Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Daaaaah,hivi watu wengine Mbona mnatafta madhambi kwa nguvu?!!Ebu kuweni na inswaf,mtakufa vibaya kwa hizo tabia na mambo ya hovyo...Kama mkeo kakushinda kumtawala msmamo huna,unaulizia msmamo kwa mtu aliyekuzidi sabini elfu Marat?Mwenzio hadi mkeo anamkubali,umebaki wewe tuuu😄😄😄hiyo inaonyesha ni jinsi Gani hufai kwa nafsi yako na kwa wengine pia hufai.Acheni husda,mtakufa Nazo hizo
Sijaona historia yyte ya kusoma hapa zaid tu alipokuw ana miaka 10 mwaka 83. Kisha akakaririshwa Nyimbo za kuimba Na Ametuimbia hapa. Duh!sas historia ipo wap ya Kusoma kwake.
@user-qe8xp6ii1u ww zako za ukweli ni zipi huyo si kassim mafuta wakutaka sifa ki historia ametuilimisha ww wataka kusema visa vya mtume s a w na maswahaba ni za urongo wacha chuki na uhasidi ww wahabi toa ww visa zako za ukweli siku yakiyama utajikuta mwenye hasara mungu akuongoze ww na sisi heshimu mashekhe utajuta na hao mashekhe zenu wanao wabandikiza chuki
@@أبوفيصل-د3شHAWAWEZI KUKUELEWA HAWA AKHY ISIPOKUWA MTU ALIYEKAA CHINI AKAISOMA DINI YAKE NA AKAIFAHAMU KAMA WALIVYOIFAHAMU MTUME WETU NA SWAHABA ZAKE. MWENYEZI MUNGU ATUTHIBITISHE SISI NA WAO KATIKA ELIMU SAHIHI YA "AMESEMA ALLAH NA AMESEMA MTUME, WAMESEMA MASWAHABA" NA HAPO NDIPO PALIPO NA ELIMU LAKINI WENGI KATIKA WATU HAWAFAHAMU HILO NA NDIYO MAANA UTAKUTA WANASIFIA HATA WENYE KUFUNZA VISA AMBAVYO HAVIJATHUBUTU.
Hahahaha vituko hivi,sasa Tarikh ya kusoma kwake iko wapi hapa?Yaani aliacha raudhwa Markaz Nur ama n vp?...jamani musiandike vichwa ili kuvutiya watu waview,mcheni Allwah.
@@mafiatv5479kaka huo ndo uisilamu kweli ? kama hulidhiki na hayo omba dalili ila sio matusi jamani tujifunze kuwaheshimu masheikh wetu hata kma wamekosea tuwakosoe kiheshima IshaAllah