Тёмный
No video :(

SOMO LA NDOTO: TAFSIRI YA KUONA UNAFANYA MTIHANI ( johanitha Jeremiah-founder visionary youth org) 

VISIONARY YOUTH ORGANIZATION (V.Y.O)
Подписаться 776
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Visionary youth organization Monthly semina
Lengo la mtihani huwa ni kupima uwelewa WA mtu
✓Kumvusha kumtoa hatua Moja kumpeleka hatua nyingine
✓Kumtoa hatua ya chini kumpeleka hatua ya juu
Na aina za mitihani unazofanya huwa zimegawanyika Kwa makundi mawili
a)kundi la kwanza ni kundi ambalo Ni mitihani inayopima welewa ili ikuvushe hatua Moja kwenda nyingine
Mfano mtihani WA darasa la Saba unamvuaha mwanafunzi kumpeleka kidato Cha kwanza
b) Mitihani mingine ni ili kupima maarifa ,katika usaili ili uweze kupata nafasi Fulani/kazi Fulani...
Ndio maana mtu anaweza kuwa amesona vizuri na ana VYETI lakini asiwe na maarifa ,Wala nguvu ya kutosha kuhusu hiyo kazi anayoomba .....ukifika muda huo WA kumpima ikaonekana Hana maarifa ya kutosha mbali na kuwa na VYETI huyu mtu hawezi kuipata ile nafasi aliyoomba ,itabidi arudi darasani ajifunze zaidi au akajifunze Kwa wengine /njia nyingine ili aongeze ujuzi
Daniel 1:3-
¯¯¯¯¯
³ Mfalme akamwambia Ashpenazi, mkuu wa matowashi wake, awalete baadhi ya wana wa Israeli, wa uzao wa kifalme, na wa uzao wa kiungwana;
⁴ vijana wasio na mawaa, wazuri wa uso, wajuzi wa hekima, werevu kwa sababu ya maarifa yao, wenye kufahamu elimu, watakaoweza kusimama katika jumba la mfalme; tena alimwambia awafundishe
TAFSIRI YA NDOTO ZA MTIHANI
3)Ukiota hukai darasani wakati wengine wako darasani; au hukai kwenye mtihani wakati wengine wanafanya mitihani - ina maana huna utulivu unaotakiwa uwe nao ili uweze kujiandaa vyema kwa hatua iliyo mbele yako
2)Ukiota unafanya mtihani - ujue: au unapita mahali kimaisha ambapo unapimwa kiwango chako ulichofikia kimaandalizi; au mbele yako kuna kuja kipimo kwa ajili ya kujua ikiwa umefikia kiwango kinachotakiwa kwa wewe kuingizwa hatua nyingine ya maisha
1) Ukiota unaota unasoma, na ukaona na somo unalosoma, au ukaota unafanya mtihani na ukaona somo la mtihani huo - ina maana unaonyeshwa aina ya, au eneo la - maandalizi unalotakiwa kulifuatilia kimaandalizi
UNAPOOTA NDOTO YA MTIHANI ZINGATIA MAMBO HAYA ILI UWEZE KUTAFSIRI HIYO NDOTO.
1)Ulikuwa unafanya mtihani WA ninini,
Sasa hapa unaweza kutambua hili ijapo sio mara zote kuwa mtihani utakaokumbuka kuwa ndio huo kabisa Kumbuka hata kwenye maisha Kuna mitihani pia....Wakati mwingine unajulishwa juu ya jambo ambalo litakuja kama jaribu kukupima nguvu yako
2)Ulikuwa na Hali Gani Wakati WA mtihani ,Je ulikuwa unauelewa au ulikuwa haielewi mambo.
