Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Mashallaa kiukweli Bopar ni mtu wa aina yake Sana,ukichunguza mwanzo mwisho yupo ktk misingi ya dini na maelekezo ya wazazi🙏Mungu akutunze Sana mzee wetu funzo ni kubwa Sana.
Mashaallah nimependa hadithi ya huyu sheikh inshaallah na sie pie allah atufanyie wepesi huo mie binafsi uwezo wangu sio mzuri ila napenda sana kufanya kama huyu sheikh najitahid nafanya kwa uwezo wangu alionijaalia allah alhamdulilah allah kareem
Kupitia sheikh huyu nimejifunza mengi kwamba pia hakuna kukata tamaa ktk maisha na vile vile kuwa na subra na kumtegemea Allah (s.w )tutafika in shaa Allah m/mungu amjaalie umri mrefu wenye manufaaa allahuma aamin thumma aaaamin 🤲
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, machozi lazima yakububujike kwa maneno na vitendo vya kheir anavyovifanya kaka etu Bopar, nataman na mm niwe kama Bopar, mm kwangu huyu Bopar ni kiigizo chema na In Shaa Allah ipo siku na mm nitakua km ww Bopar Amiin
Mashallaa Sheikh Said Bopar ww ni mfano wakuigwa,kiukweli mwanzo mwisho wa maelezo yako imeonesha wazi jinsi gani upo karbu na Mila na desturi za dini na kitu kikubwa ni kufuata Wazazi,🙏Tunakupenda Sana kwaajili ya Allah
Hakuna kitu kama kumtanguliza mwenyezi mungu katika maisha yako na kuwa na kinaa na kuwati wazazi dua yamzazi inafungua barka kubwa na kutokuwa na kiburi ! Huyu bwana qualification zote hizi anazo ..mashaallah tabarakallah Allah ihfadhkum Allah ibarik
Maashallah Allah amzidishie kila akitakacho na Allah ampe mwisho mwema yeye na sisi ...kuna funzo kubwa hapo kwa maelezo na vitendo vya Sheikhe Bopar ...Allah akulipe kheri pamoja na uongozi wa Al Fatah kwajumla.
Mashallaah tabarakallaah ... sheikh Bopar ni mfano wakuigwa na hawa matajiri wetu wakiislam... Nikweli mia fil mia matajiri wengi wakiislam hawataki kumpa Allaah haki yake (zakatul maal) wala hawataki kufanya biashara na Allaah... mali zao nyingi wanazipoteza kwenye kusponsor timu za mipira au waimbaji ama wanasiasa... lakini wanaona ubakhili kutoa kwaajili ya Allaah. Lau matajiri wote wangeungana katika kutoa sadaqa au zakat bila shaka umaskini haungekuwepo hapa duniani maisha ya mayatima, wajane na mafukara yangebadilika pakubwa..
❤❤❤maasha Allah mwenyezimungu akuzidishie kheir nasie tuombee dua ili tufanikiwe kama ulivyo fanikiwa wewe na insha Allah uwe miingoni wa waja watakao ingia peponi na mtume swala na salam ziwe juu yake ndani ya firdaus Amin Amin insha Allah
Mashallah Yaa Rabbi mpe huyu bopar umri mrefu na afya bora aendelee kuwasaidia maskini na wasiojiweza na pia azidi kuwahamasisha waislam wengine wafuate nyayo zake .kwa kusaidia wanyonge Mungu akuzidishie Sana na sana.
