Тёмный

NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@njokimwaniki364
@njokimwaniki364 8 дней назад
This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.
@amneriyami2409
@amneriyami2409 6 дней назад
Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 5 дней назад
Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉
@fatemamahmood5440
@fatemamahmood5440 4 дня назад
Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉
@elsaMo-b5r
@elsaMo-b5r 18 дней назад
Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri . Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka. Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa. Big up bro
@Bariadi-ug8ve
@Bariadi-ug8ve 19 дней назад
Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅
@dayana5513story
@dayana5513story 19 дней назад
Nunua ulaya 🤸
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 18 дней назад
😂😂😂 kwa kweli🙌🙌🙌
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 18 дней назад
Jaribu wenzio tupo huku ulaya majaribu yapo kwa kila engo😂😂😂
@hilalrashidmohamed8528
@hilalrashidmohamed8528 16 дней назад
Visa za Nairobi kenya 😢
@happinesskitali164
@happinesskitali164 11 дней назад
Hahaha
@abdulyibrahim2125
@abdulyibrahim2125 20 дней назад
Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu
@khalid-oh5uu
@khalid-oh5uu 19 дней назад
Best one. Ameeleza vizuri
@user-ch7fp4ve9s
@user-ch7fp4ve9s День назад
Wote mnasikika vizuri
@amneriyami2409
@amneriyami2409 6 дней назад
shukran mr dj
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 17 дней назад
The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 8 дней назад
Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.
@tinanicholasligwile6972
@tinanicholasligwile6972 19 дней назад
Story kama inanivitia ivii 😊😊
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 20 дней назад
Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 18 дней назад
MashaAllah tabaraka Rahman Elim haimtupi MTU
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 20 дней назад
Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi
@sanaf8367
@sanaf8367 16 дней назад
Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana
@richardhosea8827
@richardhosea8827 20 дней назад
Huyo asiyesikia akapimwe
@sadiqfixer
@sadiqfixer 19 дней назад
Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 18 дней назад
Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 18 дней назад
InshaAllah biidhnillah taala Utapata
@robbyissack8575
@robbyissack8575 20 дней назад
Nice interview
@user-zz5uj6gs4m
@user-zz5uj6gs4m 20 дней назад
Karibu tena bububu kamanda
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Wa Bububu mwenzetu pia kumbe huyo?
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 14 дней назад
Jirani
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani
@hedayamohammed2781
@hedayamohammed2781 15 дней назад
@rahmajaffar7007
@rahmajaffar7007 20 дней назад
kaka ana akili huyuuu Maashallah
@HassanAhmed-di9jq
@HassanAhmed-di9jq 19 дней назад
Koyama na chula ivyo visiwa
@reginalemunge1221
@reginalemunge1221 9 дней назад
Tunawasikia vzuri dada Shena
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza
@PtransJulius
@PtransJulius 15 дней назад
nawapata vizuri south Africa.
@josephatjosephat4269
@josephatjosephat4269 20 дней назад
Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 18 дней назад
Kabisaa
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 18 дней назад
Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji
@farhiaabdulaziz8549
@farhiaabdulaziz8549 13 дней назад
Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia
@user-tp2xg7qu4y
@user-tp2xg7qu4y 11 дней назад
Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni Nikupeni somo
@abasiabdulabi5430
@abasiabdulabi5430 19 дней назад
Ogela kaka
@EstherNgayiwona
@EstherNgayiwona 15 дней назад
Sasa hivi una umri Gani Dj
@kshamte9582
@kshamte9582 20 дней назад
Maisha dah! Mafunzo kila siku
@thuweiybab3338
@thuweiybab3338 20 дней назад
Koyama
@roselambert6700
@roselambert6700 13 дней назад
Mnasikika vizuri
@Bariadi-ug8ve
@Bariadi-ug8ve 19 дней назад
Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?