-Hali unayokuwa unaona kwenye ndoto ndiyo Hali ya mtu wako WA ndani
Ukiona ulikuwa mwenye kujiamini,umejiandaa ,huogopi basi jua ndani Yako una nguvu kuelekea mtihani huo na hata kama ni jaribu Bado utashinda
Lakini ukijiona kwenye mtihani ni mwenye mashaka ,mara unasahau daftari,mara umechelewa kwenye mtihani ujue wewe hauna MAANDALIZI ya kutosha katika jambo unaloliendea
3)Ulikuwa wapi Wakati unafanya mtihani,
-Mazingira unayokuwepo yatakusaidia kujua kuwa aina Yako ya mtihani ni ipi ??? Mfano unaona upo kanisani unaletwa mtihani...? Au upo nyumbani kwenu ulikozaliwa unaletwa mtihani..hii inaonyesha kuwa wewe mtihani unayotakiwa kufanya umeahikamana na masuala ya utumishi,au ya kifamilia pengine wewe ndiwe lango la familia na Kuna mambo unatakiwa kufanya na haujafanya Bado.nk
4)Mwisho wake ilikuwaje matokeo yake yalikuwaje ??
-Ukiona kuwa ulikuwa unafanya mtihani na mwisho wake umeweza ,umefauru,umeujibunvizuri bila shida ,au ulkuwa na shida lakini mwisho ukaujibu vizuri uwe na uhakika kwamba eneo ambalo unapimwa kiwango basi kiwango chako kinajitosheleza umefauru,kama ni utumishi ,wito ,nk basi ni ishara nzuri
-Ukiona mwisho umefeli,umepata vikwazo ,daftari mara limepotea ,mara unaingia kwenye mtihani unasahau...Basi ni dhahiri Mungu anakweleza katika jambo Hilo unalotakiwa kuliendea Bado hauna unuzi WA kutosha Bado haujasimama imara,Bado unahitaji maarifa zaidi ,Bado Kuna upinzani unatakiwa ushughulike nao ili uweze kufaulu.
MAANA NYINGINE
✓UKIOTA UNAFELI MTIHANI NA MAJIBU yake ulikuwa unayajua ila umechelewa
Ujue kabisa eneo lililokuwamisha ni Muda ,Adui ameshikilia majira Yako,MUDA ..Omba maombi kwaajili ya kukomboa Wakati
Majira /nyakati ni kati ya SIRAHA Ambazo shetani amezitumia kukwamisha maisha ya Watu,na kuyashikilia
✓UKIOTA UMRINGIA KWENYE MTIHANI NA BADO ULIKUWA UNAFANYA ILA MUDA WA KUKUSANYA..UMEFIKA
Ujue maarifa unayo ila imefungwa katika majira laizma ushughulike kukomboa majira ili uweze kufanya sawa sawa na kile unachotakiwa.
(Mhubiri 3:1)
✓UKIOTA UKO KWENYE MTIHANI NA HUNA UTULIVU UNAANGALIZIA ..
Ujue kuwa unachotaka kufanya hutaki kufanya ulichopewa wewe kilicho kwenye Kusudi la Mungu Bali unapiga ,hivyo basi unatakiwa ujitathmini ujue ni eneo lipi ambalo unaiga na sio ulichopewa wewe ..na Baada ya hapo umuombe Mungu MAARIFA YA KUSIMAMA NA KILE CHA KWAKO.
✓UKIOTA UKO UNAFANYA MTIHANI WA KIWANGO AMBACHO UMEVUKA TAYARI MFANO MTIHANI WA DARASA LA SABA WAKATI UKO CHUO.
Ujue hatua ,kiwango ulichonachobsasa sicho unachotakiwa kuwa nacho,Kwa kawaida unatakiwa uwe chuo ila rohoni Bado upo nyuma sawa na darasa uliloona

