Тёмный

A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI 

MwanaHALISI TV
Подписаться 303 тыс.
Просмотров 183 тыс.
50% 1

#HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Опубликовано:

 

5 дек 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 274   
@abuelolongavida7261
@abuelolongavida7261 2 года назад
This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!
@claraachok2319
@claraachok2319 Год назад
we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military
@justinejackson1731
@justinejackson1731 2 года назад
Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 года назад
Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏
@rosenjau1091
@rosenjau1091 2 года назад
Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 2 года назад
Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ. Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 года назад
Mwandishi ni kanjanja Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo Washazoea kureport habari za umbeaumbeq
@edinaikunda1259
@edinaikunda1259 2 года назад
😃😃😃wandishi makanjanja sana
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 2 года назад
Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana
@MaaneML
@MaaneML 2 года назад
Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Год назад
Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 2 года назад
Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.
@shau78
@shau78 2 года назад
kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri
@akleiludovick9853
@akleiludovick9853 2 года назад
Hii nayo fact
@elvisurio4095
@elvisurio4095 2 года назад
Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 года назад
Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.
@MaaneML
@MaaneML 2 года назад
As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Kafundishika
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 2 года назад
Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..
@PoorClaresMyanga
@PoorClaresMyanga 2 года назад
I was so blessed to meet this man of God.
@niriacatering172
@niriacatering172 2 года назад
Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 2 года назад
Mungu alikuchagua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako. 😘 Asante sana Father H. Mrisho kwa kuvitumikia vipaji vyako vyote kwa weredi na busara. I am proud of you Father Dr Mrisho ❤ 👏 ♥ 💙
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 года назад
Huo ni upumbavu mkubwa sana. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 2 года назад
@@elishakayagwa9371 Huenda ni mpumbavu anayejitambua. Kuliko mpumbavu asiyejitambua!!
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 года назад
This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉
@vianemakarious6395
@vianemakarious6395 2 года назад
Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.
@josephinekabyemela9111
@josephinekabyemela9111 Год назад
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 года назад
Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 года назад
Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 года назад
@@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 года назад
Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote
@faiditv5535
@faiditv5535 2 года назад
Wanao mfananisha na regnald mengi waje
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 3 месяца назад
hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi. Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Akiona ni Wazo jema
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
@@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.
@adammwita3150
@adammwita3150 2 года назад
Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 года назад
Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka. Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.
@ernestlaiza1176
@ernestlaiza1176 Год назад
@@alhaddajmohammed4768 unawashwa
@egonmatwiga9102
@egonmatwiga9102 2 года назад
Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 3 месяца назад
❤❤Hongera Sana Father, Nimefurahi kusikia Lyalamo Primary School ya Sr.Kibassa. Tosamaganga ❤
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 2 года назад
Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 года назад
Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu
@fulgencendyamukama742
@fulgencendyamukama742 2 года назад
Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 2 года назад
Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 2 года назад
Hongera sana father, Mungu akupe hatua nyingine zaidi
@GozbertAliseni-vp6kj
@GozbertAliseni-vp6kj Год назад
Nawakubari .my.fr.wetu.kuwanamafuzo.yakijeshi.naukomando.nyinyi.nitaifa.kubwa.namunakuwa.wanyenyekefu.ogera.sanafrlindanchiyetu
@hamadiacha2mwambamtalika272
@hamadiacha2mwambamtalika272 2 года назад
Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 года назад
Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana
@abbakariissa7838
@abbakariissa7838 2 года назад
Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 2 года назад
My Vice Rector at A.J Bukinda. Am very proud of you.
@sirbaraka
@sirbaraka 10 месяцев назад
Big up sana interviewer umehoji kisomi sanaaa congratulations 👏
@toma634
@toma634 2 года назад
Baba hongera sana ❤️🙏🏻
@nelsonmataba1426
@nelsonmataba1426 2 года назад
He knows more than he delivers....
