Тёмный

SPIKA AMUONYA CAG - "Una Dharau Sana, Umetuita Dhaifu" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 198 тыс.
50% 1

SPIKA AMUONYA CAG - "Una Dharau Sana, Umetuita Dhaifu"
SPIKA wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, kuripoti mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka, Januari 21, 2019, na asipofika atapelekwa akiwa amefungwa pingu na polisi.
Ndugai amesema hayo leo Jumatatu Januari 7, 2019 wakati akizungumza na na waandishi wa habari mjini Dodoma na kumtaka Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee kuripoti mbele ya kamati hiyo Januari 22, kwa madai kuwa wawili hao kwa nyakati tofauti walisema Bunge ni dhaifu.
Alichosema CAG
Mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, Arnold Kayanda, alimuuliza CAG kuwa ofisi yake imekuwa ikijitahidi kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa ripoti zenye kuonyesha kuna ubadhirifu lakini baada ya hapo wananchi hawaoni kinachoendelea.
CAG alijibu: “Hilo ni jambo ambalo kimsingi ni kazi ya Bunge. Kama tunatoa ripoti zinazoonyesha kuna ubadhirifu halafu hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge. Bunge linatakiwa kusimamia na kuhakikisha pale panapoonekana kuna matatizo basi hatua zinachukuliwa.
“Sisi kazi yetu ni kutoa ripoti. Na huu udhaifu nafikiri ni jambo lenye kusikitisha. Lakini ni jambo ambalo muda si mrefu huenda litarekebishika. Ni tatizo kubwa ambalo tunahisi Bunge linashindwa kufanya kazi yake kama inavyotakiwa.”
Akiendelea kufafanua jibu lake, CAG Assad alisema: “Sitaki kuwa labda nasema hili kwa sababu linahusisha watu fulani, lakini ninachotaka kusema ni kuwa Bunge likifanya kazi yake vizuri, hata huu udhaifu unaoonekana utapungua.”
Mwaka 2018 lilipoibuka suala upotevu wa Sh trilioni 1.5 kwenye hesabu za serikali mwaka wa fedha 2016-2017, Assad aliulizwa kuhusu nini kifanyike, akataka Bunge liulizwe kwani ndilo lenye kutakiwa kuibana serikali kuhusu kutoonekana kwa fedha hizo.
Alichokisema Mdee
Baada ya kauli hiyo ya Profesa Assad, wiki iliyopita Halima Mdee alihojiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu alichokisema CAG na kukubaliana na hoja zake.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 678   
@mirajimohamed2556
@mirajimohamed2556 5 лет назад
Anaekubali bunge nidhaifu gonga like hapo chini
@fredgasper7578
@fredgasper7578 3 года назад
Bungee ni dhaifu sanaa 💯
@kiumikompulumila9183
@kiumikompulumila9183 5 лет назад
Daah! Hatari sana. Unajua unaweza kujiona unajua sana na unatamani ukanushe ulkweli ambao uko wazi mwisho wa siku unaonekana juha. Anachokanusha hakuna hapo. Anasema baada CAG kugundua ubashilifu anapaswa pia kutoa ushauri nini kifanyike. Sasa kama ameahauri nini kifanyike halafu hakija fanyika si ndio alixhokiasema
@nelsonsimtowe4268
@nelsonsimtowe4268 5 лет назад
Safi prof asadi wewee nimtusafiii una dini kweli mkweli uishi milele Tanzania tunakupendaa❤❤❤❤❤
@annamrsmoses7413
@annamrsmoses7413 2 года назад
Iko wazi bunge la ndugai no dhaifu tena sana wala halivutii
@abdallahlibwela9761
@abdallahlibwela9761 5 лет назад
Ubarikiwe sana CAG, kiukweli hasa bunge letu bado dhaiifu sana.Bado uchama unazingatiwa.
@israelpwele5535
@israelpwele5535 5 лет назад
Ukweli umewafikia100%
@wiza2309
@wiza2309 5 лет назад
Mungu atusaidie Watanzania, ubaya wetu na uzuri wetu uko wazi mitandaoni jamani, Umahiri wa Bunge na Udhaifu nao pia unajulikana na kujadiliwa na media mbalimbali tunaona. Lakini Mungu tunamuomba siku zote maana Amani yetu tunaihitaji sana sana. Damu ya Yesu tulinde, tusimamie, tuongoze, wape viongozi wetu hekima na maarifa ya kuisimamia hii nchi kwa Uaminifu. Amen
@tonymnyamatv8483
@tonymnyamatv8483 5 лет назад
Kubali tu bunge ni dhaifu Hata wananchi tunafahamu punguza hasira kwenye ukweli.