@nataliaemanuely4046
@nataliaemanuely4046 7 дней назад
Nice
@farhiaabdulaziz8549
@farhiaabdulaziz8549 13 дней назад
Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au
@user-go5wb2pi2i
@user-go5wb2pi2i 4 дня назад
True
@MohamefMullah
@MohamefMullah 19 дней назад
Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu
@KhadijaLitami
@KhadijaLitami 7 дней назад
Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 7 дней назад
Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?
@nicedavid8536
@nicedavid8536 12 дней назад
Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.
@FortunataChande
@FortunataChande 19 дней назад
Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako
@timejames5099
@timejames5099 19 дней назад
Tunasikia wote
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 18 дней назад
Tuna wasikiya.
@MdOmane-yg9gi
@MdOmane-yg9gi 18 дней назад
Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako
@mikiothman103
@mikiothman103 13 дней назад
nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa
@mwanaidiheintel1760
@mwanaidiheintel1760 17 дней назад
Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?
@user-go5wb2pi2i
@user-go5wb2pi2i 4 дня назад
Bahati yako
@fridadavid3151
@fridadavid3151 18 дней назад
Dada sena hutukusikii
@sweetykabeya5873
@sweetykabeya5873 18 дней назад
Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 18 дней назад
Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
@AshaMohamed-ib4le
@AshaMohamed-ib4le 13 дней назад
Anaskilizika tu
@AgathaMpemba
@AgathaMpemba 19 дней назад
Story nzuri sana nimejifunza
@mwanaidiheintel1760
@mwanaidiheintel1760 17 дней назад
Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia
@AliMobarak-gc9gd
@AliMobarak-gc9gd 19 дней назад
Upo mji gani
@EstherNgayiwona
@EstherNgayiwona 15 дней назад
Mnasikika wote tuendelee
@joycelaizer4600
@joycelaizer4600 13 дней назад
Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂
@MussaPaul-ob3nh
@MussaPaul-ob3nh 18 дней назад
I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 18 дней назад
I'll check it out, thanks for the suggestion
@FaustineTz
@FaustineTz 9 дней назад
Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana
@OllykekeSwahili
@OllykekeSwahili 14 дней назад
Me Somali😀😀😀
@hatiagk4447
@hatiagk4447 20 дней назад
Story hii inafurahisha
@user-ey4tb1sq7p
@user-ey4tb1sq7p 20 дней назад
One love
@safiam5338
@safiam5338 19 дней назад
No tunawaskiya nyote
@mmarycalvin6395
@mmarycalvin6395 17 дней назад
Somalians
@mamaabduly
@mamaabduly 20 дней назад
Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 15 дней назад
Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha
@hassankhamis344
@hassankhamis344 19 дней назад
Aaa mambo ya ushoga yamekuja juzi hayo
@shenasnas2229
@shenasnas2229 18 дней назад
Bosi sio juzi Abeid Sisimizi kaenda Belgium miaka zaidi ya 10 na kaingia huko kwa ticket ya ushoga
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio 19 дней назад
Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu
@TichaSabah
@TichaSabah 11 дней назад
Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa
@mwanaidiheintel1760
@mwanaidiheintel1760 17 дней назад
Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi
@susans4490
@susans4490 20 дней назад
Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 19 дней назад
Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs
@AliMobarak-gc9gd
@AliMobarak-gc9gd 19 дней назад
Upo kolon
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 6 дней назад
Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.
@MK-mz8bz
@MK-mz8bz 20 дней назад
Watoto wa ulaya ni 99 asimilia siyo msaada
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 12 дней назад
Dj nitampata wapi shena.
@awatifsubeit4007
@awatifsubeit4007 20 дней назад
Kipindi kizuri ila muda mrefu
@janechipeta6231
@janechipeta6231 19 дней назад
Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?
