Тёмный

(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI) 

AL FATAH TV ONLINE
Подписаться 99 тыс.
Просмотров 60 тыс.
50% 1

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 137   
@auntrucky197
@auntrucky197 2 дня назад
Allah avihifadhi visiwa vyetu.
@MuslimBakar-uf6xd
@MuslimBakar-uf6xd 2 дня назад
Wallah kuzaliwapemba nakuampemba infrahisha sana
@rayamasoud2819
@rayamasoud2819 11 месяцев назад
Nimeshawah kufika Alhamdulillah kuzur sana najivunia kua mpemba
@KelvinKenga-q1k
@KelvinKenga-q1k 10 месяцев назад
Nipo mamoja nawe kutoka kenia
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve 11 месяцев назад
Mashaallah najivunia kuwa muislam nakuwa mpemba orij
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 10 месяцев назад
Asante kwa elimu Yako shekh nimeipenda mno❤
@rizikirashid1199
@rizikirashid1199 10 месяцев назад
MashaALLAH kumbe ata Afrika mashariki ilifikwa na maswahaba
@emuthree
@emuthree 11 месяцев назад
Mashallah.....si kuna utaalamu wa kuyatengeza haya majengo yakawa kama vile vile.... au hata kama yatakuwa kama gofu hivyo, lakini yachapiwe kiutalaamu yawe hivyo hivyo.....Ujerumani wamefanya hivyo kwenye majengo yao ya kihistoria
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp 11 месяцев назад
❤Alfatah tv kiboko ya wote❤pemba yetu ina mzr mengi na tunajivunia nayo ardhi yenye kuvutia
@RaibebeBebe
@RaibebeBebe 5 месяцев назад
Alhamdulillah from mozambiq
@omarkhalfan2985
@omarkhalfan2985 11 месяцев назад
Mashallah shekh wetu kwa good history Allah bless you
@hotelzanzibar5679
@hotelzanzibar5679 11 месяцев назад
@hassannachia3946
@hassannachia3946 11 месяцев назад
Uwongo mnataka kuwapa kichwa wapemba toka mwanzo wanaoenda sifa mmh
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 11 месяцев назад
Mashaallah Mashaallah umeeleza vizuri sana Allah baridi fii
@salimmohd4999
@salimmohd4999 6 месяцев назад
Maasha allaah
@jumamkali8307
@jumamkali8307 11 месяцев назад
Mashaallah umependeza san
@twahirsaid5636
@twahirsaid5636 11 месяцев назад
Home sweet home Allah barrik
@SaadIssa-mw4gh
@SaadIssa-mw4gh 11 месяцев назад
Pemba na Mafia ni visiwa mashuhuri sana,vina historia kubwa sana duniani, tatizo serikali zetu ndio wamevitelekeza
@OmarKhatib-x2s
@OmarKhatib-x2s 10 месяцев назад
Tumshukuru Allah
@abassjuma6248
@abassjuma6248 11 месяцев назад
Umejitahidi.Sihaba ndugu umejitahidi
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 10 месяцев назад
Waislaamu bhana !!! Kila alipokua mwarabu wanaona ni pahala patakatifu ,Mungu arehemu
@IsmailElmazroui
@IsmailElmazroui 7 месяцев назад
Umeshiba nguruwe Tu sehem takatifu ni kidini ni makka watu wa dunian kote wanaenda kufany ibada sehem ya stareh dunia mzima ni Dubai yote ni uarabuni Acha chuki zako
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 7 месяцев назад
@@IsmailElmazroui yaani unamtaja ngurue kama vile unamjua vizuri Sana ,hata wewe unaruhusiwa kula kidogo. Bila kishiba na kubeba endapo umebanwa ,,pia zipo dawa kibao zimejaa ngurue na zinatumika 2
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 7 месяцев назад
@@IsmailElmazroui we nyamaza tuu ,endelea kujua unavojua hakunaga mahali patakatifu Duniani watu wanapokua watakatifu ndio wanasababisha mazingira ya mahali kua patakatifu ,mfano watu wakiwa eneo Fulani ,walevi ,wazinzi waizi wauaji huo mtaa utapewa jina la sifa iliyopo,wewe kama umeproof kua Kuna mji Mtakatifu basi sawa sikupingi lakini uhalisia ni historia ya mahali ,kama Dubai ndio mahali pa Raha duniani basi ujue maana ya Raha ni uovu kwa asilimia kubwa , kama unaweza kua na ufahamu pasi fikiri watu wanapoenda kula Raha ni majambo Gani yana jiri huko.,usije uka Dhani kua Mungu anaishi kwenye dini ,my friend Mungu Mtakatifu anakaa na mioyo ya watu na haki na dini yeyote Ile,na hakuna dini takatifu popote Wala nabii Wala Mungu hajawahi eleza kitu hicho ,ni watu na mbwembwe zao tuu kutukuza vitu kuliko Mungu.
