Тёмный
No video :(

KIMEUMANA MUSUKUMA VS MWIGULU “HII NI DHARAU HIVI MNATUONAJE? MNATUPIGA SWAGA "LA SIVYO KITAUMANA” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 644 тыс.
50% 1

Mbunge wa Jimbo la Geita Joseph Kasheku Musukuma akichangia bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023/24.

Опубликовано:

 

22 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 272   
@tatually1366
@tatually1366 8 месяцев назад
Hongera🎉 musukuma kwa kazi 🎉 na tamani uwe Rasia ❤️🎉
@mrishohussen3538
@mrishohussen3538 Год назад
Uko sahihi mbunge musukuma..nakufatilia sana namungu akulinde kwenye majukumu yako
@PaulNgarefency
@PaulNgarefency 6 месяцев назад
Msukuma namkubali sana hanaga Kazi mbovu Mungu akubariki sana Msukuma , Mpambanaji, nataka I sana ungekua mbunge moshi mjini 🎉🎉
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
Daah napenda sana siasa ya Tz mbunge yupo huru kutowa mawazo na kahasira kakiwemo daah Mungu aibariki Tz
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 Год назад
Hivi hizo siti hazina watu au ndo wabunge watoro
@aishaalbalushaishabalush8291
hawaendi sababu hawana shida yao yanawaendea
@allymukhsin2962
@allymukhsin2962 6 месяцев назад
Daaah
@hassanomarykazogolo6806
@hassanomarykazogolo6806 2 месяца назад
Izo siti zawageni
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 2 месяца назад
Wanakula pesa bure walevi ushindwa kwenda kazini.
@Masumbuko-fy7wy
@Masumbuko-fy7wy 6 месяцев назад
Nashukulu sana musukuma tutee ss wafugaji nzera yote tunakushukulu sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n Год назад
Karibu sana Kilimanjaro Kaka natamani Sana nikuone live sikumoja Mana mbs zangu zinaishiaga kwako, natamani uwe mbunge wa Kilimanjaro
@JumanneIddyMasudi
@JumanneIddyMasudi 3 месяца назад
Baba were mkeri sana
@raphaelngulo1293
@raphaelngulo1293 Год назад
Huyu jamaa ni Mbunge wa kanda yaziwa sio Geita ,kilasiku anapoint ya kuitetea Mwanza yote wabunge wengine hawapo?
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz Год назад
Imefikia mda naona kama Kuna bifu kati ya wasukuma wa mwanza .mwigulu nchemba na huko tunakoenda wasukuma wataikataa hii serikali na mkumbuke wasukuma ni kabila kubwa hata Tanzania kaeni makini wale uwa wanamsimamo mbaya sanq wakisema Yaya gete imeoisha hiyo kueni makini sana na hao wasukuma wale wakihama chama wanaondoka wote mpaka mbuzi maana nchi nzima wameenea mpaka Zanzibar kuweni makini sana na hili kabila ni nomq
@peterndutu249
@peterndutu249 Год назад
😂😂😂😂😂
@magesaneema1903
@magesaneema1903 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@NaomyPoul
@NaomyPoul 10 месяцев назад
😅😅😅😅
@NgelejaCharles-ng7bh
@NgelejaCharles-ng7bh 9 месяцев назад
Tutaanzisha nchi yetu ya Kanda ya ziwa
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Год назад
Aish hilal mbunge wa sumbawanga mjini ata achangiaji oja tumekuchoka sijui elimu huna uwanja wa ndege wanalima mchicha balabla za mitaa vumbi wewe unafanya nini bungeni😢😢😢😢😢😢😢
@josephnkango1905
@josephnkango1905 Год назад
Kaka mwenyez mungu azid kukulinda we n chumaaa 👏
@bakarimpundu81
@bakarimpundu81 3 месяца назад
Exactly we really need this kind of leader.