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 10 месяцев назад
Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 года назад
Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu
@abdulibatenga7281
@abdulibatenga7281 2 года назад
Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Aise
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 года назад
Sasa majajusi tunashinda nao baaada huku wakionyesha bastola zao kiunoni
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 года назад
@@ChoroTesla 😀🤭
@gregorydeus72
@gregorydeus72 2 года назад
MillardAyo mchukue interview huyu padre tutaenjoy,huyu mwandishi hayupo vizuri,,,
@marygaspar6429
@marygaspar6429 2 года назад
Hawa wamangi ni wajanjawajanja! na huwa wakisoma wanasoma haswaa na akili wanazo pia. Za darasani na zakuzaliwa!
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 года назад
Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!
@elvisurio4095
@elvisurio4095 2 года назад
Very smart Observation
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 2 года назад
Hongera sana Baba Padre.
@marthamsafiri3582
@marthamsafiri3582 2 года назад
Talented &gifted Father, may God bless u 🙏
@josephlupasha6228
@josephlupasha6228 2 года назад
Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.
@AbigailBateyunga
@AbigailBateyunga 7 месяцев назад
🎉Wafilp 1:6 Amen 🙏🇹🇿
@josephatmakuka4860
@josephatmakuka4860 2 года назад
Hakika ubarikiwe sana
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 года назад
Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi
@shafiijuma2980
@shafiijuma2980 3 месяца назад
hakika
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 25 дней назад
😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂
@gerfasiamwingira4827
@gerfasiamwingira4827 2 года назад
Kuna kitu kizuri.sana nimekipata hapa kutoka kwa Padre
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 2 года назад
Hamko vizuri kwenye sauti ndugu zangu
@paulmsape163
@paulmsape163 9 месяцев назад
Safi sn mtumishi Mungu akubariki
@wilbrodtungaraza6204
@wilbrodtungaraza6204 6 месяцев назад
Hongera Sana Baba Rimisho
@felisterkokuberwa5783
@felisterkokuberwa5783 2 года назад
Hongera sana fr
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 года назад
Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR
@katambisimon9840
@katambisimon9840 2 года назад
Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge
@andrewmsunga9425
@andrewmsunga9425 2 года назад
Padr namkubali sana,
@valeassenga2958
@valeassenga2958 2 года назад
Duuu hongera sana
@bahatimwakasambala4666
@bahatimwakasambala4666 2 года назад
Safi
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 года назад
Father angeojiwa na Miradi Ayo tungeonjoi sana
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 2 года назад
Hongereni wachaga.Prophesas👌
@erickkalumuna329
@erickkalumuna329 2 года назад
Blessed mind⛪🙏
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
Tunakupongeza sana Padre! 👏 Kabla ya kusomea degree ya kwanza hapo Ardhi University, Padre tayari alisha hitimu degrees mbili. Kwa kufaulu degree yake ya tatu hapo Ardhi University, ina maana sasa ametimiza jumla ya degrees tano! Kweli anastahili pongezi nyingi. Wanafunzi wake watanufaika sana hapo chuoni. NB: Mahojiano haya yangeendeshwa na journalist mzoefu kama Millard Ayo, yangependeza zaidi, ila Padre amejitahidi sana kujibu kila swali kwa ufasaha na uvumilivu.
@adammwita3150
@adammwita3150 2 года назад
Charles Hilal
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
@@adammwita3150 Kweli, Charles Hilary yuko vzuri. Pia Gangana wa TBC anafanya homework kwa umakini. Millard Ayo naye. Nairobi yuko yule kaka mwenye Churchill Show, na pia Jeff Koinange wa Citizen, pamoja na yule kaka mweupe rafiki yake na Jeff. Siku za nyuma CNN walikuwa na dada Christiana Amanpour, alikuwa interviewer moto wa kuotea mbali. Interviewing ni kazi nzito, tusiichukulie poa. Wanaoifanya kwa makini inawabeba.
@frankmsisi149
@frankmsisi149 2 года назад
Kwa kweli, mwandishi wa habari anahitaji ku improve
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
@@frankmsisi149 Ni kweli. Ukiangalia vyombo vya habari vya nje, kila project anatafutwa mdau aliyebobea kwenye maswali husika ndiye aisimamie. Kwa mfano, interview hii haki yake angeiendesha architect au padre au mwanajeshi mstaafu. Hapo ndio utaupata ufanisi wa huduma.
