Тёмный

"STEVE NYERERE AKUBALI YAISHE, NILEE WATOTO WANGU,ANAZIBA RIZIKI ZANGU"-SENGOMATRIDA 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 183 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

20 апр 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 243   
@mercytoywa8518
@mercytoywa8518 2 года назад
My favorite actor in Tanzania. Much love from Kenya. I love u more in mwamamziki
@rhodamiguma7336
@rhodamiguma7336 2 года назад
Nakupenda sana Weru your so cute MUNGU akupe mume mwm
@trusilahonduso6090
@trusilahonduso6090 2 года назад
From Kenya 🇰🇪 we love you especially my kids. I admire everything about you
@martinkinyua7650
@martinkinyua7650 2 года назад
I like this lady. For sure she as talent. She is very active in pazia
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 года назад
Her face😍🥰💟nampenda
@faharikhamis1042
@faharikhamis1042 2 года назад
Yani we dada nakupenda hata uwe na watoto kumi bado nakupenda njoo nikupe really love forsure I need you mama
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 года назад
Nakupenda Sana we mdada achana na akina uwoya wanazeeka bila maadili
@twalib09
@twalib09 2 года назад
Toto tamu mashallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@rehemajingu3909
@rehemajingu3909 Год назад
Pamoja na uzur woote huo lkn sijawah kusikia skendo mbaya!! Mungu akutunze superwoman!!
@neemaegnatio7725
@neemaegnatio7725 2 года назад
Uyu mdada nampenda sanaaa hata movi zake ziko vzr
@prettypretty9745
@prettypretty9745 2 года назад
Totooooooooo zuriiiiii mashallah
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 2 года назад
Nakupenda matilda
@bensonfrancis5599
@bensonfrancis5599 2 года назад
Nampendaga wellu sengo
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 года назад
She's not comfortable with the Len's 🤣🤣🤣🤣🤣
@mankamushi4588
@mankamushi4588 2 года назад
Wewe ni msomi mrembo.una lugha nzuri ya kuongea.achana na huyo stive hamuendani Wala hakufai
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 2 года назад
Kabisaa
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Год назад
Alinikimbia Mimi kaenda kwa Stive wake vumilia ndiyo maisha
@ashakufakunoga4904
@ashakufakunoga4904 Год назад
Unajua kila mtu anamazuri yake namabaya yake huyu Dada kipindi anakutana na Steve alikuwa namtoto mdogo sana katelekezwa namzazi mwenzie naalikuwa hajulikani kabisaaa kama sasa hivi hivyo asiongee maneno kupitiliza siyo kwamba Tivu hana yake yakumuongelea...sisi wanawake tukishika hela kunawengine hatukumbuki tuliko toka ..Heshima yamtu uliye zaa naesiyo sawa nayamtu ambae alikutoa kwenye mji wako kunasiku atakupa tukio na usiamini...
@user-qn3gl1uy3i
@user-qn3gl1uy3i 22 дня назад
Ameshamuacha ni kwamba kwanini bado steve anamfatilia
@nancyjohn5261
@nancyjohn5261 2 года назад
Jamani Mungu akupiganie welu
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 2 года назад
Mungu atusaidie banadamu
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 года назад
steve nyerere alikua ana kula mzigo mzuri hivi jamani daah asee kweli sio lazma mwanaume uwe na SIXPAKI
@estermathias8354
@estermathias8354 2 года назад
Hahaaaa yani nilikua siamin
@praisesteven7774
@praisesteven7774 2 года назад
🤣🤣🤣ten zamn alikua wa ovyo tivu
@dapriccy3574
@dapriccy3574 2 года назад
Sema nn Dada angu wellu stive hata hakuwa type yako ko achana nae mpk hapo ww ni mshindi,,😘
@zeddybass6672
@zeddybass6672 2 года назад
Mm binafsi kwa nilivyomuangaria huyu mwanamke ana dharau sema labda hamjajua na ndio maana tiv ake anarukaruka Kama kitenesi .usihukum kesi Kama hujajua upande wa pili tiv anasemaje
@catherinefelician2148
@catherinefelician2148 2 года назад
Usimjaji mtu vby wew akati ata humjui
@user-uz5cu7cr9h
