Тёмный
No video :(

THE CLASSIC MASANJA PART 3 EP 1:NILIKUA MJANJA KULIKO JOTI NA MPOKI/ BAMBO ALINIRUDISHA UBARUKU 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Hdithi za kusisimua za Masanja Mkandamizaji zinaendelea ,amekua msanii wa pili wa kufika for part 3 ukiacha Mandojo na Domokaya ambao ndio pekee kufanya hivyo,Masanja anaendela kutupa hadithi ya kusisimua kuhusu maisha yake mpaka alipfika sasa

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 6 месяцев назад
Elimu tosha kwa wapambanaji wengi tulio underground bado 🎉🎉
@AdolphKankuba
@AdolphKankuba 6 месяцев назад
Daaah 😂😂😂uko vzr Sana yaan Kuna vitu najifunza kutoka kwako
@kilimajohn5600
@kilimajohn5600 6 месяцев назад
Dah hayo maisha noma sana nakumbuka enzi zangu za kutembea kwa mguu tabta to sinza noma saaa 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@user-qm8do1cr7u
@user-qm8do1cr7u 6 месяцев назад
The long waiting is finally over ❤
@RajabuSamasi-lx8vl
@RajabuSamasi-lx8vl 6 месяцев назад
Nimechelewa kidogo gongen like
@kelvinmkuye6927
@kelvinmkuye6927 6 месяцев назад
Nlikua nasubilia kama Interview ii kama navosubilia umeme😂😂Thank you mtangazaji na sana sana tena sana kwa masanja kwakukubali kuendelea kutufunza
@immabahatiimmabahati2373
@immabahatiimmabahati2373 6 месяцев назад
Kaka vip mzima kaka broo naomba namba za masanja
@dorislyimo8621
@dorislyimo8621 5 месяцев назад
Nimecheka sana 😅😅😅😅😅jamani Masanja ni nomaaaaa!Very good interview and very inspirational aiseeee😂...Loved every word of it!❤ila Mbavu zinauma kwa kucheka....dah!noma sana😂😂😂😂😂😂
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 6 месяцев назад
Sauti ya msimliaji ni hatari sana😂😂😂😂
@kingcole60
@kingcole60 6 месяцев назад
Masanja ana vitu vingi sana, anahitaji kutoa documentary
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 6 месяцев назад
Unanipa nguvu ya kupambana kaka na kutokukata tamaa.Best inspirational speech
@silashemed4849
@silashemed4849 4 месяца назад
Masanja ana kumbukumbu,mbaya. kwel nimejifunza kitu
@user-kk7re2jl8y
@user-kk7re2jl8y 6 месяцев назад
Kaka kaka nakwita tena kaka nakuomba we mwislamu mwenzangu fanya juu chini nakuombea sana umtafute gwamaka kahiyura. King crazy GK moja kati ya watu muhimu sana japo awasemwi
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
salaam kaka,kwanza usihusise dini na hivi vitu inakua si sawa,lakini pili Gk nilmualika hakufika mwenyewe siku hiyo tuka cancel mahojiano na ilkua mbaya sana,lakini yamepita hayo tutajaribu kumuomba afike tena kama hatajali.
