Тёмный
No video :(

SURPRISINGLY, KAPEWA NA KUVISHWA PETE HAPO HAPO. HARUSI TUNAYO !! 

Mc Gara B
Подписаться 334 тыс.
Просмотров 118 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@farajangandu9111
@farajangandu9111 3 месяца назад
Harusi tunayoo hatunaaa?!😅 ❤
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 11 месяцев назад
Walipanga wengine ila bi harusi mtarajiwa alikiwa hajui
@Rahmatz8172
@Rahmatz8172 3 месяца назад
Jmniii nani kamuona shemeji mzungu anavyocheza😂😂😂😂😂😂
@user-dn3sn2fk9v
@user-dn3sn2fk9v Месяц назад
😂😂😂 nkwmby Shem darling yuko na vibe 🎉
@vannyk-jz7tf
@vannyk-jz7tf Месяц назад
Ata kama ilipangwa imenoga sanaaa
@fridahkarimi5510
@fridahkarimi5510 11 месяцев назад
Dada hizi nguo nazo za kuacha mwanamke mapaja nje😢😢. Tujiheshimu Jamani 😮 Sio lazima mwili wako uchi wako uonwe na watu tunza ni wako na umpendaye Jamani..FUNIKA MWILI Rinda nzuri lapasuliwa mpaka kwa mapaja dah🤭🤫🙄😒
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 11 месяцев назад
Unafikili Nini Mimi Naonaga Niushamba Tuna IGA
@rerisamba
@rerisamba 10 месяцев назад
Yani inachukiza sana mwanzo mahali kama hapo kuna wazazi
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 10 месяцев назад
Napia Mwenye kumuogopa MUNGU Awez vaa ivyoo .Napia TUJIFUNZE Watu tunao waalika pia Wenye Akili Timamu na heshima niher muwekumi Lakini Kwa furaha na heshima Ata Malaika Wa MUNGU wamesimama Unakuwa Baraka
@rerisamba
@rerisamba 10 месяцев назад
🤣🤣🤣kule kenya pastor wa SDA aliwafukuza kanisani wote walio kua wamealikwa kwa sababu ya mavazi machafu
@jenahando2747
@jenahando2747 9 месяцев назад
Wewe tulia
@latifajohn7506
@latifajohn7506 11 месяцев назад
Bwana harusi anajua kucheza
@ramadhankanoun3007
@ramadhankanoun3007 11 месяцев назад
Ilipagwa hiyo bi harusi kaonekana akimuita bwana Emmanuel
@miry6655
@miry6655 10 месяцев назад
Ndyo ilipangwa iwe suprise kwa bi harus mtarajiwa.
@Bravin116
@Bravin116 9 месяцев назад
Hao wengine walikula njama lakini bi harusi mtarajiwa inaonyesha kabisa hakujua
@marymolel800
@marymolel800 10 месяцев назад
Anadil na mzungu tujuane syo kwa kucheza huko
@maggieandrew995
@maggieandrew995 11 месяцев назад
Pete inavishwa siku ya kutoa mahari waoongo Hawa
@mongeramatondo1320
@mongeramatondo1320 11 месяцев назад
Si ndo hapoo, hahahah😇
@esterpaul6314
@esterpaul6314 11 месяцев назад
Pete popote bana
@sumaboy8105
@sumaboy8105 11 месяцев назад
Wabongo bwana sasa kupiga goti wacheni kuiga jaman culture za wazungu ushamba mtupu
@miry6655
@miry6655 10 месяцев назад
Et we have we have not😂😂❤
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 месяцев назад
Wanayo kwel kumbe raha sana nimemkumbuka Kuna rafiki yangu alisema kwenye harusi ya pacha yake alimpenda Mc alimuombea na yeye aolewe na kwel siku hile hile ya pacha wake ndo na yeye alimpataga mumewe alipendwa akatumwa shemej yake
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 месяцев назад
Kavishwa na Pete hapo hao hatar au walishaandaa
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 месяцев назад
Bwana harusi mzungu kanikumbusha mzungu wangu
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 11 месяцев назад
😂😂😂
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 11 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣kwani mmeachana??
@RosemarryMgaiwa
@RosemarryMgaiwa 11 месяцев назад
😂😂😂😂 make apo kwanza nicheke
@kolethafabian2618
@kolethafabian2618 9 месяцев назад
Hahaaaha Ila bongo Kuna Raha Sana hatunaga stress labda ujitakie mwenyewe
@user-oc5fe9vx1p
@user-oc5fe9vx1p 10 месяцев назад
Usikute apo taarifa zilifika home mtarajiwa alikuwa hajui
@janethwilliam463
@janethwilliam463 11 месяцев назад
Woow this is sooo nice❣️❣️ I really love it 😍
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 11 месяцев назад
Anahost vizuury cjui kwann anapost vipande daah
@user-rj8us3cx9k
@user-rj8us3cx9k 11 месяцев назад
Mnatuona zumbakuku??hao ni wapenzi na washajiandaa kuvalishana Pete CK hyo over
@lilianmasoud1444
@lilianmasoud1444 11 месяцев назад
Hainogi ilipangwa
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 11 месяцев назад
Ndio ila mwanamke hakunuwa maana ameshtuka
@lucymkongwa4238
@lucymkongwa4238 11 месяцев назад
❣️
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 11 месяцев назад
Ila vijana acheni kupiga magoti Kwa wachumba ama Kwa mabiharusi wenu mnajiaibisha na kuishusha thamni ya mwanaume
@innocentcleophace8583
@innocentcleophace8583 11 месяцев назад
Haifai kabisaaa mwanaume unapigaje magoti Kwa msichana...... sio sawa
@dorinally4698
@dorinally4698 11 месяцев назад
We hujui
@EsterVuriva
@EsterVuriva 11 месяцев назад
Ni sawa kabisa mwanaume kupiga magoti kwasababu yye kumbuka ndo anaye toa mahali na ndo anahitaji mke wakutoa mama Bora lazma apigee goti
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 11 месяцев назад
​@@EsterVurivaKwamba Anaomba Kuwa Mkewe
@gracesiwa
@gracesiwa 11 месяцев назад
Its right mkaka kupiga goti cause he is the one proposing he is bringing the offer and a girl is the one to accept or reject it, its like anaomba akubaliwe dada ndo anaweza kukubali au kukataa uwa ndio maana ya kupiga goti mdada awezi kupiga goti maana yeye aombi kuolewa ila mkaka ndio anaomba amuoe msichana. Mkaka ndio anatafuta mke.
Далее
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 20 млн
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 518 тыс.
August 24, 2024
2:22
Просмотров 1,9 тыс.