Mpaukha ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kufika nchi ya ndoto yake Canada
Ambapo anasema alitumia agent wa kwanza ambae alimlia pesa
Anasema baada ya kufika tu aliomba ukimbizi, amewaasa vijana kujituma.
Mabinti kutokua rahisi na waweze kujitegemea.
Thank you Mpauka Jr for allowing this to be online
www.oda.international
4 май 2024