Тёмный
No video :(

Zembwela Kuhusu Ndoa "Kuna Mke Mke, Mke Mke Wenu Na Mke Mkeo" | SALAMA NA ZEMBWELA PT 2 

YahStoneTown
Подписаться 396 тыс.
Просмотров 119 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 231   
@richardmmassy5857
@richardmmassy5857 2 года назад
Kuna elimu na kuna kuelimika... Huyu jamaa kila nikimsikiliza naelimika sana... Asante kwa maisha yako Zembwela, jua kwamba kuna watu tupo tunapata elimu sana.
@SaumuHassan-sf5zk
@SaumuHassan-sf5zk Год назад
Mwamba huyu hapa, we are too blessed to have you till now. Akili nyingi mkweli mchekeshaji huchoki kumuangalia Wala kumsikiliza. Ahsante sana Salama kwa kutuletea huyu Mwamba muwe na afya njema tuendelee kujifunza
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Yani nakipenda sana iki kipande cha mke mke. Mke mkiwenu. Mke mkeo. Nimejifunza mambo mazuri sana. Big up zembwela na salama bin jabir.
@duncankabig9740
@duncankabig9740 2 года назад
Nime enjoy Sana Leo sister salama jamaa mkweli sanaa
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 года назад
Siku ya nne sasa nairudia hii daaah🙌🙌🙌bonge la interview
@adamismailly1784
@adamismailly1784 2 года назад
Hebu muache km mienzi 2 halafu mlete tena salama huyo jambaa yuko vizuri sana na ana mambo mengi sana ya kutufunza
@AdamClassic-uj9ed
@AdamClassic-uj9ed Год назад
Daa Nimekubali Sana
@jimmymeshack8725
@jimmymeshack8725 2 года назад
Wenye dini hawana imani na wenye imani hawa dini ..!
@nobodyfromnowhere1888
@nobodyfromnowhere1888 2 года назад
Sister Salama na Zembwela mmeua sana , y’all very smart people. Binamu Mb, Master , Salama and Zembwela to mention a few … Yall are the Cream of your trade of choice and talent. Fanyeni jambo….❤️
@msimusalum7896
@msimusalum7896 Год назад
Ppp
@yohanacosmasmachalila9016
@yohanacosmasmachalila9016 2 года назад
Waoo! Kipindi kimenielimisha na kuniburudisha sana😊 Big up sana salama na kwa kaka yangu Zembwela
@zeddeastafrica1032
@zeddeastafrica1032 2 года назад
Babu kaongea ukweli mtupu mwishoni facts respect sana kwake
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 2 года назад
Swali la kipofu hapo nadhani Salama umekosea kuuliza swali kama hilo, upofu sio swala la kuliwekea utani maishani kuna wanaotaabika na upofu
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 2 года назад
Gari bovu huvutwa na gari zima.... Fact Beberu 🍺
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 2 года назад
Asante dada salama, asante pia kwa zembwela babu nimeelimika sana leo napia nimeinjoy SHUKRANI 🙏🏻
@miracledamian2202
@miracledamian2202 2 года назад
One of my favorite shows wow
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 года назад
Msamiati wa Mke mke Mke mke wenu na Mke mkeo. Umenimaliza kk vijana tulio wengi tupo hapo kwenye Mke mke wenu.
@mwamvuajumatano1817
@mwamvuajumatano1817 2 года назад
Allah akupe uhayy,huwa na enjoy nikimfwata zembwela anajuwa sana hadi anakera,Allah azid kukubarik
@saidimtera6665
@saidimtera6665 2 года назад
I like that mke mke,mke mkeo ,mke mke wenu😂😂😂
@kibajadaniel9887
@kibajadaniel9887 Год назад
"Hela ndiyo nguvu ya kiume pekee duniani "by babu zembwela
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 года назад
Zembwela nomaaaa sanaaa!
@masoudnassor5332
@masoudnassor5332 2 года назад
Real zembwela mungu akupe kheri nyingi duniani
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Год назад
Zembwela katisha sana
@KalabashCreative
@KalabashCreative 2 года назад
Asante salama, asante Hillary(Zebwela) mbarikiwe kwa somo la maisha.
@sophiamazige705
@sophiamazige705 2 года назад
Hela ndo nguvu za kiume zilizobaki. Vijana tafuteni helaaaaaaaaaaaaa😅😅😅
@officialrobeasy
@officialrobeasy 2 года назад
This guy is very fun, he made my night 😂😂😂😂
@mdomar4650
@mdomar4650 2 года назад
Zembwela kwa hakika naku SALUTE. Nimefaidika na mifano uliyoyapeana. Ufafanuzi wako ni Elimu tosha.. pongezi sana bro. Mimi nakukubali..
@babaetwaha8822
@babaetwaha8822 2 года назад
Nampenda sana bro zembwela ni mkweli cku zote pia kazi zake nzuri Asante dada salama kw kipindi chako naenjoy sana
@alimuchiri6151
@alimuchiri6151 2 года назад
" Alaa moja panga mbili haikai, Babu zembwelaa chuma cha pua kabari yao." Naamia kamanda hujawai niangusha.
