Kasema haifai kusoma quran ukiwa umevaa viatu basi hata ukiswali hutakiwi kuvaa viatu kwasababu kusoma quran na kuswali zote ni ibada katika sheria ya kiislam. Allaahu warasuulu aalam🙏
Anaweza kuvaa au kutoboa vitu vingi mwilini ikawa ni kumkosea mungu ni dhambi kubwa sana,lakini hili la kusema anafanya nyuma ni suala ambalo linataka ushahidi na haupo au huna ushahidi huo ni wewe ndio unabeba dhima kwa kumsingizia jambo ambalo huna ushahidi nalo
Nilistaajabu kwenye interview moja shekh anaulizwa kati ya diamond na alikiba nani zaidi akatoa jibu lake halafu akarudi kwa mboso akamsifia sana eti anajua kuimba. Mashekh waepuke mitego mwingine ni haji manara anaijua dini vizuri tu tena kishawahi kuwa ustadh lakini kwenye media ni mtihani kwa kweli tena msiba hasa.
😊shekh, unaogopa nini kumwambia wamelaan na Allah waliojifananisha n wana wake na pia waliojifananisha n wanaumee, wanaumee vidan, Pete Vipin vp? Na uislam wa ramadhan tu au unafunga ila unalala n mwanamke au mwanamke ambae hujamuoa ,hapon kukaa na njaa
Hawa wasanii wanajifanya ktk mwezi mtukufu wa ramadhani niwatakatifu hamna shetani kafungwa nyororo na wa pia wamefungwa nyororo bila wao kujua hayo ndio maaja u na muujiza ya Allah.
MNAWAOGOPA SANA HAO MASHOGA MASHEKHE WENGINE NDIO KWANZA WANAWACHUKUA WATOTO WALIOZALIWA NJE WA NAO JIDAI HAO MASHOGA ATI NI WATOTO WAO .HUOUNAFIKI KAMA UMEZAAA NJE KAMA NGURUWE MTOTO SI WAKO TUSIDANGANYANE . UNAFIKI JIHESABU HUNA WATOTO NA WEWE KIPOZEO UNAOGOPA KUWAAMBIA HAO MASHOGA WASENGE WAKUBWA HAO
HUYO ANAYE SOMA QURAAN NA KISHAUFU PUANI NI HANITH ANAINGIIWA KWA NYUMA TAFSIRI YAKE . WEWE KIPOZEO USISUE SUE SEMA ANAYEVAA KIPINI NI HANISI SHOGA .USANII SIO LAZIMA UVAE VISHAUFU NI DALILI ZA KUDHARAU DINI NA KUONYESHA WAZI KWAMBA WANAFIRWA /HANITH LIAMARI
Huyu kipzeo ni jitu la dhihaka dhihaka Sanaa Diamond alikua manakula pamoja mpaka imani yako okawa na dhaifu ukajiondoa lakini mbona hujamsema kuhusu mapuli chain zake na Tatoo zake ? Wewe shekh una mushkil kwangu.
@HajiAllyMwambashi-dt1ki wewe ndio mwanachuoni kwako lakino mimi namuona jitu la kupenda mizigo tuu , na dhihaka dhihaka . Si yeye alikua na diamond kipindi fulani mpaka watu wakamshuku akajishtukia kaondoka . Kama wewe umemkubali ni sawa tuu.
HAO DIAMOND NA HUYO SHOGA MWENZIE SIJUI KONDE BOY KWA HESABU ZA KIISLAM NI MASHOGA NA MAKAHABA TUU HAWANA HESABU NYINGINE YOYOTE KWA MUNGU . UTAPINDA PINDA MPAKA UTACHOKA KIPOZEO HAO MARAFIKI ZAKO MASHOGA TUU
Kuna kipindi mie nahisi uislam wa tzn ni tofauti na uislam wa nchi zingine maana haswa hayo makundi Ya wasani ndio Innalillah wa ina ileh rajiun skendo hazipoi hadi mfungo. Kuna video Ya huyo Konde eti anasoma Surat al fatha kama vile yuko anaimba kwangwaru na kipini puani na kilemba kichwani. Mnawaagopa sijuwi kwa nini hamuwalinginiye ? Ila Mazinge yeye uwa anawapa vidonge vyao.
Hii intavyuu namashakanayo kwapwent zifuatazo namashaka nawewe haunakatazo avue asome akimaliza! Alaf huntha kaingiaje kwenye mada hilosiosomofupi linahitaji upana sio kupitia ubavu wamashoga wakiletapwent sisi tumeegemea kwwnye maumbile fulan ! Hii mada iwwkesawa
Hivi nyie waandishi hamwezi kuzungumza Kiswahili bila kuingiza Kiingereza? Mnachomeka Kiingereza ili iweje? Hamna misamiati ya kutosha mpaka mchomeke Kiingereza?