Tunda Ireen shishi Nandi ZARI pendeza sana wazuri Tangu enzi hizoo Paula kaziriiii. Paula ungekuwa chakula ungekuwa unaliwa na watu wenye pesa zao tu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mkiambiwa Fayma mzur mwakataa haya picha hizo hapo za Paula kazidiwa nawengine wote chacha, Tusiwapondee watu kutokana na kutowapenda ka mzurmzur ni mzur ty.