@mimahtv2974
@mimahtv2974 16 дней назад
Kuna wasomali wa tanga pia..!😅
@haikaelkiwia9705
@haikaelkiwia9705 17 дней назад
Kionyesha vidole bado sijaelewa
@EstherNgayiwona
@EstherNgayiwona 15 дней назад
Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 18 дней назад
Wasomali kweli ni wagomvi sana halafu wasomali hawapendi watu wafanikiwe kwani kama sio msomali unamtakia nini au kusema sio msomali unataka nini mwezio anatafuta maisha
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 18 дней назад
Hiyo nikweli tulienda kujiandikisha college mimi na wenzangu yule alietupokea akatwambia hapa kuna munira kutoka Somali ngoja niwatambulishe akaambiwa kuna wasomali wenzako njoo wapokee alipofika alianza kufoka hawa sio wasomali every country from Somali mbele za watu ukumbi umejaa sisahau akatuchambaa mpaka mpaka miguu imekufa nguvu shoga angu akasema mimi natoka kenya sitoki somali yule dada akatununia hatusalimiani nae mungu si athman dada yake msomali mimi shoga yangu namuuzia biashara zake mashuka mitandio na mapazia sasa akanikuta nae akamuuliza unajua huyu akamwambia my best friend mimi nikamwambia mimi na huyu hatuongei basi yule dada siku ya eid akatuita tulikuwa tunasali akasema peaneni mikono mukumbatiane yenye haki ya kujua nani msomali nani sie ni uhamiaji kuanzia leo muongee toka siku ile tukawa friend na watt wetu wakawa wanasoma nasary moja tukawa tunakutana ndio mpaka leo tunaongea ogopa wasomali 😢😢😢
@siasia5469
@siasia5469 15 дней назад
Wasonji wana umimi sana... Mkikutana Nchi za watu utawajua vizuri😮
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 13 дней назад
Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 13 дней назад
Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani
@user-tp2xg7qu4y
@user-tp2xg7qu4y 11 дней назад
Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 дней назад
Karibu sana WhatsApp +4367764790884
@mamaabduly
@mamaabduly 19 дней назад
WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?
@user-ou2rx7ln4w
@user-ou2rx7ln4w 17 дней назад
Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa
@user-xk3wo6cc9r
@user-xk3wo6cc9r 20 дней назад
Hawataki stress
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 15 дней назад
Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani
@merycianachangarawe8979
@merycianachangarawe8979 14 дней назад
Kweli sio izo kesi tu Sema huyo alipata Zari la fake visa Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system Only ushoga danganya uwezavyo Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 14 дней назад
@@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 12 дней назад
@@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine
@HassanAhmed-di9jq
@HassanAhmed-di9jq 19 дней назад
Hiyo ilikua unaita somali kenya
@annamussa185
@annamussa185 19 дней назад
Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi
@Ilhamtube554
@Ilhamtube554 19 дней назад
Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa
@annamussa185
@annamussa185 19 дней назад
@@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕
@Ilhamtube554
@Ilhamtube554 19 дней назад
@@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣
@annamussa185
@annamussa185 19 дней назад
@@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww
@annamussa185
@annamussa185 19 дней назад
@@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili
@gracelyimo6256
@gracelyimo6256 18 дней назад
Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 12 дней назад
Huyu nitampata wapi sheyna
@hassankhamis344
@hassankhamis344 18 дней назад
Nikwambiye kitu kimoja siyonyumba za wazee nakumaliza mapema
@susans4490
@susans4490 20 дней назад
Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃‍♀️🏃‍♀️
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 19 дней назад
Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 19 дней назад
😁
@DM.2200
@DM.2200 19 дней назад
​@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list
@mwanaidiheintel1760
@mwanaidiheintel1760 17 дней назад
Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 14 дней назад
😂😂😂
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 7 дней назад
Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 20 дней назад
Mambo shena nimefunguwa Badoo dating site wazungu wengi Wamo wanatoka North Western ndiyo nchi gani hi xxx o
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 20 дней назад
North West
@mwanaidiheintel1760
@mwanaidiheintel1760 17 дней назад
Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro
Далее
Дьявол - ТРЕШ ОБЗОР на фильм
19:10
skibidi toilet multiverse 039 (part 2)
08:58
Просмотров 5 млн
WANAUME WALIKUA HAWANITAKI KWASABABU YA UFUPI WANGU
1:02:41
Дьявол - ТРЕШ ОБЗОР на фильм
19:10