sheikh na omba jibu
@BakaryOmally
@BakaryOmally 8 дней назад
Ulimuomba akuache au vipi hapoo
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 10 дней назад
Kiukweli wanaume wengine nimtihani kabisa talaka ataki kutoa na anasema yeye anajua kuoa aui kuacha na kwangu sitaki arudi ba nimtihani kwakweli. Shehe kishk tupe muongozo nini tufanye ili kila mtu awe huru?? Yani kama anataka kukomoa 😢😢
@SophiaShabani-bk8vg
@SophiaShabani-bk8vg 4 дня назад
Shekhe naomba namba yako nataka nikuulize kuhusu ndoa maana kwa sms sitaweza ni mazungumzo marefu
@halimandune7317
@halimandune7317 6 дней назад
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh hio umeeleza vizuri, lkn mm nakuuliza nilikuwa mjane,nikaa eddah,Kisha nikaolewa tena,huyu bwana akauguwa,familia nzima ikaniambia mm ndo sababu ya maradhi yke,hii ikabidi nitoke kwake toka 2014 hdi sasa,mm nikiolewa ni vibaya?.Aliniacha na mtoto na hashughuliki hdi sai,je nn lakufanya?.
@ZubedaNiyonzima
@ZubedaNiyonzima 3 дня назад
Natamani kuuliza kuusu iy Mada Shekh sijuw ntaaziya wapi
@UmmulsalamaMuhammed
@UmmulsalamaMuhammed 17 дней назад
Asalam aleykum shekh, mm naomba namba za cmu nina maswali
@SamirKhamis-s8t
@SamirKhamis-s8t 11 дней назад
ASSAALAM ALEYKUM ME NINASWALI NAULIZA JEE? MWANAMKE AMEENDA KUNUNUA TALAKA KWA SHEKH PASINA SHAHID WA MUME AU SHAHID WA MKE AU MUME WAKE HAYUPO JEE? HIYO TALAKA IMESIHII NAOMBA JIBU JAMANI.
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 16 дней назад
Nimependa uadilifu wako wa talaka 3 kwa 1. Na mimi naona 3 kwa 3.
@Amyomy-od5ry
@Amyomy-od5ry 7 дней назад
Hapo pa kujivua ikiwa alikua hajakupa mahari yko,aliahidi kukupa na hakuwai kutoa
@ZubedaNiyonzima
@ZubedaNiyonzima 3 дня назад
Shekhe kwa wale ambawo wameacwa talaka rejeya lakin hakukaaa eda kwa mumewe Vipi hukm ya ndoa hiyo?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 20 дней назад
Talaka moja ni talaka !!!
@zawadimzee8770
@zawadimzee8770 17 дней назад
Mm ni Shafi, tamka babu
@HasnaNassoro-n1v
@HasnaNassoro-n1v 17 дней назад
Majibu pls
@AishaAisha-u1q
@AishaAisha-u1q 13 дней назад
Jee mwanaume akimwita mke wake mbwa bado ni mke wake
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 5 дней назад
Sheh VP kumuacha mwanake wakati anaujauzito inafaa
@HasnaNassoro-n1v
@HasnaNassoro-n1v 17 дней назад
Asalam alleykumu.shekhe kishiki mfano mtu kakuoa taraka tatu kwa pamoja alafu mwez mkakutana ndoa ipo?
@AminaAbubakare
@AminaAbubakare 15 дней назад
Nimepewa talaka. 1. Kisha. Yapili. Waa. Mudomo'i. Nimeikaa. Mwaka. 18 bila cakula malazi. Nika mupa mimitalaka. Mwaka. 20. Anatala. 'irusi. Akidayi nii mkewe.
@BakaryOmally
@BakaryOmally 8 дней назад
Hapo sio mkewe au alikurejea?