@Anuarmustafa4128
@Anuarmustafa4128 4 месяца назад
Na wakiristo vile vile kila walipokaa makafiri wao ndo wanaona ni pao
@AshaOmar-vk7kg
@AshaOmar-vk7kg 29 дней назад
Pumbavuww iyo bibilayenu huijui Maa pia imewakataza kula ngurue
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 11 месяцев назад
Mashallah tabaraqah ❤. Sheikh Rashid kuna mji mkongwe pemba pls naomba tupatie history yake wa jambangome tunausikia tu. Mji wa kwanza kuliko chake chake pls 🙏
@allyibrahim2507
@allyibrahim2507 10 месяцев назад
Ilikuwa bandari ya mwanzo kabla ya mkoani lakin kilianza kufa au umashuhuri wake kupotea mwaka 1928 bandari na skuli zilipohamishiwa mkoani
@MaryamSaleh-h7i
@MaryamSaleh-h7i 11 месяцев назад
Mashallah 😮😮😮
@salimasalim405
@salimasalim405 11 месяцев назад
Alhamdulillah❤❤❤❤❤
@jumamajid7557
@jumamajid7557 11 месяцев назад
Muogopeni mungu
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 11 месяцев назад
ماشاء الله
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 10 месяцев назад
Babu yuko vizuri ni tunu ya taifa na uisilam
@MuslimBakar-uf6xd
@MuslimBakar-uf6xd 2 дня назад
Waarabu na wahabesh wamefika pemb ndiomna tupo weuo na weuc raha sana
@azizams5721
@azizams5721 11 месяцев назад
Mashallah
@ShuaibuMsofe
@ShuaibuMsofe 11 месяцев назад
Mungu ndio mjuzi zaid
@hemedrashid7186
@hemedrashid7186 11 месяцев назад
Na mm nitakuja inshallah
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 11 месяцев назад
Hapo nakumbuka nilikuja 2008 kwa kweli niliinjoy sama Alhamdulillah
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 11 месяцев назад
No comment mana kuna maelezo sahihi lkn nahisi story mangine .ila mashallah kajitahdi
@ankaldally2734
@ankaldally2734 6 месяцев назад
Ahhhhhhh dah huu ujinga tu.
@HawaaAli-s2t
@HawaaAli-s2t 10 месяцев назад
Tumbatu pia kuna historia nzito lkn serekali wamekubeza sana.
@IddyKawaya
@IddyKawaya 11 месяцев назад
Matajirii wa kiislam oneniii eneo hili.ipo umuhimu wa kujengaa mskiti na ataa jitimai tunakuwaa na sehemu kmaa hizo za kale kwendaa kufaanyaa uko ataa mashindanoo ya kusoma Quaran tukufuu jmn vichwaa vyetu viiwazee juu ya Allah
@hudaaalhussein3841
@hudaaalhussein3841 11 месяцев назад
Dini ya mitumi wte ni uislam
@ZaidSeifSuleiman-q9w
@ZaidSeifSuleiman-q9w 11 месяцев назад
Mzee nimwana historia mbobezi
@IssaMohd-f7q
@IssaMohd-f7q 2 месяца назад
Watu wa nabii issa ni waislamu enzi ya nabii issa mana mitume wote walikua waislamu wakiristo wako mbali sana na nabii issa wakiristo dini yao wamechukua kwa paulo mrumi
@jumayusuf1694
@jumayusuf1694 11 месяцев назад
Yaani uislam ulifika Pemba Kuliko Vitongoji vya Madina sio ndio Mapenzi ila Mengine Yapunguzwe
@freemason.official3792
@freemason.official3792 6 месяцев назад
Ww unachuki na upemba sio Bure ata historia hujawai kusoma unaanza kubishana
@nassirzamzam9312
@nassirzamzam9312 11 месяцев назад
Mimi maoni yangu hao walio zikwa kulekea chini naona ni wareno
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 11 месяцев назад
Nyumbani kabisa uko 😊😊😊😊
@TalibMuhsin
@TalibMuhsin 4 месяца назад
Hata nabii suleiman Alifika pemba misali ilikua inaitwa musallah
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 10 месяцев назад
Sasa wagiriki walikigundua hicho kisiwa je hakikuwa na wakazi wenyeji?acheni ujinga
@MahirOmar-wh6vu
@MahirOmar-wh6vu 11 месяцев назад
Assalam alaykum nauliza hiyo Karne ya kwanza waliokuepo Huku Pemba najua Ni watu lkn Ni akina Nani ?
