Imefikia mda naona kama Kuna bifu kati ya wasukuma wa mwanza .mwigulu nchemba na huko tunakoenda wasukuma wataikataa hii serikali na mkumbuke wasukuma ni kabila kubwa hata Tanzania kaeni makini wale uwa wanamsimamo mbaya sanq wakisema Yaya gete imeoisha hiyo kueni makini sana na hao wasukuma wale wakihama chama wanaondoka wote mpaka mbuzi maana nchi nzima wameenea mpaka Zanzibar kuweni makini sana na hili kabila ni nomq
Aish hilal mbunge wa sumbawanga mjini ata achangiaji oja tumekuchoka sijui elimu huna uwanja wa ndege wanalima mchicha balabla za mitaa vumbi wewe unafanya nini bungeni😢😢😢😢😢😢😢
Yaani msukuma umeongea kweli kabisa Huyo mwigulu nae hana hana mkakati wowote na wanachi wake waliompa kura Maana maisha yao hayana wakuwatetea .Yeye katokea huko kwa hao walima alizeti kwa jembe la ng’ombe 😅
Hivi Ilemela haina Mbunge hadi mtu anatokea Geita ndio anazungumzia issue hadi za Mwanza Ilemela au kwa kuwa ni waziri hawezi kuwa opposer wa chochote kwa serikali.. anyway Ngachoka mie😢
Msukuma aminia shida zingine wanajitakia wenyewe kitu hawajui wanakupuruka TU ilimradi TU ajui tazama mbele itakuaje hawajui basi tamaa za binafsi wanasema wamesoma kumbe wamechovyachovya TU