@user-uz5cu7cr9h 9 месяцев назад
Nic
@zainaburamadhani7495
@zainaburamadhani7495 2 года назад
Nampenda sana Rebecca
@mohammedabdala7526
@mohammedabdala7526 2 года назад
Da wellu ilove you
@mariamakungwa5391
@mariamakungwa5391 2 года назад
Pole kumbe
@elinapouljensen9244
@elinapouljensen9244 2 года назад
Kuna kuachana na mtu kwa kujutia kuwa nae kwenye maisha yako lakini yeye akawa bado anataka uwe nae, kinachofata apo ni chuki na roho mbaya ya kwanini anakua anatamani ukose ukome either ushindwe urejeshe ukaribu nae umuombe msaada ndo afurahi, yan kuna watu wkt mwingine adi unajuta kuwafahamu kwenye maisha yako
@priscamwangama9192
@priscamwangama9192 2 года назад
Dada anaongea kistarabu mpaka raha Pole mwanya
@sabatoelia312
@sabatoelia312 2 года назад
Huyu dem alikua na Steve 😳 kwel hela noma. Afu ashakua staa saiv anamuona mshkaj choko
@neemakilingo8282
@neemakilingo8282 2 года назад
Sasa mume wa mtu utaendelea kuwa nae Hadi lini kn wakat mtu ata km anapesa unabidi umuache
@sarahfuraha875
@sarahfuraha875 2 года назад
Mi nahisi huyu nimemuona kabla sijamjua Steve. Nadhan sio Steve aliyemnyanyua huyu
@nyotawauniquem7462
@nyotawauniquem7462 2 года назад
Welu ni. Star kabla ya stiv dear
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 2 года назад
@@nyotawauniquem7462 steve kwanza
@getrudamartin2409
@getrudamartin2409 2 года назад
Wellu ameanza kuigiza mda angalia movie ya matilda kipindi yuko mwembamba sema siyo mtu wa skendo huyu dada yani kujionyesha mitandaoni
@mauemy4685
@mauemy4685 2 года назад
Huyu Steve ndio angekua kiongozi wa wasanii angewabania sio kwa nongwa hii asee hafai
@kasholakashola2775
@kasholakashola2775 2 года назад
Beuty
@alfredbuyamba8250
@alfredbuyamba8250 2 года назад
My
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Dida kwa umbea eti maskn🤣🤣🤣🤣
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
🤣🤣🤣
@laxmikhairah1503
@laxmikhairah1503 2 года назад
Pole mwaya Mana uyo ni adui wako cyo Mzazi mwenzio
@kaimasawe1919
@kaimasawe1919 2 года назад
Yaan Nina Kaka atakufaa Sana napenda uwe wifi yangu achana na wangoni
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 2 года назад
Yaan kumbe tivu ni mngon daah!! Mngon gn haitak dam yke
@victoriagasper4478
@victoriagasper4478 2 года назад
Apana tivu wa iringa
@sameerallykelly7852
@sameerallykelly7852 2 года назад
Wellu
@telesiakaovera4381
@telesiakaovera4381 2 года назад
Kumbe huyu mzuri alizaa nativu yake
@jacquelinelekule426
@jacquelinelekule426 Год назад
Kwanza sijui uliingiaje kwa kijeba km hichi alafu amuendani ht kidogo
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 года назад
nasema iv apo welu mbaya jamani live ni mzuri welu kushinda mekup yn nimzr sana ao wengnie wte wana subil
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Kwanini ulimruhusu uyu mtu kuwa na Mahusiano nae, ila Pole sana kipenzi.
@kulwamsigwa3325
@kulwamsigwa3325 2 года назад
Tivu mshamba Sanaa bado upo madili akuleleee mtoto wkt hutoi hata 100 ila tuwaachie wenyewe maana mapenzi haya usikute wakarudiana tukabaki vinywa wazi wazazi hawa
@asinathmuhidini5083
@asinathmuhidini5083 2 года назад
Mmmmh ivy nikweli mtoto mkali kama uyu stivuu ndo kazaa nae
@Memphisblue22822
@Memphisblue22822 2 года назад
Wanawake MNA uruma jamani .. Khaaa... Yaniiii mie na huyu dada 😤
@kimcash3079
@kimcash3079 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yanini mie
@SaudaShabani-zf3xx
@SaudaShabani-zf3xx Месяц назад
Yani steve hata ivo ulimstili tu manake kwanza hakuwa hadhi yako kabisaaaa! Huyo shotiii piga chini
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 2 года назад
Kumbe steve ni mpuuzi namna hii
@afualusigi923
@afualusigi923 2 года назад
Steve huyuuu!
