Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile
Kuna vitu nimejifujza huyu masikini walimsweka ndani wakampa faini ya milioni tano ili akae ndani jumla niwaaambie allha atawaukum nyote makafili madhalim msio na huluma
KUNA MJITU SERIKALINI NA NDANI YA CCM INAJICHOTEA PESA ZA WIZI, UFISADI NA KULAWITI WANAFUNZI CHUONI NA MASHULENI MBONA WAO HAWAFUNGWI WALA KUKAMATWA NA POLISI?