Wahojaji tumieni professional skills yauhojaji.. Hoji kwa kumpa nafasi unaemhoji akujibu.... otherwise kipindi nikizuri but moderator wakike .mmmhhh ajinoe zaidi
We dad unapoteza point za msingi anazoanza kizitoa nanauka unauliza vijiswali vya kishenzi shenzi tu, adi umeniboa sijue presenters wengine hua wanasomea wapi aise
Good lesson But I still have question🤔🤔 Kwanini uhachane na marafiki zako kisa wewe ndie ulie bora zaidi kuliko wote eiza kifedha au kielimu then huende uhambatane na aliye bora zaidi yako ? Je,nisawa kutenda usicho penda kutendewa ? Maana mda huo umeachana na rafiki yako kisa yupo down (under level) ili ukaambatane na up level …!! Naomba ufafanuzi please ✍🏾
Broo hilo shwali NAOMBA nili jibu kwanza malafiki WASIO na malengo mda mwingi mtaongea na kushauliana na visivyo vya msingi ila siyo una achana nao daireck hapana ila mabadiliko Yana KUJA unapo amua KUWA na rafiki alie kuzidi kimaisha ukiwa na naye NAWEWE utatamanitu KUWA kama yeye ukiwa na LAFIKI tajili basi jandae KUWA kama yeye au zaidi