@Aikenya254
@Aikenya254 2 года назад
Ndio mlikua mnataka kumpa usemaji wa wasanii. Familia inamshida Bure kabisa #stevenyerere2
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Umesikia upande mmoja tu! Steve yy anasemaje?! Mambo ya familia ni very complicated, huwezi kujua ukweli!
@allanothuman2941
@allanothuman2941 2 года назад
mamb y mwenzio yanakuhus nn
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mimi mwenyewe si msanii lakini sikumkubali Steve.
@mankamushi4588
@mankamushi4588 2 года назад
Stive hata hawaendani na huyu dada
@praisesteven7774
@praisesteven7774 2 года назад
ata uyu dada alikua mbaya zamn 🤣🤣iv saiz ndio anaonekaan trust me alikua level yake enz zile but now mashaaaah
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
Ya nini mie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mankamushi4588
@mankamushi4588 2 года назад
Huyu dada ni mzuri Sana jamani.stive alikuroga ili umpenda maana na uzuri wako huwezi kuwa na stive
@bigjrmsita8854
@bigjrmsita8854 2 года назад
Mh uzuri ndio huwa kigezo,hapo ndio mnafeli
@ChristinaSanga-ht7ig
@ChristinaSanga-ht7ig 20 дней назад
Kweli kabisaaa naungana na wewe
@mwajabumalekela5563
@mwajabumalekela5563 Год назад
Yaani nilijua yananikuta mm tu na huyu mtu kumbe hadi hukooo!! Hlf ukiuliza anataka nn?? Yaani jibu halipatikana,,, ila wanataka tu tuchakae hlf waseme mmeona""" bila mm hawez
@divinebernard1047
@divinebernard1047 2 года назад
Nakupendaga saaana tu Ila punguza mapozi my dear Ila ww ni kati yawasani ninao wapenda💋
@estermahenge5972
@estermahenge5972 2 года назад
Yani dida😄😄😄etii ya nini mie😄
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Je nampataje huyu dada maana huyu ninjaa aliyekuwa naye hawaendani kakivua nguwo kanakuaje?
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 2 года назад
Dah.. Asee kweli usanii mzuri , Yani Steve huyuhuyu na ufupi wake na midomo yake myeusi yenye sugu za fegi ndo alikuwa anamiliki mzigo huuu Dah !! Sema nini sio type yake ndo maana wakaachana uchawi ume expire dada kajielewa 😀 Steve watu wake akina Tausi na Mama njerekela.
@chidybizz8684
@chidybizz8684 2 года назад
Bro🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Daah! Huyu anayejiuza mtandaoni ndiye alikuwa mke wa Steve?!😏Hamna mke hapo! 🙆‍♂️
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 года назад
🤣🤣
@bishoptvalbert4112
@bishoptvalbert4112 2 года назад
Umenichekesha
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 года назад
Hahahaha
@elizabahenge4485
@elizabahenge4485 2 года назад
Kimwanaume chenyewe jmn mhhh
@baruabarua1569
@baruabarua1569 2 года назад
Tivuu akee
@felisteredward3630
@felisteredward3630 2 года назад
Jmn sijui kalimmdanganya nn haka Ka jamaaa huyu dada
@floraanna5306
@floraanna5306 2 года назад
Mapenzi jaman
@modetheo5182
@modetheo5182 2 года назад
umeona steve kakuinua sasa hivi unamwona choko. ulizaa naye wa nini.