@kilisikabasa2848
@kilisikabasa2848 5 лет назад
Ni vizuri kutoa maelezo kwa umma ni hatua gani Bunge limechukua in accord na ushauri wa CAG.
@claverygavana5244
@claverygavana5244 5 лет назад
C.A.G yupo sahihi bunge letu limekuw dhaifu
@mohamediiddi761
@mohamediiddi761 5 лет назад
Pangani Tanga km45. Tunataka Barabara ijengwe Tangu Tupate Uhuru mpaka leo si aibu hii. Mungu anasema. Sema kweli japokuwa ni chungu.
@lutufyojason124
@lutufyojason124 5 лет назад
Ndugai imekuuma sana , lakini kweli bunge lako ni dhaifu sana na wewe ndio chanzo. Unajali sana maslahi yako na chama chako
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 23 дня назад
Professor Asad mussa umemuelewa sana.
@hadijamatimbwa5195
@hadijamatimbwa5195 5 лет назад
Good leader, accept both positive and negative feedback. Think loud Hon Speaker.
@ainekishakahwa3829
@ainekishakahwa3829 5 лет назад
Hadija Matimbwa %%
@zachariamassawe6701
@zachariamassawe6701 5 лет назад
@@ainekishakahwa3829 wapi hiyo Hadija
@ainekishakahwa3829
@ainekishakahwa3829 5 лет назад
Zacharia Massawe Norway
@patrickmlay3509
@patrickmlay3509 5 лет назад
CAG Mungu akulinde
@MussaBakar-p2p
@MussaBakar-p2p 29 дней назад
Safi profesa Asad
@salummkumbe5694
@salummkumbe5694 5 лет назад
Kwa kweli hii serikali inazingua sasa hapo kosa lipo wapi kusema bunge kuna "udhaifu"ndyo kosa kwa hyo munataka mupewe sifa bila mabaya yenu
@herryblobby7323
@herryblobby7323 5 лет назад
Bunge la ndiyooooo udhaifu mtupu! Mauaji yanatokea watu wanapotea bunge limekaa kimya! Udhaifu mtupu
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Kama mauwaji na watu kupotezwa toka kipindi cha mababu zetu watu ndio maana tukaitwa watumwa
@garvaskuku4180
@garvaskuku4180 5 лет назад
Bunge dhaifu kwelli.
@desmunduwandameno3170
@desmunduwandameno3170 5 лет назад
Natalajia kusikia kuna mtu kawekwa ndani kwa kesi ya Uchochezi hahahaha Kweliii Wazaifu wakali sana
@allyomari680
@allyomari680 5 лет назад
bunge nizaifuuuuuuuu tenanatena
@JosephDesideri
@JosephDesideri 5 лет назад
Mheshimiwa Spika kimsingi CAG ametoa maoni yake na amehofia utekelezaji wa recommendation za CAG kwenye kaguzi mbalimbali. Naamini haya unayoyasema pia ni maoni yako na pia ni njisi wewe ulivyomuelewa. CAG ameulizwa swali na mwandishi naamini amejibu alichokiamini ni ukweli. Nafikiri accept kukosolewa na mtu akikuita dhaifu onyesha kivitendo kuwa wewe siyo dhaifu.. Ni muhimu sana kwa bunge letu ambalo umesema lina wasomi wengi sana kutekeleza mapendekezo ya CAG na siyo kutetea serikali. Zamani miaka ya 60 au 70 kulikuwa na wasomi wachache na walikuwa wakitumikia nchi yetu kwa Imani kubwa lakini miaka hii wasomi wanakimbilia siasa kwa kuwa inalipa zaidi. Kumbuka hata wewe ulikuwa mtumishi wa UMA kabla ya kuwa politician na kuna vitu vilikuwa havikupendezi kama mtumishi
@asengasefu2767
@asengasefu2767 5 лет назад
Profesa kakaa darasan haswa, hawez ku kurupuka mheshimiwa
@saviomlelwa
@saviomlelwa 4 года назад
Prof aliongea ukweli. Has got a high integrity
@kasimugullum5862
@kasimugullum5862 5 лет назад
Wassomi wa ndiyooooooooooooo!