@fransisKapala-do8np
@fransisKapala-do8np Год назад
Very nice god bless you more in your all activity
@user-oc1jm5zn6g
@user-oc1jm5zn6g Год назад
Kiukweli msukuma nahisi ni mnafiki sana
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Asante
@patrickKitambo
@patrickKitambo Год назад
Hili jamaa Huwa nili nafikri sana na hakuna msimamo
@marymlewa8682
@marymlewa8682 Год назад
Yaani msukuma umeongea kweli kabisa Huyo mwigulu nae hana hana mkakati wowote na wanachi wake waliompa kura Maana maisha yao hayana wakuwatetea .Yeye katokea huko kwa hao walima alizeti kwa jembe la ng’ombe 😅
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 Год назад
Wabunge wa kanda ya ziwa mko vizuri sana tatizo chama chao ndio tatizo
@JEMACENTREAFRICA-cv2nh
@JEMACENTREAFRICA-cv2nh 11 месяцев назад
Bungee ni zuri, Mwenyekiti aongeze Speed ya Ujenzi Mwanza na Kahumlo Sengerema.
@JEMACENTREAFRICA-cv2nh
@JEMACENTREAFRICA-cv2nh 11 месяцев назад
Au mnaonaje?
@user-to9ku7nr2n
@user-to9ku7nr2n Год назад
Mwanaume Asante sana kwa oja yako
@stevendevid
@stevendevid 3 месяца назад
hongera mungu akuinue uwe rais wa Tanzania uko vizur
@UchebengaNkolo
@UchebengaNkolo Месяц назад
Hongereni bunge letu nitukufu heshima nauwajibikaji ni wajibu w mtanzania🎉🎉🎉🎉🎉
@bhalekelembully4753
@bhalekelembully4753 Год назад
❤Tunakupenda Sana rais wetu miaaka ijayo
@mlewamlewa976
@mlewamlewa976 Год назад
Msukuma ww nikichwa sana sema unakosa tu sapati saruti kwako msukuma fact
@Isaya-xy2bl
@Isaya-xy2bl 11 месяцев назад
Mwogopeni Mungu enyi mafisadi wa nchi yetu
@user-nr4cb1tb5o
@user-nr4cb1tb5o Год назад
Nikweli kabisa
@MosesChalessalaba-wt7cw
@MosesChalessalaba-wt7cw 9 месяцев назад
Mda mwingine elim na uelewa hua viko tofauti uyu jamaa rasaba ila pointi zake nishida
@seifbabaditopile8588
@seifbabaditopile8588 8 месяцев назад
Namkubali sana
@EmanuelClement-sp1gz
@EmanuelClement-sp1gz 4 месяца назад
Msukuma yupo vizuri
@danielsimon1260
@danielsimon1260 Год назад
Umeongea vizuliiii
@Pips_Lab-v2f
@Pips_Lab-v2f 9 месяцев назад
Wasukuma tunajimbua sanaa😊😊
@josephmutalemwa1461
@josephmutalemwa1461 Год назад
I love this man
@DorikasiIsaya-tm6en
@DorikasiIsaya-tm6en Год назад
Acha uongo musukuma nyinyi ni wezi tu
@NUHUISANDALALA
@NUHUISANDALALA 3 месяца назад
Asante msukuma endelea kutusemea nasisi sikonge
@mosesfutila4524
@mosesfutila4524 Год назад
Nakubali san kiongoz
@hurumass
@hurumass 3 месяца назад
Nakubali sana msukuma upovzr big up sana
@SoudyMsulubaSoudy
@SoudyMsulubaSoudy 11 месяцев назад
Jamani huyu aje kua raisi
@NkindaKija-x2r
@NkindaKija-x2r Месяц назад
Msukuma is the best,and the giant leader who loves his countrymen.