@IsmailElmazroui
@IsmailElmazroui 7 месяцев назад
Wagen sio wakaz
@nafuutayb8452
@nafuutayb8452 10 месяцев назад
Aaaa!!! tushawazowea ila historia ya uislam bora mgeliicha tu shikeni ayo mengine
@hemedrashid7186
@hemedrashid7186 11 месяцев назад
Hv kuna ukweli Nabii Sukeymani alifika ktk kisiwa Mesali?
@TalibMuhsin
@TalibMuhsin 4 месяца назад
Ndio Akhy
@salummzee9739
@salummzee9739 11 месяцев назад
Mbona hijira za Mtume zimetajwa na Uhabeshi ktk Qur-an Yemen 🇾🇪 na mpk leo sisila za Uchamungu zipo pemba haikutajwa ktk History ya uislamu wala ktk Qur-an
@ZaidSeifSuleiman-q9w
@ZaidSeifSuleiman-q9w 11 месяцев назад
Huyo jamaa anaye pinga inawezekana anayo historia na anajua kwahivyo na yeye atowe historia kama huyu mtaalamu anavyo toa historia nzuri na yakuvutia
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 9 месяцев назад
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupenda na kusifia lolote la kiarabu tokana na waliyoyafanya hapa Tanzania, na wanayofanyiwa wanawake wa kiafrika wanaokwenda uarabuni tangu zamani hadi leo hii!! Ni upuuzi mkubwa saana
@HamisOman-s8h
@HamisOman-s8h 11 месяцев назад
Kwawale wenye kupinga kujenga kibla wangetizama asiliyake hio
@salhkasmm558
@salhkasmm558 4 месяца назад
Ndio maanawakawa wengi nimahasidi wauchawi ndio mloachiwa hivyo.
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 10 месяцев назад
Kwahiyo uislam ulifika pemba kabla ya mtume hajazaliwa
@ahmedbaamironlinetv4753
@ahmedbaamironlinetv4753 10 месяцев назад
SISI tuna histoyetu Mkia ng’ombe chaajabu eti waliandika kua watu kutoka China 😃😃 Wakati SISI tupo
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 10 месяцев назад
Tuonyesheni watu wa isa tuendeleze hapo
@HajiAbubakar-nb2ue
@HajiAbubakar-nb2ue 11 месяцев назад
We mtangazaji kipindi cha issa kulikuwa hakuna kanisa makanisa yamekuja baada ya issa kupaa mbinguni
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq 11 месяцев назад
Ndio wakazaliwa kina Bachu Albarzanji 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hajihassan5433
@hajihassan5433 11 месяцев назад
Wapemba wengi wana sifa ya kuamini kama zile za watu tunaowasoma vitabuni. Naamini hata kaburi ya mpendwa wetu Maalim lingeachiwa tu lingeaminika kuwa ni la sahaba.
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq 11 месяцев назад
Huo ni tokea nabii Issa niulize Huo msikiti kibla chake Umeelekea makka Au madina?
