@RELAXTUBE1362 WACHEZAJI WENYE THAMANI HIYO WAPO ILA TUNA WA DOWNGRADE SISI,NA NINYI SIMBA HUYO FEI ANGEKUWA WENU HATA B5 MNGESEMA ,SI MNAJIFANYA MNA PESA SIMBA JANJA JANJA SANA HUWA HAMLIPI ADA ZA UHAMISHO ESPECIALLY LOCALLY.KUMBUKA KUANZIA AFRICA LYON NA SAMATTA NA HUYO BILLIONEA WENU.
@@proisolution7166 kwa iyo unanunua vitu kwa bei ya juu kwa sababu unahela nyingi au kwa sababu ya thamani kitu icho? ebu tutumie akili zetu japo kidogo tu, ukitumia akii zako kidogo utaona hakuna mchezaji bongo mwenye thamani iyo, tena sio bongo hata east africa hamna, yaani ni mjinga tu ndio anaweza fanya iyo biashara,
Dola laki 5 aliwekewa chama na mo tatizo likaja kwa ule wakati chama alikua ameshasaini mkataba na yanga ndomana momo alisema mchezaji baada ya kuonyeshwa mkataba wenye signing fee dola laki 5 almost kama b 1.3 na mshahara dola elfu 20 ambayo ni kam milion 50 hivi ikabidi akaombe ushauri kwa timu yake ya zamani(simba) hivyo kama angekua aziz ki isingwezekana akaombe ushauri kwa kusaini mkataba mnono kwa team yake ya zamani(asec) ikiwa ni miaka 2 tayar tangu aondoke juu na hapo mshauri mkuu wa aziz ni mama yake na kama ni ushauri aziz angeenda kuomba kwa mama yake na wameamua kusaini ama la pasipo ushauri na ushauri wa team yake ya zamani..
Hata hao waarabu unaosema hawajawahi kununua mchezaji tz kwa ghalama ya USD milioni mbili sasa hivyo hata Fey kununuliwa kwa ghalama hizo haiwezekani maana kwa ghalama hizo unapata akina Fey kumi
Huyu jamaa ni mkweli bana ila tu yeye anaongea nyepesi nyepesi yaani sio rasmi na hulazimishwi kuamini! Juzjuz alisema Moo aliweka b3 kwa azizi Ki lakn kachelewaa maana azizi ameshasaini. Na kweli jana aziz katangazwa! 😂😂😂😂
Badilikeni wasafi acheni kutoa story za uongo ili kumpandisha mmoja na kumshusha mwingine Tutaacha kabisa kuwafatilia mana mmekosa weledi kabisa, mtabaki na timu yenu mnayoipenda
Acha kuisema Simba yetu hivyo balance story zenu,siyo kila cku kuiponda Simba tuu,kama radio yenu Ipo kuiponda Simba semeni ijulikane.Mbona timu pinzani hamzipondi au Kwa sababu bila Simba hamuuzi