TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Hata ajira wanapewa Watanganyika wanaoletwa na baadhi ya wafanyakazi wanaoletwa na wanaopata uhamisho hasa hasa ktk jeshi la wananchi na jeshi la Polisi maana huwaleta ndugu zao kusoma hapa hivyo huchukuwa nafasi hiyo kuwapenyeza ktk Serikali zinapotokea ajira
Kwani huyu Mh Waziri ndio hajuwi hasa tatizo hili?maana inaonesha hanyooshi maneno!tunao vijana wetu wengi Tu na Wana fani lkn hawapewi ajira wako ktk Hospitali na vituo binafsi hapa Zanzibar na Bara sasa kama hafahamu basi afuatilie Hilo na Sisi tutampa ushirikiano kama atataka!
Wengi sio hoja kumbuka mussa alipokimbia na watu wake kuelekea baharini firaauni na watu na jeshi lakee walikuua wanafika elfu tatu vp, sasa hawakuangamizwa vp kuhusu wingi waoo haikua kama takataka zinazosombwa na maji ya mvuaa kwenye mitaro ya majiii