Naomba kuuliza mama samia suluhu hasani raisi wa jamhuli ya muungano wa tanzania hawezi kuenda ngolo ngolo mpaka atafute mahali pa kukutana na wawakilishi wa ngolo ngolo sawa hatuikosoi selikali ila kuna matatizo mengine wawakilishi hua hawafikishi ,mimi naona ni vzr kama ataenda ngolo ngolo mwenyewe kama raisi wa mpito j p m akasikilize hoja na matatizo ya wananchi
Pia naombeni mtusaidie selikali ,hivi mama yetu raisi ni mzee sana kiasi kwamba hawezi kufika ngolo ngolo mbona nje ya nchi hua anaenda sana kwani ngolo ngolo pana umbali gani
yan aka kamchezo bana ni upumbafu serikali yenyewe inatengeneza matatizo alaf tena wanatatua wenyewe ni ujinga mtupu et pelekeni huduma kwan ni nan alkua amesitisha siasa ni mchezo mchafu xana
Kwani aliyeondoa hizo huduma ni nani na ni nani anazirejesha... Tusipotezeane muda ..Yaani muhamishe vituo vya kupigia kura msomera Tanga kisha muwanyime huduma za Afya kwani wapinzani ndio wanaongoza serikali sasa