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 года назад
@@adammwita3150 kwa mahojiano, TV interviewer mwingine wa Kenya ni Tony Gachoka. Yuko pia wa kike nikimkumbuka nitamuandika.
@emmadeprincetv6133
@emmadeprincetv6133 2 года назад
Duh uko njema aise dr...💪💪 but hilo vazi la kenya
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Njoo uchukue Mali yenu
@renatusmatungwa6506
@renatusmatungwa6506 2 года назад
Sio vazi tu hata padri huyo ni mkenya ni wa kwenu 😆😆
@mussaandrew2083
@mussaandrew2083 2 года назад
👏🏼👏🏼
@user-lv8on5ou1l
@user-lv8on5ou1l Год назад
Congrats padre
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 2 года назад
Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi
@Swalahudintv
@Swalahudintv 2 года назад
Sahihi kabisa
@florahmsuya8412
@florahmsuya8412 11 месяцев назад
😂😂
@selemansaid9295
@selemansaid9295 Месяц назад
😂😂😂
@selemansaid9295
@selemansaid9295 Месяц назад
Umenifanya Nicheke Sana 🤣
@fadhilapretty5876
@fadhilapretty5876 2 года назад
Jaman , mnataka kibarua cha mwandishi kiote nyasi? ??
@katambisimon9840
@katambisimon9840 2 года назад
😂😂😂😂 Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea.. Shule jamani..shulejamani...
@tumainimoshy207
@tumainimoshy207 2 года назад
Kama kuna namna ameficha mambo. Tuambie tu Padri
@filaretoskimaro3959
@filaretoskimaro3959 2 года назад
Ongera sana fr.mimi karne unanikumbuka?.
@ahmedsultan8561
@ahmedsultan8561 2 года назад
Km ingekua muislam angeitwa gaidi, na ingesemwa vipi mtumishi wa Mungu wapate wafunzo ya kijeshi, nakumbuka wkt wa makamba mkuu wa mkoa kuna watu walikamatwa kwa kufanya mazoezi eneo la msikiti
@denisharris2889
@denisharris2889 2 года назад
@@ahmedsultan8561 Magaidi wote hufanya Mazoezi yao nje ya taasisi kubwa kama Nchi. Hii inaonyesha Uwalakini. Ni sahihi kuhisiwa ni mipango ya ugaidi. Tafakar..
@bernkennedy49
@bernkennedy49 2 года назад
Mwandishi wa habari ovyo sana...yan hauna hata Nidhamu
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 года назад
Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 2 года назад
tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 года назад
@@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika
@stanlaymanya687
@stanlaymanya687 2 года назад
Kweli we jembe mikono enyewe ina sema
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Год назад
Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi
@issaathumani7610
@issaathumani7610 Год назад
@@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.
@kibwetere1418
@kibwetere1418 2 года назад
Hiyo sare ni jeshi la nchi gani
@MBATINOFILMS
@MBATINOFILMS 11 месяцев назад
yes 😋😋😋
@hono1232
@hono1232 2 года назад
Huyu mpuuzi kabisa. Hana maadili na ni dhamu.nenda shule mwandishi
@ambrosromanus9547
@ambrosromanus9547 2 года назад
Catholics waache tu, yaani falsafa plus theology n.k lakini wanyenyekevu unaweza uchukulie poa!! I guess huyu Ni jasusi wetu kabisa
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 года назад
Upo sahihi kabisa. Walio debe tupu ndio wanapiga kelele.
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 2 года назад
Hatari sana hii
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 3 месяца назад
Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..
@laurentkimbatummassy8075
@laurentkimbatummassy8075 2 года назад
Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
It troubled me as well
@silvanusmagwira6162
@silvanusmagwira6162 3 месяца назад
1984 ukitoa 1969 unapata 15 years.
@lastgospel706
@lastgospel706 2 года назад
MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO
@faiditv5535
@faiditv5535 2 года назад
Wanao mfananisha nanabii Tito nawaomba hapa
@johnchuwa2888
@johnchuwa2888 2 года назад
Naweza kupata namba yake?
