@@khadijamohamedy4492 unaliambia tulia ukifanya mapenzi utapata mimba au magonjwa wapi ndio Kwanza anavaa na visuluali vyakubana utafunga watu jela wakati kawatega yeye mwenyewe alee mimba basi
ACHENI KUMLAUMU HUYO DADA GUYS,huyo dada hana kosa n alishinikizwa na wazaz kilazima na inaonesha wazaz wa huyo dada wanakisasi na hiyo familia ya mfungwa ,km mlivyosikia baba kasema familia bado wanaongea Tumain hatatoka kamwe,Hapo n kuna kitu jmn,NA DADA ANAUMIA MNO NDO MAAN ANATAKA KIFANYIKE HAKI
Mahakama aina kosa mwenyew makosa ni mdada na uyu dada akujua mimba ya nani kwa maelekezo yake uyu binti alikuwa na mabwana wengi kwaiyo alivyojifugua ndo anajua mtoto si wa uyu mfugwa pole sana kaka mwenyez Mungu atawasimamia ishallah atatoka kwa uwezo wake mungu
Ipo haja ya selikal kuruhusu sheria ya kufanya DNA test kabla yakuhukumu. Wanawake wengi kwenyekesi za ujauzito huwa wanalenga mahali penye halifulani aidha chuki au kipato. Na maranyingi wanawake huwatetea wapenzi wao ilikuwanusuru nakikombe cha adhabu, ukisikiliza huyu binti vzr toka mwanzo alidhamiria kumtetea huyo mpenzi wake that's why mtoto aliandikisha majina ya mpenzi wake. Usikute mbaka kadi ya clinic majina ya baba alijaza yampenziwake. MUNGU NI MWEMA LKN SIKUMOJA ATATOKA TUU
Dah Inauma sana. Aisee hii sheria ya mimba kwa wanafunzi wanaume wanafungwa. Iangaliwe upyaa. Asilimia kubwa hao wanafunzi hufanya hayo mambo kwa ridhaa yao wenyewe. Sasa uyu dada kumtoa Tumaini itakuwa ngumu sana na piaa kama tumaini atatoka uyu dada atafungwa gerezani kwa kosa la kutoa Ushahidi wa Uongo. Ni kosa kisheria
Jamani viongozi usika wa mahakamani na haki za binadamu ebusikieni ili swala msiwe mnang'ang'ania mtu hana makosa na muhusika ameshasema jamani sio sawa
😭😭😭😭😭 Serikali tunaomba mumsikilize huyu bintiiii, huyo hakimu aliyehukumu hii kesi ajitathmini, nafikiri hata yeye ataumia kuujua ukweli ambao huenda hakuujua? nae ana watoto jamanii, Ee Mungu ingilia kati😭 nimelia sana, mzee nenda kwa mbunge wetu, ni mtu wa watu atakusaidiaaaa😭 hao wazazi wa binti Mungu anawaona. Kwa mzazi yeyote hii itamuumiza!!
Ok... imeshatokea, na binti ameshakiri alisema uwongo, je, ktk wilaya yetu ya Siha au mkoa wa Kilimanjaro hatuna watetezi wa haki za binadamu? Hatuna wanasheria wa Serikali ambao wanaweza kusimamia haki za huyo kijana? Mkuu wa Mkoa, Wilaya au Mbunge wetu wamelisikia hili? Umesema ushahidi wa mazingira, alikamatwa nae ?( walifumaniwa?) Au ni ushahidi upi huo? Kusingiziwa mimba ni jambo la kawaida hata ndani ya ndoa, hivyo sio lazima kila anasema mimba ni ya fulani basi ni kweli! Je, angezaliwa mtoto wa kihindi bado huyo kijana angeendelea kusota ndani? Kwa kweli hili jambo linaumiza tumbo!! Tumbo la uzazi linaumaa! Kijana ndoto zake zimezimwa bila sababu!!
Mungu ndiye hakimu wa haki, najua haki itatendeka na tumaini atatoka, mbunge wetu molleli ingilia Kati hili swala haki itendeke kumbuka kuwa huyo binti alishinikizwa aongee hivyo. Mama Samia angalia hili. Msaidie huyu mtoto atoke...
