Wakatizo ameeleza safari ya maisha yake kutoka kuanza kujitegemea kimaisha baada ya kumaliza darasa la saba, maisha magumu aliyopitia mpaka kukutana na mke wake Mmarekani kupitia Instagram ambae alikuja kubadili maisha yake.
Kwasasa anaishi Marekani lakini ameeleza changamoto za utamaduni ambazo zimekua ni changamoto kubwa katika ndoa yao baada ya kuhamia Marekani.
Thank you Wakatizo for allowing this to be online
www.oda.international
23 авг 2024