Тёмный

SIMANZI:MAZURUI ABANANISHWA SANA LEO AJIBU KWA UCHUNGU MADAKTARI BINGWA PEMBA RUDINI KWENU KUTIBU 

Tifu Tv
Подписаться 23 тыс.
Просмотров 4,7 тыс.
50% 1

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Опубликовано:

 

25 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 12   
@aminaothuman6784
@aminaothuman6784 Месяц назад
Assalam alaikum wallahi mweshimi mariya umetowa hoja ya msingi nasio hao wanao towa poroja za siyasa
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 22 дня назад
Watu wengi wagonja kwasababu utakuta hawapati vyakula bora inakuwa watu wengi hawana damu pressure kwasababu ya maisha
@khaledsuleiman9819
@khaledsuleiman9819 Месяц назад
Basi kama hospitali zinajaa namna hiyo , kijisiwa hichi , inaonesha watu wengi ni wagonjwa
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Месяц назад
Tatizo wanachunguzwa wazazi wao wanatoka ktk chama gani na nafasi hupewa watoto wa viongozi ambao hawana sifa
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 25 дней назад
Tatizo la znz bajeti haiwezi kukidhi haja sababu wageni kutoka nje ya znz wanaingia bila utaratibu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Месяц назад
Hata ajira wanapewa Watanganyika wanaoletwa na baadhi ya wafanyakazi wanaoletwa na wanaopata uhamisho hasa hasa ktk jeshi la wananchi na jeshi la Polisi maana huwaleta ndugu zao kusoma hapa hivyo huchukuwa nafasi hiyo kuwapenyeza ktk Serikali zinapotokea ajira
@DuuSaid
@DuuSaid Месяц назад
Pia tatizo ni wahamiaji kuwa wengi visiwani linasababisha hayo mahospitali kujaa limejificha hilo😂😂😂
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Месяц назад
Waekezaji siyo matatizo matatizo ni sehemu walokuwa nayo siyo ya kutosha wanazo sehemu ndogo.
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Месяц назад
Kwani huyu Mh Waziri ndio hajuwi hasa tatizo hili?maana inaonesha hanyooshi maneno!tunao vijana wetu wengi Tu na Wana fani lkn hawapewi ajira wako ktk Hospitali na vituo binafsi hapa Zanzibar na Bara sasa kama hafahamu basi afuatilie Hilo na Sisi tutampa ushirikiano kama atataka!
@jumasaleiman
@jumasaleiman Месяц назад
Wageni ni wengi sanaa hamuta wawezaaa kamwe
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k Месяц назад
Wengi sio hoja kumbuka mussa alipokimbia na watu wake kuelekea baharini firaauni na watu na jeshi lakee walikuua wanafika elfu tatu vp, sasa hawakuangamizwa vp kuhusu wingi waoo haikua kama takataka zinazosombwa na maji ya mvuaa kwenye mitaro ya majiii
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k Месяц назад
Wewe nani unaeleta hoja hiiii kua wingi ndio hauwwzekani
Далее
The lightweights ended Round One with a BANG 💪
00:10
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
Иран и Израиль. Вот и всё
19:43
Просмотров 1,5 млн
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
Просмотров 56 тыс.
Jussa aweka mambo yote hadharani kwenye mahojiano haya
47:46
The lightweights ended Round One with a BANG 💪
00:10