@abdallasalim3918
@abdallasalim3918 11 месяцев назад
Uligeuzwa kuwa msikiti wa kawaida mbona alisemna
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 месяцев назад
kama ni toka nabii issa kwa hakik ni uongo na atakaepinga atuletee wap kapa hio hivi jaman haiwi wakat wa mtume sallahu alayh wasallam mambo mengin hayajulikan vp tokea nabii issa wameayapat wap hayo kisha mzee kusema uislam ulifik mwanzo pemba kuliko madin kwa hakik amche mola wake hata km umpemba na mie ivo ivo
@hudaaalhussein3841
@hudaaalhussein3841 11 месяцев назад
Baytul maqdis,
@MohamefMullah
@MohamefMullah 11 месяцев назад
Wacheni chuki na husda ambazo hazina msingi, Pemba ni kisiwa pekee au sehemu pekee yenye historia ya kuvutia na yenye ukweli, wewe unaepinga Najua wewe ni mbara jaribu kutembelea pemba ulizia mkamandume huko utapata historia ya mkamandume itakushangaza, kulikuwa na kiongozi muislam alijenga jengo na wake wawili na kisima chenye ukuta uliogawa wanachota maji bila kuonana ndoo ndio zinagongana, na alichimba msingi umbali wa kilomita 3 ili kuyafanya maji ya bahari yafike nyumbani kwa ajili ya kufika jahazi yake mpaka kwenye nyumba, Pemba ni kisiwa hata jina lake ilitambuliwa kwa Aljazeera, Pemba ni eneo pekee baada ya maka ambayo imebakia imaani angalau kidogo
@jokhaalharthi5807
@jokhaalharthi5807 11 месяцев назад
Bbbbbbkkb
@omarkhalfan2985
@omarkhalfan2985 11 месяцев назад
Mashallah
@hassannachia3946
@hassannachia3946 11 месяцев назад
Mbina hamendi kuishi kwenu mmejazana tu unguja mnaishi mpka kwenye vyanzo vya maji na mabondeni mnatia aibu
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 11 месяцев назад
Na kuongezea ni mpaka kilwa bara. Mbona Tanzania ina historia kubwa tu ndugu yangu. Pemba ina historia kweli.
@abuuabdirrahmaan4132
@abuuabdirrahmaan4132 11 месяцев назад
naona kama hujui unachosema
@abuuabdirrahmaan4132
@abuuabdirrahmaan4132 11 месяцев назад
MZEE UOO VIZURI SANA ILA KUNA JAMBO MOJA UMECHEMSHA SANA UNAPOSEMA KWAMBA NI MSKITI WA WATU WA NABII ISSA YAANI KABLA YA UJIO WA NABII MUHAMMAD HALAFU UNATUONYESHA SEHEMU YA KUSOMEA ADHANA ILHALI UNAJUA SHERIA YA ADHANA IMEKUJA NA NABII MUHAMMAD HAIJAJA NA NABII YEYOTE KABLA YAKE?!!!!!!
@HalimaSalehIssa
@HalimaSalehIssa 11 месяцев назад
Ilianza kusomwa adhana baada ya kuja watu wa nabii Muhammad S.A.W
@oii6zlaboshelby17
@oii6zlaboshelby17 11 месяцев назад
Hajasema msikiti kasema jengo la ibada la watu wa nambii issa
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 месяцев назад
hitoria za uongo hizo jamaa ta km tuwapemba twapata dhamb
@saidathuman1536
@saidathuman1536 11 месяцев назад
Mzee kasema Jengo hilo la msikiti lilitumiwa kabla utume wa Muhammad na baada ya wajumbe wa mtume walipofika Pemba!!
