Mnaact kwa majina ya kiisilam na masheikh ndani lkn hamfati uisilam, mnapotosha watu. Ndugu yako wa kike unamuachia m’me akae nae hali ya kua si swa. Na m’me wenyewe anajuilikana baba ake ni sheikh???
@@RajahMatano-eo3db . Tena wakitengeneza pesa ndio roho imekuruka??? Si ndo nyie mnaoact na kanga za viuno na madera kwa kutokwa roho na pesa mkakosana na Allah/aliyekuumbeni??? Mnaichana akhera yenu kwa kutia viraka dunia???