@user-kk7re2jl8y
@user-kk7re2jl8y 6 месяцев назад
@@KuviFacts oooh nisamehe ndgu yangu ni mgeni katika Imani ndo maana nilishazoea mambo yetu yakiyaudi ok basi mtafute jay moe
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 5 месяцев назад
Kwani ulikuwa imani ip
@user-kk7re2jl8y
@user-kk7re2jl8y 5 месяцев назад
@@roberttagaya9098 mkristo
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 5 месяцев назад
🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️ Hajielewi
@sangomacmc3558
@sangomacmc3558 5 месяцев назад
Huyu jamaa ana kipaji mno💯 👏👏👏
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 4 месяца назад
😂😂kwakweli Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana.maisha niivo mapito kwa Mungu yanawezekana
@hawasalim2180
@hawasalim2180 6 месяцев назад
Toka mwanzo nipo nae had tamati nafurahishwa..na huzunika na ninaelimika pia ......asnt masanj
@AgnesYoram-mc5cr
@AgnesYoram-mc5cr 5 месяцев назад
Yas YESU anaokoa anaponya anabariki
@selemanimsangi7805
@selemanimsangi7805 6 месяцев назад
Naikumbuka hiyo movie ilikua inaitwa She is my sister 😂😂😂
@tofatofali9803
@tofatofali9803 6 месяцев назад
Sio dar to Lagos mkuu
@stevewanga957
@stevewanga957 6 месяцев назад
Huyu jamaa hachoshi Wallah😂😂
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 6 месяцев назад
Yaaan Masanja huwez kuchoka kumsikiliza, nikiwa bored narudia interview zake tangu ile ya part 1
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
🫡
@MenejaCossie
@MenejaCossie 6 месяцев назад
Pamba Nyepesi💣💣
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 6 месяцев назад
Yaan Bro.Jabir Salehe utakumbukwa kwa kutunza history ya Wakongwe wa Sanaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
Asante sana
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 5 месяцев назад
@@KuviFacts Pamoja Kaka
@egnokapinga16
@egnokapinga16 6 месяцев назад
😂😂😂huyo jamaa anafurahisha sana😂😂
@isacksamuel5503
@isacksamuel5503 6 месяцев назад
one and only mkandamizaji
@hawasalim2180
@hawasalim2180 6 месяцев назад
Na enjoy na life yake
@tasukutechnologies2573
@tasukutechnologies2573 6 месяцев назад
Masanja azisha podcast yako itashika sana
@NguyaPlanB-wn3yy
@NguyaPlanB-wn3yy 6 месяцев назад
Alud tena
@geffects1141
@geffects1141 6 месяцев назад
Mkandamizaji namkubali kinoma 🎉🎉🎉
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 6 месяцев назад
Jamaaa anajua sana
@herrykapinga1084
@herrykapinga1084 6 месяцев назад
Pamoja sana
@imaiskaka8305
@imaiskaka8305 6 месяцев назад
nilikuwa nawaza lini atarud studio 🎉🎉
@vickysteven1172
@vickysteven1172 5 месяцев назад
Aisee tunapokuona leo tunakuona kama umefanikiwa from no ware
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 6 месяцев назад
Big up kwa muendelezo
@JamesJoseph-vd7ep
@JamesJoseph-vd7ep 6 месяцев назад
hapo sawa sawa
@msabatozeson9023
@msabatozeson9023 6 месяцев назад
Jamaa hachoshi kumsikiliza bando liliisha ningaunga juu kwa juu na mpesa
@CheerfulFish-pq8qs
@CheerfulFish-pq8qs 6 месяцев назад
Byee byee
@sjaykigomatz
@sjaykigomatz 5 месяцев назад
Pamba Nyepesi kali
@ticianmarando9027
@ticianmarando9027 6 месяцев назад
part 4 ijee
@meddymachozy1815
@meddymachozy1815 5 месяцев назад
Tuliisubiri Sanaa hiii🤣🤣
@Extension4353
@Extension4353 5 месяцев назад
Legendary anaogopa kamera,, Angalia mbele wewe
@jameshagwe3063
@jameshagwe3063 6 месяцев назад
Pamba nyepesi ilikua noma
@jamesngaita4836
@jamesngaita4836 6 месяцев назад
Pamba nyepesi
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 6 месяцев назад
Hii interview nimeingoja sana
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 5 месяцев назад
Hapo kwenye msosi kwa Mtitu😂
@malungamtoro9047
@malungamtoro9047 6 месяцев назад
Nimeisubirii hiii atar
@hamphreyalfred1156
@hamphreyalfred1156 5 месяцев назад
Mambo vipi dodoma sipati radio kabisa tatizo nini
@RashidiIruma
@RashidiIruma 4 месяца назад
Sehemu ya nne itakua lini nasubiri kwa hamu sana
@12322879
@12322879 6 месяцев назад
Mungu fundi sana,leo una pesa kuliko Mtitu 😂