@OkOk-dq4gk
@OkOk-dq4gk 5 лет назад
Bhana weeeee ukweli ushapewa 😂
@georgeikola4862
@georgeikola4862 5 лет назад
Ni kweli itakuwa ni dhaifu kwann hamutaki kuonyesha bunge live
@danielgwilenza4209
@danielgwilenza4209 5 лет назад
Trillion moja na nusu itatutesa mwaka huu
@hamadmri7710
@hamadmri7710 5 лет назад
Ukali huu uloonyesha kunajambo,sisi wananchi tuona bunge nidhaifu ukali huu
@ellymhina7249
@ellymhina7249 5 лет назад
Binge dhaifuu kwel Mara ngapi umeambiwa bunge lako linashindwa Fanya maamuz ya msingi?? Umeshindwa kumuhudumia lisu mbunge wako we co dhaifu ?? CAG uko vzr sana we need as transparent leaders as you prof.
@erodiasmallya406
@erodiasmallya406 5 лет назад
Huyu ni msema kweli. Sijaona kosa lake. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
@arlonmwaka8077
@arlonmwaka8077 27 дней назад
2024, daima ukweli unabakia na unaishi.
@abdallahmbena1768
@abdallahmbena1768 5 лет назад
Nimerudia rudia sana kumsikiliza mheshimiwa speaker nlivhokiona spika yuko sahihi sana sio kwakua bunge haliko dhaifu au dhaifu bunge ni muhimili muhimu na mkubwa katika nchi na ndio unao panga na kupitisha bajeti zetu za maendeleo na kutunga sheria na kukosoa mwenendo wa serikali kifupi bunge ni kitu kikubwa sasa anacho kiongelea hapo spika ni uzalendo wa nchi na si kukataliwa kukosolewa wapi unaenda kukosolea hapa unaenda marekani kutuvua nguo kwa watu ambao pia wasingependa kutuona tunafika mbali sana na pia ikumbukwe hili bunge linaheshimika sana na mabunge mengine mbali mbali za nchi marafiki wanaofika kila mwaka kwa nia ya kuchota ujuzi kutoka bunge letu jinsi ya kuendesha mambo kistaarabu Leo unaposema lidhaifu unalivunjia heshima bunge huko nje na ndani pia ,tujifunze uzalendo tuache mihemko hao tunao waambia kila siri mbaya yetu hawatakuja kutusaidia kitu tupigane wenyewe na mungu atatubariki kwa jitihada zetu ...
@sangararawarioba3016
@sangararawarioba3016 5 лет назад
don't panic brother, just sit down and revaluate!!
@ainekishakahwa3829
@ainekishakahwa3829 5 лет назад
Sangarara Warioba %%
@allykindawite1924
@allykindawite1924 5 лет назад
Upo sahihi kabisa Sangarara!
@ME-kb8rk
@ME-kb8rk 3 года назад
Sangara Warioba %%%%%%%%.......
@ainekishakahwa3829
@ainekishakahwa3829 5 лет назад
C.A.G umekinukisha.. Nimekuelewa kwa kusimamia ukweli wa kile unachokijua. Huo ndo uzalendo....!!!!%%
@dicksonmalekelah1804
@dicksonmalekelah1804 5 лет назад
CAG uko vizuri simamia unachoamin tatizo watu wanatetea matumbo tu badala ya kusimamia ukweli badala yake wanakuwa wanafiki
@willyskalekwa313
@willyskalekwa313 5 лет назад
Ukweli unama
@leonardmayenga5193
@leonardmayenga5193 5 лет назад
Ukweli unafika haraka
@benjaminichipeto982
@benjaminichipeto982 5 лет назад
Ndugai bunge lako zaifu sana usikwepe ukweri
@japhetlaisangai6530
@japhetlaisangai6530 5 лет назад
Wasomi sasa amkeni safi sana
@khaityzahoro6094
@khaityzahoro6094 5 лет назад
Ndungai wew badoupo nyumasana umuwezi Assad siukubali udhaifu wabunge
@pichabapa2201
@pichabapa2201 5 лет назад
Dah.. Huyu mzee bhana!!!!! Haya basi tufanye Bunge ni TAKATIFU. Sasa kukosolewa si ndio mfano huo, chunguzeni kama kuna tatizo mliondoe. Swala la Bungeni kuna wasomi wengi... Mkumbuke MTAANI NDIO KUNA WASOMI WENGI ZAIDI!!!!!
