Тёмный
No video :(

THE CLASSIC SAIGON PT 2 EP1:MICHANO MWANZO MWISHO/AFAFANUA UTATA WA KUIGA JINA LA SAIGON WA MAREKANI 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Hii ni sehemu ya pili ya mazungumzo na moja ya wanahihop bora wa muda wote na mkongwe Saigon ambapo katika episode hii anaanza kwa kuonesha uwezo wake wa ku freestyle,pia amegusia point muhimu kuhusu uhalali wa jina lake kufanana na rapper mwingine wa markani mwenye jinal la Saigon ambae wiki moja iliopita alilamika kuchukuliwa jina lake baada ya kuona mahojiano yetu

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@deusfrancis3138
@deusfrancis3138 2 месяца назад
I can listen to Saigon 24/7…✍️ Nigga got brains, bars, flows, vibes, aura, personality you name it all…🙌🔥, he’s prolly too smart for this generation… They’ll surely miss him when he gone🙌
@angedizzle1
@angedizzle1 2 месяца назад
Tuliomuona Saigon toka akiwa yanki wa Tambaza tujuane.
@Chemba67
@Chemba67 2 месяца назад
Nikiwa form 1-Njuka 94😃
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 2 месяца назад
Saigoni ngeli kimasta lafudhi flavalistic
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 2 месяца назад
Huyu jamaa ni shule "no poverty is hard than ignorance" ni bar naishi nayo siku zote ikiniongoza kwenye mitikasi yangu
@Lg4343
@Lg4343 2 месяца назад
Hakika huyu faza ni Hazina kwa taifa
@Lg4343
@Lg4343 2 месяца назад
ngoma yake poverty ndio alitema sana shule
@Basagamp4
@Basagamp4 2 месяца назад
Yaah man Yaah man... Kuvichaka Kuvi Masuti.....Respect Our Big Brother
@maarifanac
@maarifanac Месяц назад
Ooiii,,mzuka,,,kalinye,, Haya maneno nafikili huyu ndo kayaleta 🔥🔥
@EricksonBisakala
@EricksonBisakala Месяц назад
My brother Kuvi, you are doing a real great Job asee, We get knowledge about Bongo Hiphop na mziki wetu kwa ujumla nawaza kwanini tusianzishe maktaba ya Historia ya Muziki wetu, watu kama hawa akina Saigon, wana historia ya muziki wetu wenye vitu vingi asee.
@NotiAbdullah-d1f
@NotiAbdullah-d1f Месяц назад
We had one Saigon in Tanzania that is Saigon kalinyee oooiii
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 2 месяца назад
Dah am so HAPPY TO HEAR 👂 AGAIN saigooooon He is best mc ever to date Oya nimefurahi sana leo
@christopherjames3684
@christopherjames3684 2 месяца назад
Mkongwe kabisa kwenye utamaduni huu wa hip hop.
