Тёмный

Tazama Walichokifanya Roma na Stamina (ROSTAM) kwenye Jukwaa la Tigo Fiesta Kahama (HD) 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 163 тыс.
50% 1

Perfomance ya Roma na Stamina Tigo Fiesta Kahama 17 Sept 2018
#Tumekusomaa

Опубликовано:

 

17 сен 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 113   
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 лет назад
awa majama kama unawakubari embu gonga like apa tendwe sawa
@ketsonempire
@ketsonempire 4 года назад
Wasanii wangu hawa show za huwa zimeshika kweli ... Naaamini ipo siku tutapangisha show mje mtetemeshe huku 254 #stamina #Roma #rostam
@soipei3359
@soipei3359 6 лет назад
Wasanii Wangu wa all the time #ROMA #STAMINA #MR_BLUE hakuna Kama hawa jamaa kwenye show
@jongosudi8611
@jongosudi8611 5 месяцев назад
Rostam ndio settup ambayo ina kila kitu kama mtu anapenda mziki Wana wanamorali smart hawalazimish audience ku acept ni automatic vibe ina sense kwa mind set za audince yenyewee Itachukua muda kuipata settup ya hivi kwa aina ya wasanii waliopo tz kwa sasa ambao wana uchu na pesa kuliko kujiimarisha kwanza ili pesa iendelee ku flow kwao My all time artist mpka nakufa ni hawa mabwana hta mnijie na bastola hapa mniue tu Roma plus Stamina hawa jamaa ni incredible 🎉kila siku kila saa ntawaskiza hata nikiwa naumwa nikiwaskiza napoma fasta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌👍🇹🇿
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 лет назад
This is braki aidiaa mmetishaaa
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 лет назад
Safi sana naaaminia hip hop ROM tishaaa mbaya.
@allybububu9757
@allybububu9757 6 лет назад
rostam mmetishaaaa
@tinajohn5260
@tinajohn5260 6 лет назад
Noma sana
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 года назад
2020 south Africa Cape town
@teddykrekamoo1051
@teddykrekamoo1051 6 лет назад
Aiseee show ilibamba ile mbaya 🙌
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 6 лет назад
romaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tisha sanaaa
@jacksonninja4380
@jacksonninja4380 6 лет назад
mwakubal xnaaaa💪💪💪💪
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 6 лет назад
Wanajua ku organize Sana show Hawa jamaa
@dullahmmbai9357
@dullahmmbai9357 6 лет назад
hatareee sana
@naomimajura7640
@naomimajura7640 6 лет назад
Duuuuu show Kali adi raha
@johnjumatatu127
@johnjumatatu127 6 лет назад
WAKALI wa tanzania forever
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 6 лет назад
Roma kaka mlijuaje we na stamina mnaendana kupiga kaz, ni sheedah
@hamismisana9300
@hamismisana9300 6 лет назад
moto kama fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥👈👈
@jaystar1004
@jaystar1004 6 лет назад
#Rostam🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@chidikenadeking8578
@chidikenadeking8578 5 лет назад
Nawapenda stamina n Roma pia Mr.blue
@malulujr
@malulujr 6 лет назад
show Kali kinyama
@mursilmursal
@mursilmursal 6 лет назад
Hizi ndio ngoma
@lovenessmpuya7198
@lovenessmpuya7198 6 лет назад
Nice
@abdalathuman5037
@abdalathuman5037 6 лет назад
Hatar sana
@jacksonmgitaabwiro7681
@jacksonmgitaabwiro7681 6 лет назад
Rostam...Nyie hatarii sana
@kalembojunior8834
@kalembojunior8834 6 лет назад
rostam. hataree sana
@patrickmgata445
@patrickmgata445 6 лет назад
Hatari sana
@promramson80
@promramson80 6 лет назад
wametisha
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 6 лет назад
me napita naenda zangu Ivi ni Zimbabwe au wapii nimeshasahau hata...
@ibndaxe11
@ibndaxe11 6 лет назад
Perfect combo
@dalizotz9802
@dalizotz9802 6 лет назад
Tishaaaaaaaaaaaa
@joachimjohn1188
@joachimjohn1188 6 лет назад
dah siku zote vibe la hiphop ni kwere
@georgepoka7446
@georgepoka7446 6 лет назад
Fiesta bila rostam .....ainogi
@kekiklion5247
@kekiklion5247 6 лет назад
Daaah.... Nilianza kwa mzuka nimemaliza kwa KULIA
@kendothemusic8367
@kendothemusic8367 6 лет назад
Tammmm iyoooooooo
@swidatyomary1380
@swidatyomary1380 6 лет назад