@manaphymohd4145
@manaphymohd4145 10 месяцев назад
Ukiskilza vzr utaelew vizr hukuelew ww nd man ukasema ivo
@odilowairinga6324
@odilowairinga6324 11 месяцев назад
Kuna mtu mqingine akisema pepo ipo arusha
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 месяцев назад
mambo mengine ni uwongo wa waz na cjui wameayapata wap na huyo jamaa katuliaa utasema hajui chochot kuhus tarekh ya kiislam cjui mzee amechkua kijitab gan kusema uislam unefika mwanzo pemb kuliko madina huyu mzee amche mola wake kwa hili.hata km ni mpemb lakin hili nalipinga si kwel jamaa mambo mengin tutakujajikuta twaingia pabaya kwa kujisifu san
@jumahamad3723
@jumahamad3723 11 месяцев назад
Kwani uislamu kauleta mtume gani mpaka ukatae kama unaambiwa nabii suleimanai kafika kisiwa hicho kwaio suleimanai sio muislamu
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 месяцев назад
@@jumahamad3723 ni uwongo bhan hitoria ya uislam yote imehifadhiwa na mtume bas alkua hajui ivo? na kabla bas vilikuepo vitab vingeeleza hivo bas la kushangaza zaid kusema et uislam umefika pemba madina bado dduuh ata kuapapasa bas hatupapas mchen mola wenu jamaa
@wambaaone923
@wambaaone923 11 месяцев назад
Ukweli ukoje tuambie
@manaphymohd4145
@manaphymohd4145 10 месяцев назад
Acha kupinga jambo ambalo hulijuwi asa toa ya kwako kuusu we mwenyew ulivo bas tukuamn km mkweli
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 11 месяцев назад
Mtangazaji tunakuomba kuwa utambue kuwa dini ya nabii ISSA ni dini ya kiislam sio dini ya kikiristo coz nabii ISSA hajajenga kabisa kanisa yeye binafsi nabii ISSA alikuwa anaswali pale masjid aqswa ya kule Jerusalem Israel ambaoo msikiti ukitwa masjid muqqadas
@manaphymohd4145
@manaphymohd4145 10 месяцев назад
Ukisklza vzr utaelewa sana
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 11 месяцев назад
Wacheni kushindana na wajinga , mukitaka musitake Zanzibar ina historia kubwa na dini . Wapuuzeni tu
@Muadhin1
@Muadhin1 11 месяцев назад
SWALI MOJA. JE MISIKITI YENU IMEELEKEA MAKKA AU PALESTINE? NDO UTAJUA KAMA UISLAMU UMEFIKA MWANZO UNGUJA KABLA MADINA. HIYO HISTORIA NI YA UONGO. MM NIMEULIZA DARASANI NA NIKAAMBIWA KAMA KWELI BASI HAO MASWAHABA WANGESEMA KUWA KUNA WENZAO WAMEENDA PEMBA.
@abdallasalim3918
@abdallasalim3918 11 месяцев назад
Walisema wapi na wapi
@abdallasalim3918
@abdallasalim3918 11 месяцев назад
Si walisema ethopia namashariki
@manaphymohd4145
@manaphymohd4145 10 месяцев назад
Kwaiyo we unatak kila alipo muislam paelekezw kibla uyo mualim wako alokujib muambie akup hoja
@sulemohdi2013
@sulemohdi2013 10 месяцев назад
Kasema huo msikiti alio onesha umejengwa karne ya 9, kaka unafahamu school kweli? Na huo ulokuwepo toka enzi hizo kabla kuja Mtume ndo hajauonesha piya kasema upo msingi tu ngoja tuone.
@XPOSED255
@XPOSED255 11 месяцев назад
mhhh uyoo mzee atauchee hakuna history yyte iliosema ivo
@omarkhalfan2985
@omarkhalfan2985 11 месяцев назад
Sorry tupatie ya kwako ambayo ni sahili zaid pls
@fakihassani3
@fakihassani3 11 месяцев назад
Mjinga huyu tena ndio wale wapumbavu majuha wasojielewa mana anapinga wakati hana analojua
@seifjuma4252
@seifjuma4252 11 месяцев назад
Ata Enzi za mtume wanafiki walikuepo km hvy wewe kwaio sio cha ajbu Kutext upuuzi km huu unao oneshwa alfu ukjifanya kipofu
@ShafiiMkawa-yl9du
@ShafiiMkawa-yl9du 11 месяцев назад
Inawezekana ikawa kweli
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 11 месяцев назад
Huko ndagoni ni kwetu mimi ni mzaliwa ila ukihoji sana utakuta kuna mambo hayako sawa kwa hii stori ya mzee Ili ujue kweli wa
@manaphymohd4145
@manaphymohd4145 10 месяцев назад
Hoji utajua kwaiyo yale majengo kwa akili yko kajenga nan au ww na wenzako
@Kimochatv
@Kimochatv 10 месяцев назад
Mashaaalaaah
Далее
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 20 млн
MFAHAMU MUUZA SUPU ALIYEIBUKA KUWA BILIONEA
38:24
Просмотров 34 тыс.
#52 - #MLAFI - #MAU MPEMBA - #FUMBUA MACHO
13:20
Просмотров 57 тыс.
HUU NDIO MZIGO MZITO KWA KINAMAMA WENGI (HUBBUL HALAL)
26:17
HII NDIO SIRI YA UTUKUFU WA MPEMBA
14:30
Просмотров 9 тыс.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 20 млн