@karimdaud3993
@karimdaud3993 16 дней назад
Wanawake wakiislam waongo sana . Wana zaa sana kabla ya kuolewa au wana zini sana .pls shekh kishki kemea sana sanaa pls HAYA YAMEKUA KAMA ADA .MITOTI YA HARAM MENGI SANA .WANANYANGANYIANA URITHÍ IN
@sharmilarashid8196
@sharmilarashid8196 9 дней назад
Izo mimba wanapewa na wanawake wenzao au wanaume nyie ndo waongo mngekuwa hamleti tamaa zenu basi watoto wa zinaa wasingekuwepo wala hiyo zinaa uwe unafikil ndo uongee
@BakaryOmally
@BakaryOmally 8 дней назад
​@@sharmilarashid8196bongo hakuna mtoto aso na baba japo wa nje ya ndoa tofauti na zanzibar ukizaliwa nje ya ndoa huna urithi unatakiwa umtafutie zawadi yake mtoto lakini Zanzibar ukizaa nje ya ndoa hupati urithii sema uku bara katiba kule zanzibar wanaangalia dini juu ya hili
@kautharjay5868
@kautharjay5868 7 дней назад
Kama huyo mwanaume angemuo huyo mwanamke Wala asingezaa ila wanaume ndo waongo unataka kuchezea wanawake n
@BuhiteAlly
@BuhiteAlly 4 дня назад
Kama.miezi.3hakutimizii.iko.vipi
@AshuraKhamis-qv3ld
@AshuraKhamis-qv3ld 10 дней назад
😅😅😅😅😅😅😅
@Saumu-dq9lj
@Saumu-dq9lj 20 дней назад
Asalamu alyekumu shehe sasa kama umepewatalaka tatu hapo hapo na akasema hakutaki tena ukiona mwanaume olewa halfu anakusumbua akurudie hapo inakuwaje
@Mariam-w9s3b
@Mariam-w9s3b 18 дней назад
Kwenye Sheria inasema akipewa talaka anatakiwa abaki kwa mume na audumiwe adi heda hiishe miez mitatu ikiwa wajaingiliana iyo talaka ndio imeswi Sasa nyie munao acha mnafanya ivyo
@BakaryOmally
@BakaryOmally 8 дней назад
Daa mariam hapo shida ipo kwakutojua dini lakini inatakiwa ukae eda na uhudumiwe mpaka eda iishe lkn wengi wao husema kwa mihemko bila kuzingatia dini
@LUTFIAAHMADA
@LUTFIAAHMADA 12 дней назад
Shekhe, ikiwa kaharibu mimba jee?? Ndo itakua pia ishamaliza eda?
@رحمةمحمد-ش1ه
@رحمةمحمد-ش1ه 11 дней назад
Sheikh nna swali.huyu mwanamke alojivua eda yake ni apate hedhi moja.je kama mwanamke huyu hapati hedh itakuaje?
@karimdaud3993
@karimdaud3993 16 дней назад
Tupe maßharti ya EDAA hasa akiwa anafanya kazi .
@FatmaMwanga
@FatmaMwanga 15 дней назад
Kuolewa hakuna faida mwanaume gaidi anakufukuza usiku na watoto wadogo Allah aqibar sitosahau
@OmariAdam-jz2hm
@OmariAdam-jz2hm 15 дней назад
Pole dada
@FatmaMwanga
@FatmaMwanga 15 дней назад
@@OmariAdam-jz2hma sante kakaangu
@OmariAdam-jz2hm
@OmariAdam-jz2hm 15 дней назад
@@FatmaMwanga unapatikana wap dada
@FatmaMwanga
@FatmaMwanga 15 дней назад
@@OmariAdam-jz2hm Nairobi kaka
@OmariAdam-jz2hm
@OmariAdam-jz2hm 15 дней назад
@@FatmaMwanga sawa dada allah akupe mume bola inshallah
@HadijaSilimu
@HadijaSilimu 20 дней назад
Mashaallah
@omanmct135
@omanmct135 20 дней назад
Subhanalllah
Далее
SIRI za ndoa za SIRI
20:09
Просмотров 11 тыс.
БЕЛКА РОЖАЕТ?#cat
00:20
Просмотров 889 тыс.
HA-HA-HA 👊  #countryball
00:15
Просмотров 2,6 млн
Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd
57:38
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54
HII KHUTBA IMEWALIZA WENGI MSIKITINI
37:12
Просмотров 489 тыс.