Yaa Allah mjaalie umri mrefu wenye kheri na barka mja wako huyu na umlipe Pepo yajuu bila ya hisabu pamoja na kipenzi chetu Muhammad yeye nafamilia yake inshallah
ما شاء الله يا شيخي ومعلمي ، أسأل الله تعالى أن يزيدك ويبارك لك في مالك لتكون مع الذين ينفقون أموالهم فى سبيل الله، وأن يحفظك من جميع البلاء والبلوى الخارج من الأرض والنازل من السماء وحفظك الله من كل شر وجزاك أحسن الجزاء
Alhamdullilah Tumepata funzo kubwa sana ukitowa Nafasi inafurahi ukitowa 100 kesho unataka kutowa 150 kwa tafsiri nyepesi towa utakavyotowa unakuwa na Amani Allah tujalie tuwe miongoni katika kufanya kheri🤲🏼🤲🏼
Clip hii inamazingatio Sana na imefungua watu wengi masikio na macho,hakika kutoa ni moyo na ni neema Kubwa sana Allah Akikujaalia moyo wakutoa, Allah Atupe Mioyo ya kutoa bila yakuhofia umasikini Allahumma Amin, Allah Akuzidishie Neema na Afya yenye Baraka Bopar Allahumma Amin.
Allah akupe maisha marefu Ndugu yetu. Hakika wewe ni hazina katika umma WA kiislam. Allah akupe wepesi. Naomba safari hii biidhnilah ufike kijiji cha mjini wingwi Pemba ameen
Maasha Allah maasha Allah tabarrak rahman amiin hakika tumejifunza mengi kutoka historia yake na vipi As wazazi tuwe na vizazi vyetu in sha Allah azidi kukufanyia barkah ktk maisha yenu shukran
Mashaallah tajili wa kujielewa ,tuna mbunge moja hapo ninapo kaa ataki wanainchi waunganishe umeme kwwnye ngunzo ambayo Iko kwenye eneo lake kwa kweri sijui akifa ataenda nao uwo umeme subhaanallah
mashallah tabarakah allah utu unashinda kitu hata maswahaba walitoa mali zao zote kwa sababu ya dini na hata mtume s a w alikua akilala njaa sababu ya waliomzukuka zama tulizo nazo ni wachache sana wenye kuiga mafunzo mema ulimwengu mzima matajiri wakubwa ni waislam lakin aradhiwa ajihfaharishe kwa anasa za dunia ili apate umarufu mwisho wa siku umauti haubishi mlango wala kukupa tarifaa hilo wamelisahau kwa anasa za usoni wanachezea ballion kwa upuuzi na kuna wahitaji asili mia sabini na tano ukijua utakapo na uwendapo na mwishon kifo huezi kufanya makosa na uwezo unao
Mara nyengine sheikh said tufikirie namna yakuwapelekea wataalamu WA fani ndogo ndogo wawafunze jamiii. Kama vile subunit, viatu vya plastic na ufundi mbali mbali. Ahsante
MashaAllah Allah akulinde na kila baya, akulipe malipo mema duniani na kesho Akhera.mungu ajaalie ufike na kijiji cha kiwani ya mchanga mdogo, wete pemba InshaAllah.
Kiukweli katoka moyoni huyu sheikh said kwangu mm nimejifunza kwako mambo mengi katika utoaji wake kila nikaswali huomba mungu anijalie mali na imani na moyo kama wanakumbula kuna siku nilipata pesa kiasi nikaenda hadi dukani kwake pale mombasa nimuone anipe ushaur wakufanya biashara na nilitaka ninunue pampas pale dukani nianze biashara ila wale wauzaji wakaniambia hayupo na siwez kumuona hapo nikaanza biashara ya mkaa kuchukua kutoka tanga ijapo sijafanikiwa ila saiv nafanya kaz nikijipanga iko siku in shaa Allah nami nami nitakua mtoaji kama yeye Allah amjalie umri mrefu wenye mwisho mwema na kruu yote ya al fatah kwa juhudi zenu.
Mashallah kipindi kizuri lakini kwa nini mwandishi ajamuuliza mbinu za utunzaji pesa mpaka kufikia hapo jinsi ya kuishi kutokana na kipato swali muhimu sana linaweza okoa kizazi na kiza
Kwakweli hii imenitoa machozi. Binafsi nilipokua mdogo nilikua napeleka Baskeli yangu pale Kenya. Huyu Bopar alikua akipita na Honda kwa mwendo wa kasi. Alikuwa bado kijana wa makamo.. Masha Allah. Mola akuzidishie moyo wa huruma na Imani.