@nururaymond5
@nururaymond5 Год назад
Msukumaaaaa🙌
@user-et2zr1pw8l
@user-et2zr1pw8l 4 месяца назад
Unafanya kazi nzuri sana musukuma
@changer223
@changer223 Год назад
👏👏👏👏👏👏👏👏
@PeterSeleman-ps7td
@PeterSeleman-ps7td 10 месяцев назад
Tunakupata vyema msukuma Wetu tutetee sisi wanyonge😭😭
@JohnsonNgetwa
@JohnsonNgetwa 2 месяца назад
Asante msukuma kwa kusema ukweli kwaajili ya wananchi
@wambelahassan1764
@wambelahassan1764 3 месяца назад
Msukula one love
@YasiniHamisi-ve9hq
@YasiniHamisi-ve9hq 2 месяца назад
Hongera Yako msukuma unafanya kazi nzuri ❤❤❤
@issashekh4726
@issashekh4726 Год назад
Safi sana kaka
@petermboje5839
@petermboje5839 11 месяцев назад
Kweli msukuma unawenza umeongea vizuri sana
@abemintv4829
@abemintv4829 Год назад
Hivi Ilemela haina Mbunge hadi mtu anatokea Geita ndio anazungumzia issue hadi za Mwanza Ilemela au kwa kuwa ni waziri hawezi kuwa opposer wa chochote kwa serikali.. anyway Ngachoka mie😢
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 Год назад
Uwanja wa ndege siyo issue ya jimbo ni issue ya kikanda/kitaifa
@ashuraashura9511
@ashuraashura9511 11 месяцев назад
Hawalime kwa jembe la ngo'mbe ndugu yangu wanalima kwa jembe la mkono
@user-zf5ks7sh7i
@user-zf5ks7sh7i 10 месяцев назад
Yes
@JacksonIzengo
@JacksonIzengo Месяц назад
Msukuma pamoja sana unaweza baba❤❤❤❤
@user-uy5ge1ox2p
@user-uy5ge1ox2p 10 месяцев назад
Msukuma noma
@PetroMayega-qm5cg
@PetroMayega-qm5cg Год назад
MSukuma
@NohaChigalika-di1bf
@NohaChigalika-di1bf 4 месяца назад
❤❤❤❤❤ namb 3 xaxa maheho
@mwanzaboy1548
@mwanzaboy1548 3 месяца назад
💪😁🔥 gombea ulaisi tunaitaji lahisi anae toa maneno sio kuyamugunya kaka magu alivo kuaga anafunguka 🙏🙏
@user-dd1cs2tx7l
@user-dd1cs2tx7l Год назад
The 🤴 king
@user-hf7ri9ci8i
@user-hf7ri9ci8i Месяц назад
thanks my father
@Isaya-xy2bl
@Isaya-xy2bl 11 месяцев назад
Ukiwa nahofu ya Mungu moyoni,huwezi kukaza usowako bila aibu kufagilia bandari,angalieni wote mnaofagilia Jambo hili,hasira ya Mungu ipo juu yenu
@user-kz7ot6ii4j
@user-kz7ot6ii4j Год назад
Ndotozangu kwako Ili niendelee kuwa na amani gombea urais mh miwa mbona upo vizur sana kwaza unajikubari unaujasiri Yani mungu akulinde
@meshackwilliam8238
@meshackwilliam8238 2 месяца назад
Hongera Sana wafaa kuwa rais
@Nikolausdminde
@Nikolausdminde 8 месяцев назад
Msukuma bungen upo vizuri sana tungekuwa na wabunge 20 kama msukuma ungekuwa tanzania ipo mbali sana
@NGANGATV1
@NGANGATV1 11 месяцев назад
Mungu akulinde msukuma big up
@user-nt7vy8zp2f
@user-nt7vy8zp2f 11 месяцев назад
Safisana msukuma mungu akulinde ukosawa
@magrethMfafa
@magrethMfafa 3 месяца назад
Msukuma ❤❤❤❤❤ 🎉
@BleaWinifrid-st8jk
@BleaWinifrid-st8jk 3 месяца назад
Asante kiongozi
@jeromemvivu
@jeromemvivu 10 месяцев назад
Hatari
@user-hu7qu4ru5c
@user-hu7qu4ru5c Год назад
Ni kweli
@malimiwilbert7002
@malimiwilbert7002 2 месяца назад
Very good
@RaurentevaristMirambo
@RaurentevaristMirambo 2 месяца назад
Msukumaaa ogera kwa kusema ukweli❤❤❤❤
@AthumaniNkubiye
@AthumaniNkubiye 9 дней назад
Safi sana king msukuma
@ShomariShukuru-kh2uz
@ShomariShukuru-kh2uz 8 месяцев назад
Huwa nampenda sana mtu jasili asiye ogopa ila tatizo huwa awadumu mungu akupiganie msukuma
@user-nt7vy8zp2f
@user-nt7vy8zp2f 11 месяцев назад
Mungu atusaidie sana tupende vyakwetu
@SylivanusMbengeaJr
@SylivanusMbengeaJr 2 месяца назад
Hongeraa kiongoz wet
@tatutatu1570
@tatutatu1570 11 месяцев назад
❤❤
@KisununhazabronKapongo
@KisununhazabronKapongo Год назад
Hongera Sana mkuu
@danielKulwa-hg8st
@danielKulwa-hg8st 4 месяца назад
Musukuma kachua vikali mwigulu,hivyo bac napenda xku moja nimuone king joseph musukuma akiwa Raid wa Jamuhuli ya muungno,pure
@user-xh6rw4qi4q
@user-xh6rw4qi4q 8 месяцев назад
Safi sana mheshimiwa nakukubali sana, tunataka nchi hii inataka wabunge kama wewe,
@user-wk5en1fm1f
@user-wk5en1fm1f 9 месяцев назад
Kweli kaka mungu akubariki upate hata urasi uwa tumbue Kama Jon
@user-gu9dv6fh1i
@user-gu9dv6fh1i 2 месяца назад
Kweli
@GOLDENMIND-y2004
@GOLDENMIND-y2004 Месяц назад
Vizuri sana msukumaas
@thekibosoundband7489
@thekibosoundband7489 Год назад
Mbona kama jibu umetoa mwenyewe mjengewe kiwanja kikubwa alafu uwanja wa KIA ufe ? 😅😅😅
@marymlewa8682
@marymlewa8682 Год назад
Kabisa hawa wabunge wetu hawaaminiki. Walishachukua chao mapema wanatupiga changa la macho tu. Baadhi wanafki tu.
