Тёмный

THE REAL TALK: Je ni Sawa MWANAMKE Kumuomba Mwanaume NDOA? 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 5 тыс.
50% 1

Hii ni 'Safe Space' Ambayo Wanawake / Wasichana (Hata Wanaume) Wanaweza Ku-share Mawazo Yao kuhusu Mambo Mbalimbali Yanayoendelea Kwenye Jamii yetu Kila Siku
Kutana na Kayla Medy na Khadija Mzee Ambao Wapo Tayari Kushare na Wewe Expirience Yao Katika Masuala Mbalimbali Kama Mapenzi na Mahusiano, Urembo, Elimu, Bata na Mengine Mengi. Hii ni THE REAL TALK YA WASAFI TV (Tazama Kila JUMATANO Saa Tatu Kamili Usiku on Wasafi TV)
THE REAL TALK: Je ni Sawa MWANAMKE Kumuomba Mwanaume NDOA?
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 5 месяцев назад
Mngekua mnawaita watu wa ndoa nyinyi muulize maswali ingependeza kuliko kuchambua nyinyi amjaweza bado au caura atoke aingiee mtu mzma
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 5 месяцев назад
Khadija yupo vizuli kuliko caira analinga frani ivi
@user-jr1nf8sz1u
@user-jr1nf8sz1u 5 месяцев назад
Safi sana hikikipindi kizuri kwel
@ashahassan2120
@ashahassan2120 4 месяца назад
Mmpendeza sana warembo
@KhatibKhalfan
@KhatibKhalfan 5 месяцев назад
Na boss wenu pia muulizeni ataowa lini mana kashawachezea wengi
@saidibrahim2375
@saidibrahim2375 5 месяцев назад
Masha Allah mume pendeza
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 месяцев назад
Naam inajuzu mwanamke kumwambia mwanaume amuoe
@user-rg1jq4pg8v
@user-rg1jq4pg8v 5 месяцев назад
Nawapongeza kwa namna mnavyoelimisha
@fahadmohd2633
@fahadmohd2633 5 месяцев назад
Khadija mzee & kayla kipindi ni 🔥🔥🔥
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 5 месяцев назад
Mashallah
@wardawarda6535
@wardawarda6535 5 месяцев назад
❤❤
@juma3473
@juma3473 5 месяцев назад
Assalamu alaykum ndiyo sahihi wapenzi wangu 😊
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 месяцев назад
MWANAUME UNAWEZA KUJISAHAU,,MWANAMKE AKAKUKUJUMBUSHA TU,,ILA SIO KAZI YAKE,,,,MWANAUME NDO ANA MAAMUZI YA MWISHO
@nasoropori6892
@nasoropori6892 5 месяцев назад
Bado mna utoto mwingi icho kipindi sio saizi yenu tafuteni plan nyingine.
@youdya
@youdya 5 месяцев назад
😂😂😂
@Mimy_keys
@Mimy_keys 5 месяцев назад
Ata mm sija wakubali kbs 😅😅😅 Hawana points za msingi 😂😂😂
@TEDY-MTEMY24
@TEDY-MTEMY24 27 дней назад
Siyo saiz yao sawa lakini kwa kukiboresha zaidi wawe wanaalika wageni kulingana na mada ya siku husika,,wabaki hao hao ni sehemu ya kujifunza mengi ya kiutu uzima #Khadja ♥️♥️
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 5 месяцев назад
Kwanini ndoa za kiislum wanaoana asubuhi siku saba wameachana maswali je kwasababu ndoa za kiislum ni simple hazina gharama kwahiyo hata uvumilivu hamna? Au kwasababu utoaji taraka ni rahisi.sisi mji wetu ndoa kwa wiki 50 wanaachana.wanaoana ili waachane?
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 5 месяцев назад
Ndoa za kislam ni nzr mkizinguana tu unampiga chini,lakini za kikristo zinawapa sana viburi wanandoa hata wakifumaniana hakuna kuachana,Hadi kifo kiwatenganishe au kugawana vyumba ndani maisha ya kunununiana ,ndiyo mana tunakufa Kwa mawazo
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 5 месяцев назад
@@frankngoloka5416 kwahiyo waisilum hawafi kwa mawazo? Hata ndoa za mke zaidi ya mmoja aliweza mtume tu hawa wwngine wanaiga na imani hawana.elimu ya quaran hawana basi wanaiga kuoa suna unalundika wanawake kutunza huwawezi ndio suna hiyo? Mtu alikuwa na uwezo waluwaridhisha wake zake wote alioa hadi visichana vibichi alikuwa anajua cha kufanya.kuna dada mmoja namfaha ana 30 yo kaolewa juzi mke wa nne ndoa ya kumi. Kaachika siku ya hata wanasayansi wametoa miaka 7 ya hekaheka za ndoa baada ya hapo hakuna jipa kama nikukoseana mlishakoseana hakuna jipya nyinyi mmegeuza miaka 7 kuwa siku saba za ndoa
@user-bl6op9ej6u
@user-bl6op9ej6u 5 месяцев назад
Kitu chochote kinachopatikana kwa urahisi na kukipoteza au kukichezea ni rahisi Means bure ni aghali
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 5 месяцев назад
Apana ndoa sio jera jamn ndoa kulizia Kam umeoa alafu tabia aziendani je utaishi nae ivo ivo au
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 5 месяцев назад
@@FatumaShabani-mp9vt sio jela nakubaliana na wewe ila is too much nikama wanachezea dini na unakuta wanasema wewe nakuachwa kwa WhatsApp.ukifuatilia ndoa nyingi zinazovunjika matatizo yanarekebishika yaani unaishi na mtu wiki moja umeshaijua ndoa wewe
@user-jr1nf8sz1u
@user-jr1nf8sz1u 5 месяцев назад
Kipo pw kipindi
@Gersah
@Gersah 5 месяцев назад
Wasafi tv jumatano saa3uck
@aminamloka7545
@aminamloka7545 5 месяцев назад
Kuuliza Ni vyema kuliko kuridhia kuwa na mahusiano nje ya Sheria sema kwasab shetan ametuaminisha kuwa Bora zinaa kuliko kutake step to ask a man when he is going to make things halal
@Papi.Al.Pacino
@Papi.Al.Pacino 5 месяцев назад
Exactly
@user-nj9hm6xd5u
@user-nj9hm6xd5u 5 месяцев назад
🤲🤲🤲🤲🤲🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
@Joliegal834
@Joliegal834 5 месяцев назад
Upuuzi tu mnaongea apo😂
@Mimy_keys
@Mimy_keys 5 месяцев назад
Bya kawaida tu hamna lolote 😂😅😅
@user-ns4oj9cw1j
@user-ns4oj9cw1j 5 месяцев назад
Hizo nguo mmeazima mbona haziwakaa
@Nuru9568
@Nuru9568 5 месяцев назад
Acha wivu
Далее
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 22 млн
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Просмотров 336 тыс.
After - Tessa & Hardin - Fire on Fire by Sam Smith
3:11
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Просмотров 82 тыс.
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 22 млн