Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Mashallah.....si kuna utaalamu wa kuyatengeza haya majengo yakawa kama vile vile.... au hata kama yatakuwa kama gofu hivyo, lakini yachapiwe kiutalaamu yawe hivyo hivyo.....Ujerumani wamefanya hivyo kwenye majengo yao ya kihistoria
Umeshiba nguruwe Tu sehem takatifu ni kidini ni makka watu wa dunian kote wanaenda kufany ibada sehem ya stareh dunia mzima ni Dubai yote ni uarabuni Acha chuki zako
@@IsmailElmazroui yaani unamtaja ngurue kama vile unamjua vizuri Sana ,hata wewe unaruhusiwa kula kidogo. Bila kishiba na kubeba endapo umebanwa ,,pia zipo dawa kibao zimejaa ngurue na zinatumika 2
@@IsmailElmazroui we nyamaza tuu ,endelea kujua unavojua hakunaga mahali patakatifu Duniani watu wanapokua watakatifu ndio wanasababisha mazingira ya mahali kua patakatifu ,mfano watu wakiwa eneo Fulani ,walevi ,wazinzi waizi wauaji huo mtaa utapewa jina la sifa iliyopo,wewe kama umeproof kua Kuna mji Mtakatifu basi sawa sikupingi lakini uhalisia ni historia ya mahali ,kama Dubai ndio mahali pa Raha duniani basi ujue maana ya Raha ni uovu kwa asilimia kubwa , kama unaweza kua na ufahamu pasi fikiri watu wanapoenda kula Raha ni majambo Gani yana jiri huko.,usije uka Dhani kua Mungu anaishi kwenye dini ,my friend Mungu Mtakatifu anakaa na mioyo ya watu na haki na dini yeyote Ile,na hakuna dini takatifu popote Wala nabii Wala Mungu hajawahi eleza kitu hicho ,ni watu na mbwembwe zao tuu kutukuza vitu kuliko Mungu.
Mashallah tabaraqah ❤. Sheikh Rashid kuna mji mkongwe pemba pls naomba tupatie history yake wa jambangome tunausikia tu. Mji wa kwanza kuliko chake chake pls 🙏
Matajirii wa kiislam oneniii eneo hili.ipo umuhimu wa kujengaa mskiti na ataa jitimai tunakuwaa na sehemu kmaa hizo za kale kwendaa kufaanyaa uko ataa mashindanoo ya kusoma Quaran tukufuu jmn vichwaa vyetu viiwazee juu ya Allah
Watu wa nabii issa ni waislamu enzi ya nabii issa mana mitume wote walikua waislamu wakiristo wako mbali sana na nabii issa wakiristo dini yao wamechukua kwa paulo mrumi
Mbona hijira za Mtume zimetajwa na Uhabeshi ktk Qur-an Yemen 🇾🇪 na mpk leo sisila za Uchamungu zipo pemba haikutajwa ktk History ya uislamu wala ktk Qur-an
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupenda na kusifia lolote la kiarabu tokana na waliyoyafanya hapa Tanzania, na wanayofanyiwa wanawake wa kiafrika wanaokwenda uarabuni tangu zamani hadi leo hii!! Ni upuuzi mkubwa saana
Wapemba wengi wana sifa ya kuamini kama zile za watu tunaowasoma vitabuni. Naamini hata kaburi ya mpendwa wetu Maalim lingeachiwa tu lingeaminika kuwa ni la sahaba.
kama ni toka nabii issa kwa hakik ni uongo na atakaepinga atuletee wap kapa hio hivi jaman haiwi wakat wa mtume sallahu alayh wasallam mambo mengin hayajulikan vp tokea nabii issa wameayapat wap hayo kisha mzee kusema uislam ulifik mwanzo pemba kuliko madin kwa hakik amche mola wake hata km umpemba na mie ivo ivo
Wacheni chuki na husda ambazo hazina msingi, Pemba ni kisiwa pekee au sehemu pekee yenye historia ya kuvutia na yenye ukweli, wewe unaepinga Najua wewe ni mbara jaribu kutembelea pemba ulizia mkamandume huko utapata historia ya mkamandume itakushangaza, kulikuwa na kiongozi muislam alijenga jengo na wake wawili na kisima chenye ukuta uliogawa wanachota maji bila kuonana ndoo ndio zinagongana, na alichimba msingi umbali wa kilomita 3 ili kuyafanya maji ya bahari yafike nyumbani kwa ajili ya kufika jahazi yake mpaka kwenye nyumba, Pemba ni kisiwa hata jina lake ilitambuliwa kwa Aljazeera, Pemba ni eneo pekee baada ya maka ambayo imebakia imaani angalau kidogo
MZEE UOO VIZURI SANA ILA KUNA JAMBO MOJA UMECHEMSHA SANA UNAPOSEMA KWAMBA NI MSKITI WA WATU WA NABII ISSA YAANI KABLA YA UJIO WA NABII MUHAMMAD HALAFU UNATUONYESHA SEHEMU YA KUSOMEA ADHANA ILHALI UNAJUA SHERIA YA ADHANA IMEKUJA NA NABII MUHAMMAD HAIJAJA NA NABII YEYOTE KABLA YAKE?!!!!!!
mambo mengine ni uwongo wa waz na cjui wameayapata wap na huyo jamaa katuliaa utasema hajui chochot kuhus tarekh ya kiislam cjui mzee amechkua kijitab gan kusema uislam unefika mwanzo pemb kuliko madina huyu mzee amche mola wake kwa hili.hata km ni mpemb lakin hili nalipinga si kwel jamaa mambo mengin tutakujajikuta twaingia pabaya kwa kujisifu san
@@jumahamad3723 ni uwongo bhan hitoria ya uislam yote imehifadhiwa na mtume bas alkua hajui ivo? na kabla bas vilikuepo vitab vingeeleza hivo bas la kushangaza zaid kusema et uislam umefika pemba madina bado dduuh ata kuapapasa bas hatupapas mchen mola wenu jamaa
Mtangazaji tunakuomba kuwa utambue kuwa dini ya nabii ISSA ni dini ya kiislam sio dini ya kikiristo coz nabii ISSA hajajenga kabisa kanisa yeye binafsi nabii ISSA alikuwa anaswali pale masjid aqswa ya kule Jerusalem Israel ambaoo msikiti ukitwa masjid muqqadas
SWALI MOJA. JE MISIKITI YENU IMEELEKEA MAKKA AU PALESTINE? NDO UTAJUA KAMA UISLAMU UMEFIKA MWANZO UNGUJA KABLA MADINA. HIYO HISTORIA NI YA UONGO. MM NIMEULIZA DARASANI NA NIKAAMBIWA KAMA KWELI BASI HAO MASWAHABA WANGESEMA KUWA KUNA WENZAO WAMEENDA PEMBA.
Kasema huo msikiti alio onesha umejengwa karne ya 9, kaka unafahamu school kweli? Na huo ulokuwepo toka enzi hizo kabla kuja Mtume ndo hajauonesha piya kasema upo msingi tu ngoja tuone.