Njoon bukoba jamn
@jaybchaponda6886
@jaybchaponda6886 6 лет назад
Nawapenda je mie
@alexchilendu5958
@alexchilendu5958 3 года назад
Saf sana %%
@victorsomba867
@victorsomba867 6 лет назад
September 2018 ???? Mwandishi nimekuogopa ghafla tu
@jacklineoscar5049
@jacklineoscar5049 6 лет назад
Noma can
@saskowell4061
@saskowell4061 4 года назад
Rostam Ni Hatari Sana
@juvenalymnyama735
@juvenalymnyama735 6 лет назад
Rostam ni sheeedah viva hip hop
@yusuphkirungi373
@yusuphkirungi373 6 лет назад
Roma ni nouma ktk jukwaaa
@hawaomarabdishakuru4689
@hawaomarabdishakuru4689 5 лет назад
Tisha kinomaaaaaaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@buye5436
@buye5436 6 лет назад
Rock. 🌟✨
@hansclever334
@hansclever334 6 лет назад
Hip hop ndio mziki show Kali na ya kibabe
@ernestkiluti5986
@ernestkiluti5986 5 лет назад
ndo najua kua roma shda
@kasaloojunior5939
@kasaloojunior5939 6 лет назад
Kiukweli Kwa Upande Wangu Nafikiri ROMA Hii Apa ALIIPANIA Sana KAMA Anashout Hivi Sio Kwa UBAYA Mi Naona Hivi..
@anthonyluganje8367
@anthonyluganje8367 3 года назад
Roma mkali namkubali Sana Rostam
@senzojackson3899
@senzojackson3899 6 лет назад
kama roma yupo na stamina lazima nitinge mwanza
@maxmilliangeofrey3957
@maxmilliangeofrey3957 6 лет назад
roma ni hatari sana kwenye huu mziki
@danielnyambu2862
@danielnyambu2862 3 года назад
Huku ama kule Roma 💪 Stamina 👊
@MarickyTv
@MarickyTv 6 лет назад
2018?
@abrahammnyavanu4444
@abrahammnyavanu4444 6 лет назад
romaaaa mzukaa eeeeeeeh
@djb2kzer0
@djb2kzer0 6 лет назад
Yaani tz bila hao hip hop zero in tz
@fdkdonard8489
@fdkdonard8489 6 лет назад
hakuna fanani bila ya hadhira #rostam mmeua
@official_ya13
@official_ya13 6 лет назад
Stamina cku nyingine mlete killer msodoki maan mkiw wa3 itakuw hatar saaaaana
@henrymasunga8992
@henrymasunga8992 6 лет назад
,,,#rostam mmetishaaaaaaaaaa
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 4 года назад
Ingekuwaje kama angekuwa Roma + Darassa=RoDa
@gervaspaul2018
@gervaspaul2018 6 лет назад
Stamina sjampatia picha
@samwelmbeye3390
@samwelmbeye3390 6 лет назад
DAT we call real hiphop
@husseingwanone7887
@husseingwanone7887 6 лет назад
Roma muacheni
@hamisiseleman5426
@hamisiseleman5426 6 лет назад
Dunia khatar
@pascalnguruka9984
@pascalnguruka9984 6 лет назад
Kwenye jukwaa wanaojua kulishambulia vilivyooo ni Mr blue Roma Stamina
@saviongaila3546
@saviongaila3546 6 лет назад
100%
@annacarlos7925
@annacarlos7925 6 лет назад
Mmetisha kweli simba na yanga
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 6 лет назад
DJ unamzuka mpaka mzuka Mara paaaaaaa tunaisubiri Swanga aka swax city Sumbawanga
@georgerubeni3605
@georgerubeni3605 6 лет назад
rostam big up san
@kodipukupuku5340
@kodipukupuku5340 6 лет назад
wala kijani
@dicksonmarwa3245
@dicksonmarwa3245 6 лет назад
Romaaaàa
@castormpunga528
@castormpunga528 6 лет назад
performanc nzur kinoum
@sabrasaid6842
@sabrasaid6842 6 лет назад
Moro iweza moro mororoo hip pop on fireeee
@livionemwangemile4950
@livionemwangemile4950 6 лет назад
roma wewe atali unatisha
@mswahilidsm9213
@mswahilidsm9213 6 лет назад
claus tuleteen ivo viumbe DOM CITY N SHEEEDAH NAZEE
@JonathanChuwa
@JonathanChuwa 6 лет назад
Mi ukinikata damu yang ni Lowassa mtupu..... Shangwe la hapa duh
@missagatha1756
@missagatha1756 6 лет назад
Hahahaaa eti wanajidai marasta halafu wanakula hadi nyama ya chura nomaaa sanaaa
@alexkilolo5032
@alexkilolo5032 6 лет назад
hatari sanaaaaaaa hawa raia
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 6 лет назад
Kumbe Shetani anamashabiki Weng, sana
@mango.jayzo.
@mango.jayzo. 6 лет назад
hta wew ni muongoni
@mtoroonetv9621
@mtoroonetv9621 6 лет назад
Mbugo Kilonda Una maana gani ndugu
@mwebraniaonline7001
@mwebraniaonline7001 6 лет назад
wemwenyewe nishabiki ndomana umeangalia.!!!!!!!!!!!!!!!
@mwinyihamisidee5813
@mwinyihamisidee5813 6 лет назад
Mbugo Kilonda wewe wafanyaje
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 6 лет назад