@catherinefelician2148
@catherinefelician2148 2 года назад
Hpn nakataa
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 2 года назад
Kamuinua kutoka wapi?wellu sengo mi namjua kabla hata ya huyo Steve,kipaji chake ndicho kilichomuinua bhn acheni story zenu
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
sasa hapo Steve alikuwa analipandaje hilo konteina
@innocentmbise5418
@innocentmbise5418 2 года назад
😃😃😃😃😃manina aki kale kajamàa kalkua akaez hii mama
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
Jaman jamn hhhaaaaaaaaa wabongo cwawez mm mmenishinda tabia
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
Na ili uwa linajickiaaa Mara lijifanye halijui kiswahil vzur ety lizungu.hhhhhhhhhhaaaa mzungu bongoooo kiruuuuuuuu siham bongo mm
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
Kontena la dizeli kbsaaa ulijuaje jmn kunywa pesp nalipa
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 2 года назад
Tuwaombe WCB watuulizie🤣🤣
@paulmaghembe143
@paulmaghembe143 2 года назад
Steven Nyerere alikuwa anakojoa pazuri sana huyu jamaa Mali safi na salama kabisa hii
@buberwajohn1312
@buberwajohn1312 2 года назад
Alooo!! Hata mie nawaza aliwezaje 🤔🤔🤔🤔
@mamamzazi3600
@mamamzazi3600 2 года назад
Hahahahahahahaahahahahhaa
@sadihashimu4664
@sadihashimu4664 Год назад
Yan hufanan n huyo stev hata kdg dadaangu we ni mzur,msomi una busara unaangalia la kuongea achana na huyo mbwabwaja hovyo
@gillimangi5522
@gillimangi5522 2 года назад
.huyu dada.itakuwa alilogwa na steave ampende
@filberthabashi2870
@filberthabashi2870 2 года назад
Dada mzuri huyo
@mariammbelwa2487
@mariammbelwa2487 2 года назад
Steve anamtaka uyu dada ndo shida hyoo na sisi tunasema akutakii kaa kwa kutulia sio lazima kuishi na mwanamke ulozaa nae..alafu kumbe watoto wote kazaa na stivu yaan ata ukute kwenye kuigiza alitishia kutoa ndo maan ukaona uzae tu 😅...maan amuendan jaman
@rehemajuma2202
@rehemajuma2202 2 года назад
Pole
@kobajumakuziwa9976
@kobajumakuziwa9976 2 года назад
Steve na rebeca hata hawaendani sijui alimpata wapi mtoto mzuri kama pesa kama mkeo hachoki kumtazama kila saa
@idrissatuppa3997
@idrissatuppa3997 2 года назад
Zigo La Steve,Uzuri Six Packs Sio Kigezo kwenye Mapenzi.😗🤔🤔🤔
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 2 года назад
Hahahahaha
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@KelvinChana-bt4kz
@KelvinChana-bt4kz 28 дней назад
ww nimwanake wa maana sn
@dayanakassanga944
@dayanakassanga944 2 года назад
Masikini masikini wanafiki nyiye
@youngmeekmilly3511
@youngmeekmilly3511 2 года назад
Mke mzuri huyo c awe jimama langu 😁😂😂
@zainabnassoro1109
@zainabnassoro1109 2 года назад
😁😃😆
@maggiekaaya8403
@maggiekaaya8403 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@ashurahamis7163
@ashurahamis7163 2 года назад
HIV hyu dada kwenye pazia kacheza
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Sema Steve Nyerere akubali yaishe Ili ulee Mtoto wenu, sio Useme ulee Mtoto wako , Kwani hiyo mimba uliingiza na KIDOLE? maneno kama haya wanawake ndio unakuta wanaume wengi wanawaachia Watoto , msiwe wabinafsi mtoto sio wako peke Yako ,mtoto ni wenu..!
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 2 года назад
Chiz yule anaroho mbaya anataka mwenzie angaike ili awe anamlialia shida
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 года назад
Ana sauti ya kinaigeria🤭kama vile hajui kiswahili basi ataongea kinge Cha kinaija
@mtegemeemungusiomwanadamu6618
@mtegemeemungusiomwanadamu6618 2 года назад
Macho kama ya jini
@ubongosahihi
@ubongosahihi Месяц назад
😮😢😂😂😂😂 amevaa lensi kwenye macho yake 😂😂😂😂 😅😅😅😅😅
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 2 года назад
Halafu mwambie na huyo mtangazi wakiume aache kujichubua sasa
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
Yani watanzania mli kubali kiswahili kabsaa, na wapa hongera kuepukana na ukabila....
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@swaumdodoma7591 mimi mkenya, laiti wakenya wote wangelijua umuhimu wa kiswahili, mambo yangelikua rahisi, huku....
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@swaumdodoma7591 kitu cha kushangaza ni kwamba wakenya wanapenda Kiswahili kwa ujumla ila mafikra za kikoloni zime Tu adhiri.....hata nyinyi mnge kua vivyo hivyo kama si Julius Nyerere....
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@swaumdodoma7591 na dadangu ebu nikuulize ..unatoka sehemu ipi ya Dodoma....
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@swaumdodoma7591 bado sijaskia huko...Ila napenda dodoma, nimesha skia sifa nyingi....
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@swaumdodoma7591 naweza pata vipi no.zako ili tuwasiliane....
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
Yan huyu Dada mzur lkn Sasa yupo kama diva mapoz meng 😂😂😂😂 Ila kwa Steve Sijui kaingiaje🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ mnanini mie!!!!!! Mapenz niache mie kidogo 😄😄😄😲😲😲😲
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Kweli kbs 🤣🤣🤣mapoz mengi atimai kangukia kwa Steve 🤣🤣
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
@@nasraabdallah850 🤣🤣🤣🤣
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
@@baimarrajahbuayan6237 tunacheka km mazur🤣🤣🤣🤣siwenyew atujui tutangukia wapi mung atunusur. Ila dada kazid mapoz uyu kutamaki mikononi kwa Steve mbaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
@@nasraabdallah850 🤣 🤣 🤣 🤣 atajua ajui
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
@@baimarrajahbuayan6237 🤣🤣simo🙌🙌
@praisesteven7774
@praisesteven7774 2 года назад
sema kipnd yupo na tivu ake alikua mbaya 🤣🤣saiz kajua thamn yake anahs sio level ya tivu ila vituko jmn haendan hata na tivu jmn 😆😆😆😆
@seifsungura6936
@seifsungura6936 2 года назад
Mhh hatari Sana....wadada wa mjini....
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Saaana aisee
@nesielias9493
@nesielias9493 Год назад
Kwanza mi ningekutandika makofi 😏 hata mwili hakina hata hivyo ulimpa tu lifti hakuwa taip yako
@rhodamiguma7336
@rhodamiguma7336 2 года назад
Weru ulshawishika nn kwa huyo shotiii, nachukia sana wanaume wafup
@hawamwalami8248
@hawamwalami8248 2 года назад
Dida nyie et maskini
@subirajohn728
@subirajohn728 2 года назад
Yaani!
@salwambokyando9688
@salwambokyando9688 2 года назад
😂😂😂😂
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 года назад
Kwel hela haijawah kushindwa looh teve wa kumvua chupi mdada mzur hyu jaman duh
@sixbertmwakaluwa5665
@sixbertmwakaluwa5665 2 года назад
Ww mkinga ww cha ajabu nn
@beckasalum2620
@beckasalum2620 2 года назад
Sasa yeye nan alikua andagrond stevu kamuinua leo anamuona afai
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад
Na nyie mlivyo wam bea Sasa
@praisesteven7774
@praisesteven7774 2 года назад
dida icho kichekoo 🤣🤣🤣lool
@ashangohi450
@ashangohi450 Год назад
Unahekma sana welu
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 2 года назад
Vijana tutafute Pesa.
@firstnakoko6605
@firstnakoko6605 2 года назад
Steve katomba huyu
@mohammedabdala7526
@mohammedabdala7526 2 года назад
Da dida bi hindu yupo wapi ?
@farhadimranmoodyimran5119
@farhadimranmoodyimran5119 2 года назад
Yaan hii pisi Steave ake alivua chupi dah 🤣🤣🤣🤣
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 2 года назад
Hata Bado siamini yaan tivu Ake Alikua anakojolea ndani kabisa 🙆🙆
@enjoomaliya1399
@enjoomaliya1399 2 года назад
Mm mwenyew siamini , kama kweli
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
@@andrewjulius6796 sas jaman kwn yeye haisimami au
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
Mbk nakuchomeka bila shid cheze steave yak
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 2 года назад
@@lucylucy3678 hata kama inasimama ndio mpka stivu Ake jamaniiiii🙄🙄
@ashurahaji9115
@ashurahaji9115 2 года назад
Hivi anakunya mavi magumu kweli huyu
@naija6679
@naija6679 2 года назад
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA *#*#. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZgfBwGAJlrQ.html
@msalabanireko1518
@msalabanireko1518 2 года назад
Ivi ili contena tivu ake alikua annalipanda vzr kwel jmn
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 2 года назад
Acha ujinga kwani huyu mdada kipindi anaanza usanii alikuwa hiv tuache ushamba alikuwa Ni wa kawaida sana Ila pesa sabini ya roho ndio imembadilisha
@catherinecharles932
@catherinecharles932 2 года назад
JUMA UMBEA UMEKUISHA LEO😁
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Steve achakuloga upate mwanamke au ulimbaka binti wawatu duuuhh tupo watu napesa na mvuto ila hatuna mahusiano wewe umempataje huyo?
@habibanassoro2696
@habibanassoro2696 2 года назад
Njooo kwangu
@bonvivant3704
@bonvivant3704 Месяц назад
😂😂😂😂😂
Далее
HOUSE GIRL  EP 35 || love story💞💕
21:21
Просмотров 108 тыс.
Strawberry Cat?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:42
Просмотров 10 млн
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
Просмотров 109 тыс.
СКАЗАЛА ЖЕ НЕ ПОЙМАЕШЬ
0:19
Просмотров 2,9 млн