Hi habari inasikitisha sanaa🙆pia inaumiza moyo mpaka mwili😭😭😭😭kwer kabisaaa mtoto wawatu anatumikia kifungo kilefuuuu ambacho akina atia daaaa😭😭😭Muda nimali sanaa😢
@@adaboychibu1659 katika watu wenye ujinga kichwani uliopitiliza basi wewe upo ...Yan hata kusikiliza vizuri kinacho ongelewa unashindwa??? Kiazi kweli wewe.....
Huu dada anaweza kuwa na hofu ya MUNGU kwa mwingine huwenda angekuwa anapiga goti nakuomba samahani kwa Mungu ila dada ajuwa kwamba msamaha ni kuanzia Zambi ilipo anzia ndio atakasike jamani huyo maskini atolewe jela
Huu usenge huu yaani mikojo akojoe mwingine utamu afaidi mwingine machungu apate mwingine jamani hivi huoni aibu kwanza unaanzaje kumtaja mtu ambaye hata hajawahi kukukojolea na hawa mahakimu wetu wa michongo hawa basi tu Mama yetu MAMA SAMIA embu sikia kilio cha huyu mzee wetu na uweze kumsaidia mtoto wake aachiwe huru. Inauma sana
Mimi nafikiri sheria ya Tanzania iwe na adhabu kwa watoto wakike pia mara baada ya mtoto kuacha kunyonya walau miaka mitano. Hili huenda likasaidia watoto wa kike kukaza zipu zao za sketi maana hawasikii wala hawaelewi ya wazazi wao
Yani huyu dada na wazazi wake adhabuu ya mungu iwashukiee na ww dada umemsingizia mtt wawatu na ww umeza mtt wakiumee utalipwa kama ulivyomfanyia mtt wa mwezioo 😢
Daah sheria gan hii ya Tanzania yenye unyanyasaji namna hii yan mtuhumiwa amepata ushahidi sio mhusika na mlalamikaji ametoa ushihidi lkn bado tu amekamatwa tu Daah mungu ingilia kati maana inauma sana,kama kuna wafungwa wanaachiwa huru tena kwa makosa haswaaa je uyu asie na kosa kwann asiachiliwe?
12:05 jaman kwann judges mpo hivi you guys you will pay kama mnafanya kwa faida zenu maana mnasimama badala ya Mungu but sio kwa haki. Mungu msaidie Tumaini🙏. Daaah 13:25 inakera mnoo
Kutubu gani baada ya miaka 3 mtu anasota hlfu keshaolewa tyr .mbona jina la baba mtoto kamuandika aliekimbia huoni kma kuna kamchezo huyu shetani tu mungu ampe maisha magumu yy na kizazi chake chte .....
Nenden mahakamn mkakate rufaa baba au mwandishi mshauri aende rufaa mbona inawezekana bwana ila sio kwa njia hizo wanazofuata, plz plz kakateni rufaa kila kitu kitakuwa sawa
Huyu binti mimi simlaumu ila wazazi wanakawaida yakumchikia aidha bint Fulani ama kijana Fulani.huyu bint Kwanza ni bado mdogo hadi muda huu Kwa kipindi hicho alikuwa bado mdogo sana kwahiyo mzazi wa bint alivyomtisha bint yake kumtaja tumaini Kwa hasira Zake Kwa tumaini sasa bint amekuwa anajitambua hapa mwenye kosa kubwa ni baba Wa bint
Wanafunzi wote ni Miner maana take hawana umri mzur wa kusimamia akili zao.. means hawana tofaut na unsounded mind. Kwann mnamshikiria ikiwa na yeye ni under 18??? This is not fair.
Pole sana ilausikate tamaa walausichoke kulia kwenye vyombo vyahabari raisi wetu nimwema sana likimfikia hili atoa kauli ukitoka kwauyo nenda kwenye vyombo vyahabari vingine mpaka limfikie
Ingekuwa mwanamke ne anawajibishwa kwa kosa la kupata mimba kwa ridhaa yake mwenyewe basi nina amini asingeweza kumsingizia mtu mwengine akamuacha muhusika
Huu ni ujinga. Hivi mtu anafungwa tu bila ushahidi kweli! Tafsiri rahisi hapa ni Kwamba mtoto wa kike akikusingizia tu mimba ndo basi unafungwa hamna ushahidi wowote unaohitajika!!