@watchme5678
@watchme5678 5 лет назад
Wanajisahau sana hawa jamaaa
@annamushy2920
@annamushy2920 5 лет назад
ukweli huo tena niwabaguzi
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 5 месяцев назад
madam pro, kasema kasema dhaifu nivdhaifu tu100% .. wabunge mnakula pesa za uma tu,,,,,,,
@stn4873
@stn4873 3 года назад
Ndugai Job lile soko pale Dom bora libadilishwe jina liitwe soko la Prof Assad. 2021 imedhihirisha wewe ni Dhaifu na mnafiki.
@taxifytest8041
@taxifytest8041 5 лет назад
Nasikia cag ni mtu wa dini sana
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Haswaa!!!
@desderymugasha7927
@desderymugasha7927 5 лет назад
Ukweli unauma sana
@petermkashikashi6196
@petermkashikashi6196 5 лет назад
tatizo spika unamatatizo c a g hana shida Yuko sawa binge kibogoyo halina meno kazi kuipongeza serikali baada ya kuisimamia wee unaupendeleea muhimiri wa serikali ✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
@elymollel
@elymollel 5 лет назад
The truth that hurts👍
@abdallahomari8680
@abdallahomari8680 5 лет назад
Mtasikitika sana bunge mmekua vibaraka ,lisu mshindwa kumtetea hata spika mwenyewe kwenda kumuona hakwenda ,,udhaifu upo bunge naserekali imekua mhimili mmoja,
@lilianfaustine6986
@lilianfaustine6986 5 лет назад
Ukweli unauma. Tatizo mmezoea porojo za uongo na mnawapata wakuwaongopea. Hakuna siri chini ya jua. Mnachuja habari zakuongopa zenye ukweli zinadhibitiwa.
@alinanuswemsokile7403
@alinanuswemsokile7403 5 лет назад
Mimi ni mwananchi wa kawaida mtanzania,nina mbunge wangu ananiwakilisha bungeni hata hivyo bado bunge halijakidhi matarajio yangu hivyo nasema bunge ni dhaifu.
@michaelmpanduji7952
@michaelmpanduji7952 5 лет назад
Uko sawa kiongozi
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 5 лет назад
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaa. Bunge dhaifu sana hata kama Ndugai atachukia...
@monynagulemba1772
@monynagulemba1772 5 лет назад
Nijambo mhimu
@watchme5678
@watchme5678 5 лет назад
Nimependa ulivyoliongelea
@ausihaji2398
@ausihaji2398 5 лет назад
Hizo cv ni mtihani mtupu kwa wabunge wetu
@alexjosephat9030
@alexjosephat9030 5 лет назад
Toeni mfano tu, wa hatua iliyochukuliwa anagalu watanzania wafahamu
@wambulasson2592
@wambulasson2592 5 лет назад
Mkanyeni kwa kuongea ya nyumbani ya siri akiwa ugenini, hilo kakosea lakini baadae mjitathimini kama nyinyi sio dhaifu, hata ripoti yake ya 1.5t ambayo haijajulikana matumizi yake bunge hamjasema iko wapi mpaka sasa. Lkn pia bunge limekuwa ni sehemu ya kutetea vyama badala ya maslahi mapana ya nchi.
@gonzalesdeus5117
@gonzalesdeus5117 5 лет назад
wananchi tunaimani na CAG ni kweli bunge hailieleweki
@josee8224
@josee8224 5 лет назад
Ndugai anajaribu kuukimbia ukweli...amepoteza focus kwa hasira ...sio siri bunge linatuangusha sana,ndiyoooooooo zimezidi sana.
@DJDOPEEPISODE
@DJDOPEEPISODE 3 года назад
Naludia tena BUNGE LA TANZANIA NI DHAIFU
@jacksonsungwana2344
@jacksonsungwana2344 5 лет назад
Ifike mahala Watanzania tubadilike,tusipende kusifiwa tu kila siku hata pale mapungufu yanapoonekana,Nadhani spirit aliyo nayo CAG ndio tunatakiwa Tuende nayo kwenye ukweli tuseme ukweli tu,na siku zote ukirusha jiwe gizani litakaempata lazima utasikia Mguno tu,Tubadilike Watanzania tumejisahau sana.
