Hoja zlizoshiba big up Sana maneno yako ayako kbaguz.inatakiwa rais wetu awe na uchungu na nchi yetu hayat jpm alitfumbua macho Sana katika hii nchii rest in peace 🙏 kwake
safi sana huyu Mtumishi ana hoja anajua kupangilia mambo. Ana busara sana. Yani ukiona mpaka viongozi wa dini wana piga maswali kuhusu bandari ujue ni swala nyeti kuna shida.
Tatizo la viongozi WA tz wanafikiri sekta ni kukabidhi rasilimali zenye utajiri mkubwa za nchi kwa wawekezaji na serikali ibaki kutoza Kodi TU Hilo ni tatizo Mnatengeneza serikali tegemezi