@hassanomarykazogolo6806
@hassanomarykazogolo6806 2 месяца назад
Namkubari sana msukuma
@user-tr8nw3nu2n
@user-tr8nw3nu2n 4 месяца назад
Sema baba semaa
@user-kd8sr2ej2y
@user-kd8sr2ej2y 11 месяцев назад
Msukuma hongera sana ebu mwsmbie jafari wa rorya nae asem
@FedyShilinde
@FedyShilinde 4 месяца назад
nakukubari sana msukuma
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 7 месяцев назад
Mungu akubarik msukuma
@seif3401
@seif3401 Год назад
Mwigulu nchemba ni mwizi kweli kweli
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 9 месяцев назад
Hallelujah
@MasungaMasaka
@MasungaMasaka 11 месяцев назад
Jpm. Mungu amsaidie xana
@user-gw7fu9pu7d
@user-gw7fu9pu7d 9 месяцев назад
Huyu Jamaa aongeze shule kidogo agombee urahisi Safi sana.. Wote mnao mkubali msikuma Toma maoni yako
@user-bf3jl9nz1s
@user-bf3jl9nz1s 6 месяцев назад
Hongera sana msukuma ❤
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Год назад
Kwakwwli kimeumana, bora mjiteteee tu, roma alisema rimoti iko msoga tv iko sijui wapi hahahahahaha pole msukuma
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Kabisaa aisee tuliosoma Cuba tumeelewa
@killysamky9373
@killysamky9373 Год назад
😂😂😂
@ElizabethMsizio
@ElizabethMsizio 2 месяца назад
Chama kilekile watu ni walewale na akili zile zile haziwezi kubadili chochote ktk nchi hii
@user-ws6my1yh4t
@user-ws6my1yh4t 9 месяцев назад
Safi sana msukuma tutete sisi wanyoge
@user-mh4ui3bo1b
@user-mh4ui3bo1b 5 месяцев назад
Salute kwako
@uzikwasapangani967
@uzikwasapangani967 Год назад
Safiii sana
@user-ik2vk5qf5e
@user-ik2vk5qf5e 9 месяцев назад
Jembe le2 la kisukuma love xana
@user-sf1he7zx1c
@user-sf1he7zx1c Год назад
Msukuma aminia shida zingine wanajitakia wenyewe kitu hawajui wanakupuruka TU ilimradi TU ajui tazama mbele itakuaje hawajui basi tamaa za binafsi wanasema wamesoma kumbe wamechovyachovya TU
@PENDOMAYUNGA-fb8lx
@PENDOMAYUNGA-fb8lx 2 месяца назад
Uko vzr
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Airport ya mwanza kwa kweli ni hudhuni😅😅😅
@maryfranknamkumba9182
@maryfranknamkumba9182 Год назад
Jamani Msukuma nyie si mna kiwanja cha ndege Chato? I’m so confused
@user-dh3uf2ro2s
@user-dh3uf2ro2s 5 месяцев назад
Umetuma kazi nawananch wako napenda kukufuatiria nikiwa na mb namalizia kwako
@EdsonSanga-zt2fw
@EdsonSanga-zt2fw 9 месяцев назад
Edson sanga nakukubali sana mwamba
Далее
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19