@nyupahafidhi411
@nyupahafidhi411 5 лет назад
Mbona alijib vizur sana
@chrispinsinkala7082
@chrispinsinkala7082 5 лет назад
Ndugaiiiiiiiiiii
@ayubuponsianomtunge4679
@ayubuponsianomtunge4679 5 лет назад
Udahifu ni pale unapokataa bunge live alafu uanawaita waandishi wa habari hahaaa
@frankhaji1387
@frankhaji1387 5 лет назад
CAG kasha sema cha msingi ni kubadilika tu.
@elimuhuru2658
@elimuhuru2658 5 лет назад
Ukweli huwa unachoma, 😂😂😂😂
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 лет назад
Mumekamatwa masikio,dhuluma zinazidi kufika mwisho.
@venancesamweli4209
@venancesamweli4209 5 лет назад
duuu kunashida kwa spika wetu
@finiaskagimbo3879
@finiaskagimbo3879 5 лет назад
Wakati wa kampeni ya 2015 kuna kiongozi mmoja mkubwa alituita watanzania "malofa". Kweli sisi ni malofa
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 Месяц назад
NI DHAIFU NDIYOOOOOO
@tharisilamacha6359
@tharisilamacha6359 5 лет назад
kwan si kweli we ndio spika wapinzan wakisema unawatoa nje na kuwasimamisha na hata wapinzan walisema binge halina hathi tena hata sisi watanzania tunaona vituko vya bunge mtakuja 2020 tutawakumbusheni pumbavu.
@rashidihamisi2350
@rashidihamisi2350 5 лет назад
Mmetunyima bunge live na we umekubali huo si udhaifu acha hayo mambo
@medardkihekaabel2601
@medardkihekaabel2601 5 лет назад
Yamekufika hapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
@venancemalima1181
@venancemalima1181 5 лет назад
Sijamuelewa vizuri CAG,alitaka marekani waje kusimamia matumizi ya fedha za umma.Tanzania alileti maana a.ekosa maadlili.
@asubuhiotieno2463
@asubuhiotieno2463 5 лет назад
V.malima_kweli huwezikuelewa maana huelewi
@malakigerald8586
@malakigerald8586 5 лет назад
Kweli itakuweka huru daima.CAG Mungu yu na wewe piga kazi za watanzania acha wao walumbane na kutoshughulikia mambo ya watanzania kwa kuutumia wingi wao badala ya kushirikiana na wewe kulinda kodi za watanzania.
@unambwenaiman5355
@unambwenaiman5355 5 лет назад
kweli ni dhaifu mana bunge ni chombo kinachojitegeme sasa mh speaker unataka kutopotosha,mkiharibu mnakimbilia vyombo vya habari ili watanzania tusielewe,dhaifuuuuuu
@petromwinyi4955
@petromwinyi4955 5 лет назад
Hahahaaaa ukweli unauma kweli kweli
@mrambajulius7819
@mrambajulius7819 5 лет назад
Huyu Ndugai ni mbaguzi sana. Alafu sijapata kuona Spika wa Bunge akishabikia chama kama anashabikia mchezo wa mpira. C.A.G yuko sahihi kabisa. Huyu Ndugai kwanza mhalifu. Sio yeye alimpiga mwenzake rungu wakati wa Kampeni za ubunge.
@kapiskymorrice1
@kapiskymorrice1 5 лет назад
Mkikosolewa sio dhambi jaman
@amourame1073
@amourame1073 5 лет назад
ukweli unauma
@fadhilrehan5129
@fadhilrehan5129 5 лет назад
Inasikitisha sana kuleta siasa kwenye mambo ya msingi.
@rodrickdamson3998
@rodrickdamson3998 5 лет назад
Lakini haya yote yanahitaji hekima kutoka kwa Mungu nawaombea viongozi wangu kuwa hakuna bidamu mkamilifu kinachotakiwa kwakuwa wote ni viongozi mnapaswa mkae pamoja ili kuwekana sawa kuliko kila mmoja aite vyombo vya habari bila kukaa kuwekana sawa ni hatari zaidi. Mimi nawaombea mkae wote muwekane sawa bila kutumia hasira, hasira haijengi bali inabomoa kaeni kwa Upendo na amani.