@umikitira7212
@umikitira7212 2 года назад
Wao uru the best hom
@giztony2009
@giztony2009 3 месяца назад
Aiseee! Huyu mtu nimeshindwa kumuelewa ila siyo kwa nia mbaya
@muirurindichu8192
@muirurindichu8192 2 года назад
Hongera padre.. karibu Kenya
@kulwamwakagali24
@kulwamwakagali24 2 года назад
Muandishi anataka padre rumisha akubali kusema kama yeye ni jasusi..😂😂
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 2 года назад
Safari ndefu sana lakini yenye mafanikio bila kukata tamaa.
@mzazi1467
@mzazi1467 2 года назад
Da mwanahlis jitafakarini asee, mwamtuma mtu akahoji akiri kubwa hivo du! Anahoji kma police du?!
@mzazi1467
@mzazi1467 2 года назад
Mwandishi mbona hujui kuhoji asee😀wahoji kma kma polis.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 2 года назад
Anavaaje sare za jeshi wakati sio mwanajeshi, serikali inabidi ifuatilie hili, lakini pia ingekuaje kama masheikh wangevaa nguo za jeshi na kufanya mazoezi ya kivita kama hivi si wangeitwa magaidi?
@EverythingStan
@EverythingStan 2 года назад
Tusifike uko ndugu zangu, waislamu na wakristo hatuna tofauti sisi ni wamoja ili hali kila mtu ana imani yake na anailinda. Sisi ni wamoja ndugu zangu.
@vhiedkc859
@vhiedkc859 2 года назад
We fala Juma huyu ni mwanajeshi gusa unase Halafu anaenda weka aman Sudan sio hao ma-sheikh (wauni) wanaotaka kuleta vurugu nchini mwetu
@vhiedkc859
@vhiedkc859 2 года назад
Naomba utuonyeshe sheikh aliesoma halafu mwanajeshi tena ana phd halafu lecturer nitajie.
@ombentemba1432
@ombentemba1432 2 года назад
@@salma0000 tuonyeshe shekhe mwenye phd alafu aleenda kuhubiri amani kama siu kivuruga
@ombentemba1432
@ombentemba1432 2 года назад
@@salma0000 nynyi mnacho kifanya nikana kwmba hamkoseagi na hamnanzambi mzungu kila anacho kifanya ninmakosa mmepewa mamlaka ya kuhukumu nakama mungu angewapa nyinyi mamlaka mzungu asinge wazidi akili na mngerimia technolgy yenu sio yake
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 2 года назад
Wemwandishi Huna Hekima wala Huwezi kuhoji watu wa kada fulani foolish and sheme
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 года назад
Kama anahoji mtoto yn, vitu vingi vya maana anauliza upuuzi tu.
@visensiakagombora6260
@visensiakagombora6260 2 года назад
Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 года назад
Hongera kamanda Ila naona mwandishi hayuko deep Yuko to shallow kichwani Kwa maswali anayouliza huyo mwandishi inadhihirisha tz waandishi Sahvi ni weupe
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 года назад
Kuna media zingewah nafac hii interview ingekua impressive zaidi..
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 года назад
@@francomwacha2262 exactly
@adammbarouk4379
@adammbarouk4379 2 года назад
Hadi Sudan Tena? Mmmmh mbona km kivuli cha ......?
@mzazi1467
@mzazi1467 2 года назад
Da nimejaribu kuisikiliza hii interview da nitam lakini hili jiandishi lakera hatarii, mwanahlis mnakera tutawablock mnatuleteaje wandishi mananga haya dah!
@flaviusbenedict7513
@flaviusbenedict7513 2 года назад
Haya mahojiano yamenifundisha uvumilivu hata mtu akikuuliza pumba wewe mjibu vizuri tu. Huyu Padri ni mtu wa kujivunia kwenye nchi yetu. Sijui wenzake alioenda nao Cuba wapo wapi aisee😅 I hope they are doing great. Heshima kwenu
@malakimollel6044
@malakimollel6044 2 года назад
Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana
Далее
🛑 до конца!
00:12
Просмотров 35 тыс.