Ni miaka 25 tangu meli ya mv Bukoba ilipozama may 21 mwaka 1996 na kupoteza maisha ya watu zaidi ya 1000 huku ikiacha vilio na simanzi kwa watanzania wengi waliopotelewa na ndugu zao.
Ayo Tv na millardayo.com imempata Respicius John ambaye alinusurika katika ajali hiyo samabamba na Salum Mohammed ambaye familia yao ilipoteza watu kumi na nane na hapa wanaeleza hali ilivyokuwa huku wakisimulia maisha wanayoyaishi kwa sasa
13 сен 2024