+Masangu John Dee Mimi niko na mungu muda wote, swala 5: Ujinga Kama huu Siwezi kuusaport hata kidogo
@kodipukupuku5340
@kodipukupuku5340 6 лет назад
mkopoa wazee
@wilhelmibaganisa8143
@wilhelmibaganisa8143 6 лет назад
#Lowasaaaa kapata shangwee hatari
@enockaugustino9367
@enockaugustino9367 6 лет назад
sema nn.. hawajamaa wananipa fumbo moja hivi.. vip youngkiller & youngdee wakipanda jukwaani itatokea nn
@cholokanji7139
@cholokanji7139 6 лет назад
simba inawashabiki wengi tz
@denismakweba3870
@denismakweba3870 6 лет назад
yan nkubali show ya Roma+ Stamina nibalaaaaaaaaaah Regret ukikosa show zaoooooooh
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 6 лет назад
wanatisha hapa nje ila mbona hawatoki nje ya nchi ? wakapige show
@hemedytz3013
@hemedytz3013 6 лет назад
jaman sapot zenu tunaimba lakin 0655177067
@newsconnect1763
@newsconnect1763 6 лет назад
Hakika CLOUDS FM imekuwa Media kubwa kulingana na uongozi wake wandani na nje nawapongeza kwakweli kwakuleta mabadiliko makubwa katika Tasnia ya Habari mbali mbali#Mimi naitwa Meshack mitimali Makazi yangu naishi Mbeya jijiniNi muandaaji wa Hadithi zinazoishi za kale,za sasa na wakati mwingine naandika hadith za kufikilika sana Katika kazi yangu hiii nimeifanya miaka 8 sijapata mafanikio yoyoteSiku wakati naandaa Hadith yangu mpya Nikapata pia wazo ambalo ndilo hili naomba waungwana wangu mnisaidieNimeandika Story ambayo itaitangaza Tanzania kwenye uwanda wa film TanzaniaKaka zangu na Dada zangu naomba msikilize kilio changu Nina hadithi/cinema nzuri ambayo nahitaji kuifanya Msaada wenu naomba jamani Meshackmitimali@gmail.com0712888981
@promramson80
@promramson80 6 лет назад
shoo ndowanaibeba hawa
@baddynapenya7815
@baddynapenya7815 6 лет назад
Najitaidi kunusia munamopita hadi kiyeleweke
@allystandardtz8017
@allystandardtz8017 5 лет назад
Wcb chuma chaleli
@abdalathuman5037
@abdalathuman5037 6 лет назад
Munaelew mnacho kifanya
@michaelmchodo4887
@michaelmchodo4887 6 лет назад
stamina mzuka unakuzidi kiasi flani mpaka mashabiki wanakua hawakuelewi
@tripple_jonline5741
@tripple_jonline5741 6 лет назад
Mafundiiiiiiiiiiiiiii
@januarykanijo1245
@januarykanijo1245 4 года назад
kakawa
@qaraiserq6532
@qaraiserq6532 6 лет назад
Hawa ndo wasanii wa kulipwa pesa nyingi
@Kingvictorentertainment2023
@Kingvictorentertainment2023 6 лет назад
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz
@shaibumahanda6501
@shaibumahanda6501 6 лет назад
rostam inaua makund yote ya hiphop tz hamna weus wala weupe hapa n rostam2
@missagatha1756
@missagatha1756 6 лет назад
Shaibu Mahanda Hahahaaa umeona eee wala wekundu hakunaa
@alhajisalehe5126
@alhajisalehe5126 6 лет назад
Hilo shangwe baada yakutajwa Lowassa ndo imenichosha tu
@patrickjohn2516
@patrickjohn2516 5 лет назад
Kwa nn brooo
@didamugya6039
@didamugya6039 6 лет назад
leta difenda,... leta wajeda
@monicasweetbert958
@monicasweetbert958 6 лет назад
dida mugya nice
@barnabasdavid848
@barnabasdavid848 6 лет назад
m.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Y4SvnGDNKXs.html kama shabiki wa ROSTAM bonyeza link hii ujionee balaa
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 6 лет назад
Hakuna cha difenda watimba na Noah ukasanda broo
@mtoroonetv9621
@mtoroonetv9621 6 лет назад
Noma sana
@Kingvictorentertainment2023
@Kingvictorentertainment2023 6 лет назад
mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz
@joohcloudy738
@joohcloudy738 6 лет назад
apo mbn kwenye lowassa na simba shangwe jingi....ila me yanga na simwelew john kimambi
Далее
#ROSTAM watunishia kwa Maua #Arusha
16:58
Просмотров 22 тыс.
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 30 млн
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030
35:25
Просмотров 778 тыс.
PROF JAY, FEROOZ Walivyowasha MOTO WASAFI FESTIVAL DSM
16:52
Balaa la Mr. Blue Tigo Fiesta Kahama
17:28
Просмотров 128 тыс.
WEUSI - Wapoloo (Official Music Video)
5:06
Просмотров 895 тыс.