Rostam ndio settup ambayo ina kila kitu kama mtu anapenda mziki Wana wanamorali smart hawalazimish audience ku acept ni automatic vibe ina sense kwa mind set za audince yenyewee Itachukua muda kuipata settup ya hivi kwa aina ya wasanii waliopo tz kwa sasa ambao wana uchu na pesa kuliko kujiimarisha kwanza ili pesa iendelee ku flow kwao My all time artist mpka nakufa ni hawa mabwana hta mnijie na bastola hapa mniue tu Roma plus Stamina hawa jamaa ni incredible 🎉kila siku kila saa ntawaskiza hata nikiwa naumwa nikiwaskiza napoma fasta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌👍🇹🇿
Hakika CLOUDS FM imekuwa Media kubwa kulingana na uongozi wake wandani na nje nawapongeza kwakweli kwakuleta mabadiliko makubwa katika Tasnia ya Habari mbali mbali#Mimi naitwa Meshack mitimali Makazi yangu naishi Mbeya jijiniNi muandaaji wa Hadithi zinazoishi za kale,za sasa na wakati mwingine naandika hadith za kufikilika sana Katika kazi yangu hiii nimeifanya miaka 8 sijapata mafanikio yoyoteSiku wakati naandaa Hadith yangu mpya Nikapata pia wazo ambalo ndilo hili naomba waungwana wangu mnisaidieNimeandika Story ambayo itaitangaza Tanzania kwenye uwanda wa film TanzaniaKaka zangu na Dada zangu naomba msikilize kilio changu Nina hadithi/cinema nzuri ambayo nahitaji kuifanya Msaada wenu naomba jamani Meshackmitimali@gmail.com0712888981
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz