Kwa mila na hashima za watanzania , mtu huwa haombi kushukuriwa kumbuka usemi "Tenda mema, nenda zako" Hakuna haja ya kujigamba na kuonyesha kuwa wewe ati ndiye wewe!
stop bulshit sugu you are just normal rapper,kuwepo zamani tuna ku appreciate for that pia stop using profane words like 'nigga'' 'shit' you are too mature now bro, watu wamekuja kusikiliza music na wameku respect so ondoa ishu za chadema sijui ccm deal na ishu ya entartainment iliyokuleta hapo sio siasa wameandaa hilo tamasha ili kusahau ugombanishi huo utokanao na siasa, pia hakuna asiyejua majina yako umeyataja lakini kuna mawili umeyaacha sa sijui umeyasahau au umefanya makusudi kuyaacha kumbuka jina lako la kwanza official lilikua ni 2 proud ukimwiga 2pac mwaka huo 96' ulipoona watu wamelistukia halina mvuto tena ukalifupisha Mr 2, nalo hujalitaja hilo, ulipoona nalo halina maana ukalibadili kimya kimya ukaanza kujiita Sugu, anyway you are not special na hii ndio maana miaka ile ulipokuja ushindani wa kweli toka kwa J, ukakimbia kumwogopa Njgga J wakati huo ukaacha mziki sababu ya kumuhofia J, usidhanie wote ni watoto kwamba hatukuwepo kipindi hicho, kuhusu ukongwe kwani we hauwajui jamani kuna Kwanza Nia,Hardblasters ya kina J etc kuhusu umilionea sasa hapo sijui utamshika nani masikio akusikilize wale mabraza wa Kwanza Nia waliondoka miaka mingi Europe uliwahi kujua kua uliwazidi kipato?? your english also still not cnnected ila wale mabraza wa KU Crew ndio wanaume sababu enzi hizo walikuwa wanaimba na kufree stlye kwa ngeli tu sio kiswahili we hujawahi kufanya hivyo Sugu, sikuchukii nakukubali na mpenzi wa kazi zako lakini punguza sifa za kijinga kwani utastahili ulirudie jina lako la kwanza 2Proud bro.
@@AdamMemba-ij6xr bwege kweli wewe sijui nini sasa kati ya hayo niliyoyasema? wacha kukurupuka sijasema mimikuwa ni mkongwe ila kwa sugu wakati anaanza nilikuwa namwona, halafu mi enzi hizo kwa taarifa yako nilikuwa sisikilizi nyimbo za kibongo sababu hiphop ya bongo imenikuta tayari nasikiliza na kuimba magoma yangu ya viwanja kama kina ice t,public enemy,queen latifa, dabrat etc na hadi tepu za miaka hiyo bado ninazo nimezitunza hadi leo magazeti ya source ya miaka hiyo ya 90 nnayo hadi leo sasa sijui unaposema najifanya una aanisha nni? sina maana kujua hivyo vitu vyoote eti mimi ndio mjanja, la hasha ni mtoto wa leo anapofungua simu au tv anakuta nyimbo ya diamond ataijua na kuimba nyimbo hizo za wakati wake sasa elewa miaka ya mwanzo ya 90 kulikuwa hakuna rap ya bongo bali kulikuwa na rap ya nje,ukitoa hiyo ukifungua redio ni pepe kale,sikinde ,bongoman,au hadija kopa ndio waliokuwa wanatawala wakati huo,hivyo mi kujua hiyo miziki ya nje na kuipenda haimaanishi im the baaddest nigga alive!! no! sababu hadi bolingo kaseti nilikuwa nazo pia so usikurupuke bro, sugu kakosea kwanza katukana hadharani pia katoka nje ya context hakutakiwa ailete ishu ya ccm na chadema hapo sababu leo hivyo vyama vipo na kesho vinaweza visiwepo,leo yuko chadema kesho anaweza akatibuana na wenzake akakimbilia act wazalendo.