Hakuwahi kuiona thamani yangu hata siku moja, Katika nyumba yake nilikiwa kama mateka. Hakuwahi kunifanya Mtu Mwenye furaha hata siku moja ...... Ndoa yetu ilijaa kashfa, manyanyaso na kila aina ya dharau ..... Naichukia ndoa yangu
Je Unapata Changamoto kupata Links zetu? Karibu katika group letu la WhatsApp 👉🏻 BUSATI FANS Bonyeza link itakupeleka Moja kwa Moja chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Alhamdulih yote yaliyomo humu wallah nime yapitia Inshallah Allah aki nijalia ndoa ya pili bas na mumba sana mungu mungu anipe mume mwenye kheri na mimi ❤
Mashaallah mashaallah thabarakallah shukran sna kwa mafundisho yenu mazuri na Allah awazidishie kwa kipaji chenu mlicho nacho yaani mm najifunza wallah ttz wakina RASHID ni wengi wallah😟
Shukran 🙏🥰 sana wana Busati ambae ameiangalia hii movie 🎥 na kuzingatia kabisa basi atafaidi awe kwenye ndoa au atakapo ingia kwenye ndoa jazakaallah kheri in Sha Allah 🙏