Nawashukuru sana wasomi wetu Muhammed na Ismail. Mauaji katika mapinduzi hayakuzungumzwa, sijui mwandishi hakuyaandika,au hayakuzungumzwa. Jambo hili mpaka leo lina utata. Huyu Patterson angeweza kuona wanajeshi wa tanganyika kama walihusika katika mapinduzi. Nimefatilia karibu vipindi vyenu vyote, bado sijapata ushahidi kamili wa ushiriki wa Nyerere katika mapinduzi. Ningeomba siku moja mumzungumze Nyerere tuu na kumbukumbu za wazi.
Ushiriki wa Tanganyika umeelezwa kwa urefu katika kitabu cha harith ghassany kwaheri Uhuru kwaheri ukoloni na kimeshazungumzwa humu Balozi mambo mengi hajataka kusema lkn waingereza na wamarekani ni wahusika na waandaaji wa uhasidi waliotufanyia nchi yetu