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 2 месяца назад
Saigon shule imelala kinoma
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 2 месяца назад
Saigon said: NINI MWANADAMU TONE LA MANII... that hits hard, ngoma inaitwa SOMA
@ambelebravo8074
@ambelebravo8074 2 месяца назад
Saigon master
@AzizDhahabu-ib5ci
@AzizDhahabu-ib5ci 2 месяца назад
Kuvichaka good job mzee Saigon e bwana daah
@therevolutionbrandtanzania4909
@therevolutionbrandtanzania4909 2 месяца назад
DPT for life oooii🗣️
@mwafrikabarz4507
@mwafrikabarz4507 2 месяца назад
SAIGON KALINYE KALINYE A.K.A TANGANYIKA HIP HOP FIGURE*BLESSED MC
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr 2 месяца назад
Big up sana kuvi unatupa vitu adimu sana ambavyo hatuwez kuvipata anywhere else....salute bro kaz nzur
@KuviFacts
@KuviFacts 2 месяца назад
Pamoja sana brother
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 2 месяца назад
saigon. arud kwa game
@itspatricklucas
@itspatricklucas 2 месяца назад
Del PLoW MaTZ
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk 2 месяца назад
Namkubali sana SAIGON NAMWITA TITCHAAAAAAAAA TANGU KTAMBOOO
@westcijosh
@westcijosh 2 месяца назад
Saigon Legend
@antonybmwanyalo3576
@antonybmwanyalo3576 2 месяца назад
Chuma yuko vizuri bravo saigon
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 2 месяца назад
Word is Bond coming from the Underground 🇰🇪
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 2 месяца назад
14:53 the Icon akishidwa na defender ajaribu kwa Kaladinga kama anaweza 'atatiwa adabu😂
@triga24x
@triga24x 2 месяца назад
Eeh bwana daah
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 2 месяца назад
Aajib sana
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 2 месяца назад
Hujazeeka mzee nini siri ya kuishi bila uzee
@nicksoncharles-kx3gr
@nicksoncharles-kx3gr 2 месяца назад
Dameeeeeeeeeeee a.k.a kuvumisutiiiii
@KuviFacts
@KuviFacts 2 месяца назад
Ooooooiiiiii
@gnmbi
@gnmbi 2 месяца назад
Barozi ana sound kama prezoo hivi kimtindo
@saidulaya7308
@saidulaya7308 2 месяца назад
EBWANAAAA DAAAH😅
@hadserhood2823
@hadserhood2823 2 месяца назад
Saigon tafuta redio uanzishe kipindi cha hip hop we ni kipaji
@kingtoldipset7050
@kingtoldipset7050 2 месяца назад
Kwani Majizo haoni kipaji cha huyu SAIGON ?? Au ni kujitoa ufahamu tu? AMpe kipindi cha TV hapo cha HIPHOP BASE mwana anajua sana sijaona kama yeye TZ nzima
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 2 месяца назад
SAIGON 👍
@muddylikwena128
@muddylikwena128 2 месяца назад
Ndio maana kizazi kipya kilipenya..mbele ya taarabu,boringo na dance yetu....na ukaja kuwa mkubwa..kwa kupitia hawa watu
@kingtoldipset7050
@kingtoldipset7050 2 месяца назад
MANENO YA BALOZI DOLA SOL YAMENIHUZUNISHA NA KUNIPA HASIRA SANA 😢 ..... NI UKWELI MTUPU ASEE
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 2 месяца назад
Oiiiiiiiiiii… ndo mana kala alitumia hili neno kwenye wimbo wa Mstari wa mbele
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 месяца назад
"Suuuu dem pipol" 😂
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 2 месяца назад
Oi... Oi..oi..oi..😂
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t 2 месяца назад
Oiii
@kingtoldipset7050
@kingtoldipset7050 2 месяца назад
Kwani Majizi haoni kipaji cha huyu SAIGON ?? Au ni kujitoa ufahamu tu? AMpe kipindi cha TV hapo cha HIPHOP BASE mwana anajua sana sijaona kama yeye TZ nzima
@kingtoldipset7050
@kingtoldipset7050 2 месяца назад
Kwani Majizi haoni kipaji cha huyu SAIGON ?? Au ni kujitoa ufahamu tu? AMpe kipindi cha TV hapo cha HIPHOP BASE mwana anajua sana sijaona kama yeye TZ nzima
@samwelmurro3498
@samwelmurro3498 Месяц назад
Huyo ni muanzilishi wa vipindi vya miziki ya hiphop EATV huyo ni myangazaji mkongwe ameamua kuacha
Далее
Mkasi - SO4E03 with Saigon
28:08
Просмотров 79 тыс.
Yana bir yangi qo'shiq YORAM BIYO | Yaqin kunlarda
00:57
CHEKESHA : MSOMI ALIYEPITILIZA | MPOKI NA MASANJA
9:05
Story za Mulla with SAIGON
13:57
Просмотров 1 тыс.