@godfreymbwanga7750
@godfreymbwanga7750 5 лет назад
bunge dhaifu sana hamna cha maana mnacho jadiri
@steveb2745
@steveb2745 5 лет назад
BUNGE legelege huzaa serikali legelege
@janethjackson374
@janethjackson374 5 лет назад
Tena wewe spika ndo mdhaifu kuliko viumbe wote hapo,watch out
@zahoramour3344
@zahoramour3344 3 года назад
sijaona points za kujibu hoja ya prof
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 лет назад
Ukweli unaumaaa,hajawadharau kuwaambia ukweli,mkiwa wasomi na mkawa mmewekwa mfukoni ni sifuri
@allyomari680
@allyomari680 5 лет назад
wasioafiki waseme sio!!! siiooo
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 2 года назад
Bana spika former CAG is a very wise man who has choice words
@hamadshein935
@hamadshein935 5 лет назад
Mtajijua.bna imekula kwenu.
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 лет назад
Ukweli unauma kumbe ivumevuja iyooooooooo
@ebenezerfreight3309
@ebenezerfreight3309 5 лет назад
Prof.Hoyeeeeee ukweli utakuweka Huru
@linnamlay3643
@linnamlay3643 5 лет назад
Kiruuu, ye womii,,Meku hiyo mtu ni noma usilinganishe elimu yake na ninyi aisee hizo degree anaziona chekechea,zaidi tumpongeze kwa kuweka maslahi ya Taifa mbele.Hongera CAG
@goodluckswai7496
@goodluckswai7496 3 года назад
kichaaaaa
@erickgulayi2089
@erickgulayi2089 5 лет назад
Amevuka mipaka Sana kama hii haita kuwa Movie ya kupoteza ile kauli ya Lissu kuhusu Demokrasia nchini basi Ndugai atakuwa kisukari- kina mliza vibaya maana Ibara 143(6) ya katiba ina eleza wazi kuwa hakuna mtu wa kumuoji CAG ata ukienda katika kanuni za Bunge hakuna kifungu kilicho mpa mamlaka spika kumuita CAG au Jiji kuu katika kamati ya maadili ya bunge kimsingi mimi najua Ndugai ana lijua hili, ila mimi naisi hii ni Movie tu
@samsonchomola3827
@samsonchomola3827 5 лет назад
ameshindwa kuvumilia ameamua kusema kwel
@JosephuSwai
@JosephuSwai 5 месяцев назад
Kweli dhaifu
@ME-kb8rk
@ME-kb8rk 3 года назад
Calm down🤚relax.... The trueth will come out sooner or later!
@cloudjest5268
@cloudjest5268 5 лет назад
Bunge halina meno kila siku mnaambiwa,tukiongea sisi mnachukulia poa tu, povu linakutoka kwa sababu CAG kawaumbua huko nje. Ukweli ndio huo. Mmekalia kusema Ndiyooo na yule mwanamke kutoa taarifa kwa mh. Spika tu.
@erickzephania1030
@erickzephania1030 5 лет назад
Nimecheka sna! Kichuguu kimekuwa mlima😂😂
@shahamemalenga4838
@shahamemalenga4838 5 лет назад
Ukihachana na kelele zilizozagaa mitaani Mh Ndugai nimekuelewa sana
@benedictamaganga614
@benedictamaganga614 5 лет назад
Yes Ndugai. This is unacceptable.
@aggraypeter.5008
@aggraypeter.5008 5 лет назад
CAG Said What's Understand
@onamasaki1211
@onamasaki1211 5 лет назад
Huyu ndugu yetu Ndugai ningetamani wawekwe meza moja hadharani na CAG tuwasikilize lakini ndugai akaguliwe tu asiingie na silaha.
@allymsuya6655
@allymsuya6655 5 лет назад
Kukiri udhaifu ni ukomavu. Kukataa kukiri udhaifu ni ubaradhuli, kiburi, jeuri na shingo ngumu.
Далее
Слушали бы такое на повторе?
01:00
CAG PROF ASSAD AKIKABIDHI OFISI KWA CAG MPYA KICHERE
26:41
Prof. Assad: Unanunua ndege ya nini kama hairuki?
11:25
JIBU LA HEKIMA LA PROF. ASSAD
4:07
Просмотров 17 тыс.
Слушали бы такое на повторе?
01:00