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto 6 месяцев назад
Noma Sana chamsingi tusikate tamaa
@yrwa313
@yrwa313 6 месяцев назад
🎉🎉🎉
@homan_nkwama
@homan_nkwama 5 месяцев назад
Masanja apewe session kumi TUNATAKA SESSON na iitwe mkandamizaji
@hadserhood2823
@hadserhood2823 6 месяцев назад
Biyebiye
@user-vw7xw5tq2k
@user-vw7xw5tq2k 5 месяцев назад
Hyuu jamaa huchoki kumsikiliza pia stor zake zinamafundisho makubwa kwa jamii apewe mda hata mpka part 10 frsh tuu
@innocentmathias8668
@innocentmathias8668 6 месяцев назад
😅hiyo sehemu ya njaaa nmecheka aisee
@abdalamhamed3586
@abdalamhamed3586 5 месяцев назад
Inawezekana hii ndio interview bora kuwa kutokea
@christinayamo7861
@christinayamo7861 6 месяцев назад
❤❤❤❤
@mycolumic20
@mycolumic20 5 месяцев назад
Icho kibena ndio nimekielewa na mimi wa ludewa
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 6 месяцев назад
NISIWE MUONGO MI NAFATILIA SANA GAME.,, ILA SIJAWAH TOKA KWANGU NISEMA NAENDA KWENYE SHOO....HIYO HAIPO
@anoldrwehabura7795
@anoldrwehabura7795 6 месяцев назад
pamba nyepesi
@lekashunkirwa4805
@lekashunkirwa4805 5 месяцев назад
Naomba aje baada ya miaka miwili
@stevewanga957
@stevewanga957 6 месяцев назад
Joti mlete😅
@Globaletz
@Globaletz 5 месяцев назад
😂😂😂kmmkee 🫡
@dicksonmichael5793
@dicksonmichael5793 6 месяцев назад
Tunaomba muwe mnazingua ivo background sound ili wenye matatizo ya maskio inanisumbua tukashindwa kusikia anachozungumza ,namba kuwasilisha
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 6 месяцев назад
Mlete huyo bambo
@kagirasta1476
@kagirasta1476 6 месяцев назад
😀😀 masanja safi sana
@MrMasterMathew
@MrMasterMathew 5 месяцев назад
Pamba nyespesi
@barakaclement7754
@barakaclement7754 5 месяцев назад
😅
@abuuarushadawg7158
@abuuarushadawg7158 5 месяцев назад
Yani ni bye bye, lete tye tye.. byebye hatari bhana
@makamekombo8278
@makamekombo8278 5 месяцев назад
Bye bye
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 6 месяцев назад
Ingia RU-vid andika mams kiumbe -kabila gani wimbo wangu mpya sapoti yenu ndoo kila kitu kwangu
@mellahcoffee
@mellahcoffee 6 месяцев назад
Eti njaa haina chakupata
@Shalom2018
@Shalom2018 6 месяцев назад
Mbona fupi?yaani Masanja unanipunguzia stress kwa kweli,sitamani hata kipindi kimalizike.from Nederland
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 4 месяца назад
Bro this guy have more to tell, please Give time for the rest to learn
@user-ki5rd5id2k
@user-ki5rd5id2k 6 месяцев назад
San
@mwanakitenge
@mwanakitenge 6 месяцев назад
Tunaomba hiki kipindi kiwe endelevu jamani mi ninaimani masanja haishiwi story yani tunataka atuhadisie story yake mbaka hapo ilipofika sasa
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 6 месяцев назад
Lipokuwa kijiwe samli pale kabla filamunyako kushirikishwa ya itunyama na director gumbo Wacha dharau zako za kijingajinga hata snura anajua
@asiajuma5560
@asiajuma5560 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@findleybingham4047
@findleybingham4047 5 месяцев назад
'Promo SM' 😩
@chax255
@chax255 5 месяцев назад
Ichi anaongea ni kikinga/kipangwa/kibena? Mbona kama naelewa kila neno anaongea
@brownjustin2924
@brownjustin2924 5 месяцев назад
Kibena
@smartgeoffrey9550
@smartgeoffrey9550 5 месяцев назад
Bye byee
@hamisiseiph2233
@hamisiseiph2233 5 месяцев назад
Pamba nyepesi
@kalis1115
@kalis1115 4 месяца назад
Masanja mbavu zangu wewe. Sije nikapelekwa moi# kwenye msosi kwa mtitu hapo
@elgringogringo5238
@elgringogringo5238 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@jumasayisholee2236
@jumasayisholee2236 5 месяцев назад
pamba nyepesi
@user-vz3eh2ym9u
@user-vz3eh2ym9u 5 месяцев назад
Pamba nyepes
@vickysteven1172
@vickysteven1172 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@vickysteven1172
@vickysteven1172 5 месяцев назад
😂😂😂😂
Далее
CHEKESHA : KIKAO KIFO CHA BOSS / MASANJA / MPOKI
32:06
Просмотров 108 тыс.
MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
43:52