@yusuphmipawa6340
@yusuphmipawa6340 2 года назад
Naomba Zembwela arudi tena
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 года назад
Zembwela bhana eti ooh! Bugger zinanenepesha!😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣 , nimefurahi sana maneno ya Zembwela,
@officialteeh1213
@officialteeh1213 2 года назад
Thank you for you salama hua unatuletea watu kama hawa chuma kabari yao mbwa napata ziriki kwa mguu zake .I love him namejifunza vitu vingi sana kupiata Babu zembela Ak mume wangu 😂😂😂
@esterutewele7143
@esterutewele7143 2 года назад
Dah ais
@paulinekisaka4677
@paulinekisaka4677 2 года назад
One of the best Salama na episode.....kudos!!!
@universitylink
@universitylink 2 года назад
Watu wa dini, Bwana Yesu asifiwe, Shalom, Salaam aleykum, mi si mtu wa dini nisije tafuta dhambi mpya
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 года назад
Madini ya kutosha Zembwela tunashukuru Sana kaka!
@zalubiasalim240
@zalubiasalim240 2 года назад
Thanks for the interview salama, madini ya kutosha, respect babuu zembwela
@amanothmanhamimu1174
@amanothmanhamimu1174 2 года назад
Tunajifunza mengi sana kupitia interview
@brotherbenson7912
@brotherbenson7912 2 года назад
Babu
@saidikobossa7489
@saidikobossa7489 2 года назад
I think this is one of the shows ambayo salama ame enjoy sana
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Safi saana nimenjoy saana pindi la lao zembwela katisha kinoma
@selemanimuhanga4018
@selemanimuhanga4018 2 года назад
Shoo Kali Sana! Producer Tunamuomba Mb Dog Mzee Wa Latifa Kwenye Shoo
@exclusvetztv9011
@exclusvetztv9011 2 года назад
Thanks my mom for this interview 😀😀😀😀😃🤣🤣🤣😂😅😂 appreciate madame salma j
@jumamohamed5174
@jumamohamed5174 2 года назад
salama and zembwela you guys are too smart ...
@mateshasembuche2497
@mateshasembuche2497 2 года назад
Nimeipenda sana show yenu, nzuri sanaaa
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 года назад
Mke mke, mke mke wenu, mke mkeo🔥🔥🔥🔥
@manirakizaambula8605
@manirakizaambula8605 2 года назад
Asante kaka,🇧🇮
@fatmamussa5255
@fatmamussa5255 2 года назад
the show was great...nilitamani msingemalza☺
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 2 года назад
Oooh my Good one of the best busara nyingi na hekma thanks you for doing doing good job my sister
@mnenedrogba1218
@mnenedrogba1218 2 года назад
Very factual for sure Zembwela. I never knew u such an inspiration bro.i salute u man🤝👍👌🙏💯✔
@karimumduma4048
@karimumduma4048 2 года назад
Dah nime enjoy sana
@dadygirija968
@dadygirija968 2 года назад
Zembwela👉🔥🔥🔥✌️
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 8 месяцев назад
Fresh akajibu hakuna mtindi kitambo sana,jamaa ana misemo uyu
@winniekaria6334
@winniekaria6334 2 года назад
Nimeona muda wa kipindi mdogo leo jamaniii. ..Zembwela hachoshi kumskiliza wallah ukiplus na maswali yako Salama ndo kabisaaaa...
@patrickpazza4764
@patrickpazza4764 2 года назад
Daaaaa dada asante Sana kwa kutuletea huyu jamaa n ukweli mtupu kaongea hapo
@kpol22
@kpol22 Год назад
This is excellent show. Hongera sana Salam J . Zembwela is too real!~
@allinall9382
@allinall9382 2 года назад
Dah kipindi nimekiona kifupi san asee 😋😋, arudi tena ,ikibid muda uongezwe
@mdomar4650
@mdomar4650 2 года назад
Kweli kabisa.. Hapo sawa kabisa.
@soudbako5925
@soudbako5925 2 года назад
One of the best interview all the time anaitwa BEBERU kabali yao or BABU
@AbdallahNorman
@AbdallahNorman 2 года назад
mke, mkeooo... wanaumee na wavulaaana... safi sana Beberuuu
@universitylink
@universitylink 2 года назад
Utakula alafu ule au utakulaa kwanza, mkunga mwenyewe ameshachika
@odrianinicolaus5353
@odrianinicolaus5353 2 года назад
Salama Tuletee yule Mbunge Mhe.Kishimba,mch.Gwajima au Mhe.Msukuma.
@issaemmanuel3500
@issaemmanuel3500 2 года назад
Kabisa aanze na mh.kishimba then msukuma
@geofreymahally7115
@geofreymahally7115 2 года назад
Kwa kwl salama nme enjoy sn kipindi cha leo
@mangisenya4012
@mangisenya4012 2 года назад
Zembwela big up
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Nimefurai sana Leo kumuona zembwela. Big salama.
