Hays sasa watu mnaanza shobo milad ukitaka mafanikio acha kuiga bifu za kimama yani show imelipuka davido mwenyewe kafunikwa mondi ni fire gonga like mamaee
"Nmekuja kwa heshima ya rafiki yangu davido"that means Davido alimuomba simba kuja kumsapoti....Hakika Diamond ni maji usipoyanywa utayafulia na usipoyafulia utayaoga...... Noma sana baada ya Mond kuingia hali ya hewa ikachafuka
"Tunajiandaa na wasafi festival,nimekuja kwa heshima ya mshikaji wangu au sio" Huu mwaka Mbona tutanyooka sasa Tangazo lake kwenye uwanja wangu hizi dharau
milardayo nilikuwa napenda kufuatilia habari zako lakini kuingilia ugomvi Wa diamond na ruge nikakudharau mpaka Leo hata uposti nini sikuelewi kabisa mnafosi kumbemba kiba MTU mwenyewe habebeki halafu kumshusha diamond hamuwezi mliwawezea hao hao akina jide nasugu sio kwa diamond mmfeli mmeanza shobo wenyewe
Shaban Mondi umesema kitu ya maana sana kwangu pia huu millard ayo Nilimfuatilianga sana vipindi vyake lakini vile alimbwaga daimond nikauchukia unafki wake ...Sabbu hufai kumchukia mwenzako kwa ajili ya wengine ....
Hiii dunia kweli kuna watu timamu zao zilishastaafu sasa ww ugomvi wao unakupa faida gani? Hata ukitukana hakuna kinachobadilika hapo na usikalili kila unachikiona vingine ni lazima vitokee ili maisha yaende
Hata namba moja iko chini yako, huna namba Dai, umeibeba Dunia. Hilo linyota si la ulimwengu huu. Millard nimekupenda kwa kuiona hela ilipo umepotezea upuuzi wa bifu. Usawa huu usipounga urafiki na WCB utakula wapi? Tulishakusahau dogo Millard sasa tumerudi kwaajili ya Chibu Deee.
Millard wewe Leo ubishi umeisha achane mambo yenu ya kisenge mlidhani kumpotezea mondi mnamuua kumbe mnajiua nyie wenyewe sasa angalia shangwe hapo kama maji mengi kwa mondi mnambeba MTU ambaye abebeki
Na Millard ukirudia tunakuhama jumla hatupendagi watu wenye roho mbaya TZ ni moja tunataka roho nzuri kama ya Mondi kunyanyuana kimaisha. Mfyuuuuu ulikuwa unaboa na habari zisizo na kichwa wala miguu. hizi ndio habari sasa tunael;ewana
Huu mchezo asirudie kuucheza maana anadharaulika. Wapuuzi tu ndio wanachezaga michezo michafu isiyo na faida. Unaanzaje kumkaushia mtu ana folowers kibao na ukichanganya na za mademi wake na za wasanii wake hivi wanategemea wataweza kupambana na Mondi? Ana nyimbo nzuri na ana vyombo pia vya habari sasa fyuuuuuuu maana walikuwa wanajidai na midia zao kawakomesha kafungua yake sabb alijua kitambo
Sasa kati ya SIMBA na RUGE nani boya? tanzania yote na east Africa washajua RUGE ndio anauwa vipaji vya wasanii msenge sana. +254 niko hapa kwaajili ya diamond na mkifanya mchezo atawapoteza nyinyi
mtangazaji: daimondi unazungumziaje media zinazoacha kupiga nyimbo zako? #daimondi : unajua nikuambie kitu mimi nikama maji usiponioga utaninywa utanifulia au utanichambia kwaiyo wao waendelee kubania lakini wajue biashala yamzki sasa IPO #wcb usipoiyongelea #wcb utaongelea nini mtangazaji: 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
watu mlikuwa mnashindwa kuelewa mnamulaumu millard bure tu hii bifu ni ya diamond na clouds media kwaiyo yeye kama mfanyakazi wa clouds alikuwa aruhusiw kupoct habar yoyote inayohusiana na diamond,sa nyie mlitaka apost ili afukuzwe kazi au,ila wao binafsi awana bifu.acha like yako hapa kama unakubaliana na mimi
Mimi Issueboy ,sio kweli ,Millard ayo sio muajiliwa wa clouds ,kanunua kipind clouds ndomana anakiita kwa jina lake kwamba Ayo Tv ,so anapost anachojsikia na pesa zote za matangazo n.k zinaingia mfukon mwake ,so yy sio muajiliwa wa clouds n mmiliki wa kipind clouds kama ww ambavyo unaweza lipia kipind ukifanya yako ,clouds kuna vipind vya clouds kama clouds na vipind vipind binafs chini ya watu ,alianza kama mwajiliwa sahv n mmiliki wa Tv ndani ya Tv clouds, so wakiznguana anaweza kwenda azam TV akachukua kipind na kikaenda kwa jna lake LA Ayo Tv , sema alitaka kujiingiza kwenye bifu lisilomhusu kwa kujikweza kwa ruge
HAHAHA ILA MILLARD WEW NI MSENGE UACHE KUFATA MIKUMBO USHAKUA UTWAMBIE KAMA AYO TV INAMILIKIWA NA LUGE UWEKE LUGE TV SIO UNAKUZA JINA KUMBE HUNA MAMLAKA NALO
King o Tv hata mimi nakosa raha cjajua nini tatizo, hata jana nimeingia instagram yake nimeuliza hili swali, ila hakujibu, cjui yuko likizo au wamepata msiba kama Mimi.
Kijana Matata tena mimi nafanya kazi kama punda, nimeamka saa kumi na mbili kasoro asubuh sassivi nimemaliza kazi naingia kuoga nisali ninyooshe nguo, nafanya kazi sana, we acha tu.
Nimesikia kama#Davido kasema new music coming soon akimaanisha kuna wimbo yeye na #Chibu unakuja au nimasikio yangu wakubwa naombeni aliyesikia vizur aniambie 😀😀
nimeipenda sana hii video Davido na diamond kwakweli nimefurahi sana, i wish if they do various artist like what they did in All i do is WIN WIN of T-pain, any way for those who love bongo movie, kwa wale waliopenda bongo movies, karibu sana kwenye channel yangu ya BONGO MOVIE asantehh
Julius Onesmo Mfumya hapo alikuwa hana jinc tu kwajili ya davido kapost ila hatampost diamond huyo... Hapo kaona acpo post itaonekana kambania davido so kapost kinafiki tu...
yaaani na kukaa kimya kuto kupost video za matukio ya mond na kubase sanaa kwa kiba Leo hii mkuu millady ayo umepost kwa Mara ya kwanza acheni utimu tunagandamiza mziki wetu clouds TV na FM mnachofanya mnajiribu kuua mziki wa nassibu Abdul lakin kwasasa mmechelewa jamaa kawa matawi ya juu nyimbo yake mmsipo ipiga clouds TV na FM basi wasafi TV watapiga👋👋👋👋❤
nilitoa subscribe yangu kwa milad coz ya kumchukia mchiz ngote but nou nasubscribe tenaa brother millad ulituvunja moyo mafans wakoo but all of that big up to you mambo ni🔥🔥🔥