Опубликовано:

 

12 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@FranceSeleka
@FranceSeleka 14 дней назад
Barikiwa mtumishi wa mung
@SaraMateru-xb4zf
@SaraMateru-xb4zf Месяц назад
Ubarikiwe sana mtumishi Nimejifunza kitu kikubwa sana...
@user-kx5oc7nt5p
@user-kx5oc7nt5p 12 дней назад
Sijakuelewa kabisa, umeeleza kibinadam siyo kiroho
@pendocoster4170
@pendocoster4170 8 месяцев назад
Daah Asante Sana mtumishi umenifungua Sanaa MUNGU akubariki,,,,,AMEN
@yohanakiongo5094
@yohanakiongo5094 2 месяца назад
Tataz unarudia rudian sana maneno unachelewa kufika kwenye point
@user-qt6qp2kt3q
@user-qt6qp2kt3q 8 месяцев назад
Nmeotaaa najisomea kujianda kufanya mtian wa physics na mathematics yan was busy kujisomeaa iliii nikaufanye mitian mim na rafik angu wa second alikuwaga anashika namba moja nilikuwa nadiscus nae physics
@RehemaNobert
@RehemaNobert 3 месяца назад
Ubarikiwe sana, umenisaidia
@ANETHLUSANGIJA
@ANETHLUSANGIJA 3 месяца назад
Asantee saana dada, hii ndoto nafanya mtihani imekua kama sehem ya maisha angu
@HappynessMkuya
@HappynessMkuya 2 месяца назад
Ndoto za aina hyo imekua km sehem ya maisha ila cjawahi kujua tafsri yake nam tyr nshahitim mda mref san masomo yangu
@bonifackayuni9575
@bonifackayuni9575 2 месяца назад
Mimi aipiti wiki sijaota nipo kuchunga ng'ombe!! Manayakenini namba msada wako mtumishi!!
@WELMADONATUS
@WELMADONATUS 2 месяца назад
Ubarikiwe
@NekemiaIluganyuma
@NekemiaIluganyuma 3 месяца назад
Barikiwa madame
@user-rq6lp1kd6h
@user-rq6lp1kd6h 8 месяцев назад
mimi nimeota tumefanya mtihani wa Geography, kisha mwalimu akaja kuita waliofeli lakini mimi sikuitwa
@MosesSilumbwe-dv1ul
@MosesSilumbwe-dv1ul 2 месяца назад
Amen 🙏🙏
@wondersarena
@wondersarena 3 месяца назад
Ubarikiwe sana dada somo lako limefika panaponihusu nitapafanyia kazi
@MosesSilumbwe-dv1ul
@MosesSilumbwe-dv1ul 2 месяца назад
Amen🙏🙏
@user-qr5hw3mg1p
@user-qr5hw3mg1p 7 месяцев назад
Daah..m ht sielwi jnm kwasababu kil mara naota nafany mtihn lkn sik nyingn naota nip maeneo y shule ya msing kweny uwanj wa mpir nafany mtihan nikiwa nimesimama alf mtihan n wa secondar na nip n watu ambao nimesom nao secondar kun marafik zang wawil wakanisaidia maswal mawil..gafl skashtuk..mar nyingn naota nip shul y secondary nilikosomeaga nip darasan nafany mtihan mgum sana mda unaish n maswal mengn sjafany..siku nyingn niliot nip kanisan nafny mthian alf nimefik nimechelew nikaingia kanisan katekesta akanip mtihn ile nafany peni yangu aiandiki kabisaaa nikaazim pen pia aiandik inagoma gom kwahy md umeish sjamaliz kufny n ndot ikaishaaa...na kil nnapoot uwa naot tyuu nafany mtihn sio kwamb najiandaa war nn
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 3 месяца назад
Watu huwa hawajibu maswali ya watu, aki mi uwa nashindwa kujielewa
@Ummy-yv7nc
@Ummy-yv7nc 3 месяца назад
Jaman mm ni mama wa watoto 2 Nina maisha yangu lakin hii ndogo ya shule inanisumbua San naota nafanya mtihan wa form 4 tena necta sioti mtihan mwingine ni necta tu na nikiwa nafanya ule mtihan simaliz ule mtihan hata nijitahid vip simaliz nisaidien jaman nifanye nn na ina maana gan asante
@hadijachambuso2390
@hadijachambuso2390 2 месяца назад
Upo km mimi tu
@SaraMateru-xb4zf
@SaraMateru-xb4zf Месяц назад
Ubarikiwe sana mtumishi Nimejifunza kitu kikubwa sana
@AisharNyange
@AisharNyange 2 месяца назад
Mimi naota Sana lakin mwenzenu na kabidhiwa mtihan nifanye lakin unakuta wenzangu wote wanamaliza lakin Mimi ndonakuwa wamwisho na sijajibu hata swali moja yaani inakuwa sikumbuki chochote naomba nisaidie hilo Lina maana gani Mana Mimi sisomi Sasa na maanisha sio mwanafunzi
@anicethkalori-vv4pi
@anicethkalori-vv4pi 3 месяца назад
Mtumishi Mimi ninaitwa aniceth ni mhitimu wa chuo lakn nimekuwa nikiota nafanya mtihani ninafanya vibaya mara nimechelewa nimekuta washamaliza mtihani wakati Mimi nishamaliza sijui maana ya mtumishi naomba unisaidie
@BeryniceMaerere-lf6du
@BeryniceMaerere-lf6du 2 месяца назад
Naota watoto wamepewa karatsi ya maswali imeambatanishwa na msimbo wa usahihishaji,
@user-hb5mn6zg9q
@user-hb5mn6zg9q 3 месяца назад
Dada nimeota natakiw kufanya mtiani. Lakin. Sikuweza kuufanya. Sababu nilivutadigala. Na mm Nina asili ya pumu mwalimu akaniadhibu Sana adi Nika stuka
@PreciousBuyaga-zi5vn
@PreciousBuyaga-zi5vn 8 месяцев назад
Dada mi nimeota nafanya mitiani na nokakusanya kwa asikali keshi baada ya apo askali kanipa ela na akaomba tumpikie chai ya maziwa
@ProsperMichael-mj9qe
@ProsperMichael-mj9qe 3 месяца назад
Nisaidie Namba ya simu yako
@ANETHLUSANGIJA
@ANETHLUSANGIJA 3 месяца назад
Naomba unisaidie namba ako plz
@SaraMateru-xb4zf
@SaraMateru-xb4zf Месяц назад
Mtumishi unapatikana wapi?
@SaraMateru-xb4zf
@SaraMateru-xb4zf Месяц назад
Naomba kama naweza kupata namba zako...
Далее
NDOTO ZA SHULE NA MITIHANI
35:52
Просмотров 18 тыс.
UMASIKINI WETU NDIO MTIHANI KWENU, DUNIA MAPITO
6:09
Kuota ndoto unafanya mtihani.
28:28
Просмотров 31 тыс.