@salimumazige9497
@salimumazige9497 4 месяца назад
Salama nakuomba huyu jamaa uweunamwita marakwara anaelimisha jamii
@mmbando
@mmbando 2 года назад
Vichwa viwili, hatari.. safi sana.
@evancekimath7405
@evancekimath7405 2 года назад
Full of lessons...!!
@joelndowo
@joelndowo 2 года назад
Aisee...🙌🙌🙌
@butogwaavelina5299
@butogwaavelina5299 2 года назад
Nimependa saan na nimejifunza vingi 🙏
@yahyaahmed1854
@yahyaahmed1854 2 года назад
Twataka part 3 salama
@chunanachu2529
@chunanachu2529 2 года назад
Best interview.......elimu ya kutosha nakukubali sana zembwela .......
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 2 года назад
Asante sana kwa hili darasa
@johnmalembeka3546
@johnmalembeka3546 2 года назад
Nmependa sna hii interview ya zembwela sna na chumvi katupiga sehem zaman emoji hazikuwepo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tanziluhizza8214
@tanziluhizza8214 2 года назад
Kwenye mke nimekuelewa sana brother 🙏
@martinfrancis9808
@martinfrancis9808 2 года назад
ZEMBWELA BABU... NAMKUBALI SANA HUYO
@merrymafole5180
@merrymafole5180 2 года назад
Utakula alafu ule au utakula kwanza 😂😂😂😂😂
@agathathobias8690
@agathathobias8690 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@chikuketo4279
@chikuketo4279 2 года назад
Namkubali Sana Beberu,Nmejikuta Natamani Aendelee Kuongea,Hachoshi.
@JOSKY-j8
@JOSKY-j8 Год назад
Huku wa prove wrong lakini ulihishi katk nyota za bahati may be za majina au ulikuwa unawategemea financially
@jumamuhando2504
@jumamuhando2504 2 года назад
Well said brother
@khamismachemba4020
@khamismachemba4020 2 года назад
Bonge la show....Zembwele moto
@mguliproperty9469
@mguliproperty9469 2 года назад
Dah madini special sana
@laurentrueta9625
@laurentrueta9625 2 года назад
dada unatufundisha maisha asante🙏
@yusuphmipawa6340
@yusuphmipawa6340 2 года назад
Kaongea Fact salama
@harounmamba2632
@harounmamba2632 2 года назад
Moja ya mahojiano bora yalopata kufanyika kwenye karne hii.big up zembwera
@mwinyibakarisenkopwa931
@mwinyibakarisenkopwa931 2 года назад
Zembwela siyo Zembwera
@mwinyibakarisenkopwa931
@mwinyibakarisenkopwa931 2 года назад
Zembwela siyo Zembwera
@andreakarata5469
@andreakarata5469 2 года назад
Kiukweli Zembwela MUNGU kampa kipaji sana
@barakarobert9516
@barakarobert9516 Год назад
@UlimeA
@UlimeA 2 года назад
Hizi ni nondo zenye busara kalii
@edwinjohnmasanja8602
@edwinjohnmasanja8602 2 года назад
Mpaka machoz jamn
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 года назад
Zembwella big boss
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 года назад
Ila Zembwela 😂😂😂🙌
@frankkyomushula7588
@frankkyomushula7588 2 года назад
Great Show as usual Dada....
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Awesome amazing 💙
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 2 года назад
Zambi mpya 🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭
@sarafinasamson7596
@sarafinasamson7596 2 года назад
nimeipenda
@isacksamuel5503
@isacksamuel5503 2 года назад
Point "Tutafute hela" vijana
@husseinbuko9657
@husseinbuko9657 2 года назад
Nime enjoy na nimefurahi dada salama kumleta kaka zembwela kwenye kipindi chako nimejifunza mengi Sanaaaa kutoka kwa zembwela na kwako pia MSAFIRI HUFIKIRI
@amadmchau5338
@amadmchau5338 2 года назад
Beberu🙌
@sammyamnay3708
@sammyamnay3708 2 года назад
nimejifunza mengi sana katika interview hii ya zembwela ni maisha halisia kabisa
@apollojohn5698
@apollojohn5698 2 года назад
Hello, umepotelea wapi my dear
@ramadhanibashiru5130
@ramadhanibashiru5130 2 года назад
Safi sana
@prettypretty9745
@prettypretty9745 2 года назад
Nimechelewa Sana kuangalia hii interview mpaka Bwana zebwela ameanza ku trend huko tick tock na what's up stutus nikasema ngoja nije kuona utamu bonge moj ala rahaaaa na buridaniiii iliojaaa elimu toshaaaaa ama kweli junguu kuuu halikosi ukoko
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 года назад
Vyuma vimekutana
@jumabanga6079
@jumabanga6079 2 года назад
Daaaah zebwela khatar saanna
Далее
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,4 млн
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.