Тёмный

TUNASUBIRI SIMU YA BOSS TUU / BOSS ALITAKA KUMWAGA MABILIONI KWA KIJANA /ATAJIWA BEI HASHIKI SIMU 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Спорт

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 62   
@Adrext
@Adrext 19 дней назад
😂😂😂etih nakupigia mpaka Leo hajapiga
@relaxtube1362
@relaxtube1362 19 дней назад
Hakuna mchezaji Bongo ana thamani ya USD mil 5. Feysal is just over hyped, hana maajabu kiivo
@proisolution7166
@proisolution7166 19 дней назад
@RELAXTUBE1362 WACHEZAJI WENYE THAMANI HIYO WAPO ILA TUNA WA DOWNGRADE SISI,NA NINYI SIMBA HUYO FEI ANGEKUWA WENU HATA B5 MNGESEMA ,SI MNAJIFANYA MNA PESA SIMBA JANJA JANJA SANA HUWA HAMLIPI ADA ZA UHAMISHO ESPECIALLY LOCALLY.KUMBUKA KUANZIA AFRICA LYON NA SAMATTA NA HUYO BILLIONEA WENU.
@relaxtube1362
@relaxtube1362 19 дней назад
@@proisolution7166 hayo unayosema wewe ni maneno ya wasemaji tu ila kiukweli hakuna mchezaji Bongo ana thamani hiyo
@maliadii4829
@maliadii4829 19 дней назад
Fei jamani hana jipya kiivo ni mara ngapi anazurura tu uwanjani
@relaxtube1362
@relaxtube1362 19 дней назад
@@maliadii4829 Kama angekuwa mkali kiivo lazma kuna offers nyingi toka nje zingekuja.
@waimani5550
@waimani5550 19 дней назад
@@proisolution7166 kwa iyo unanunua vitu kwa bei ya juu kwa sababu unahela nyingi au kwa sababu ya thamani kitu icho? ebu tutumie akili zetu japo kidogo tu, ukitumia akii zako kidogo utaona hakuna mchezaji bongo mwenye thamani iyo, tena sio bongo hata east africa hamna, yaani ni mjinga tu ndio anaweza fanya iyo biashara,
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 19 дней назад
Hahahahaha 😂😂😂😂 walijifanya Simba wanamtaka Feisal hiyo Ndiyo kiboko Yao nyau hao
@amaniomar1755
@amaniomar1755 19 дней назад
Hizi ni tetesi kama uzipendi kasikilize taarabu
@HappyDominoes-jf1ji
@HappyDominoes-jf1ji 19 дней назад
😂😂😂 au sio
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 19 дней назад
Sahihi kakaa! Mi nazielewa kinoma😂
@bestman8182
@bestman8182 19 дней назад
Hakuna tetesi hapo ni udaku na uchawa, subiri Crown wamekuja wawanyooshe
@user-xu4rq4el4q
@user-xu4rq4el4q 19 дней назад
ahhahaahaha MOMO bhana acha mambo yako MOMO
@angeljosephatvenancea5699
@angeljosephatvenancea5699 19 дней назад
We MoMo muongo sana, we si ulisema Aziz K yupo Misri tayari na tajiri kaishatema mzigo?!
@Rodgers_01
@Rodgers_01 19 дней назад
Dola laki 5 aliwekewa chama na mo tatizo likaja kwa ule wakati chama alikua ameshasaini mkataba na yanga ndomana momo alisema mchezaji baada ya kuonyeshwa mkataba wenye signing fee dola laki 5 almost kama b 1.3 na mshahara dola elfu 20 ambayo ni kam milion 50 hivi ikabidi akaombe ushauri kwa timu yake ya zamani(simba) hivyo kama angekua aziz ki isingwezekana akaombe ushauri kwa kusaini mkataba mnono kwa team yake ya zamani(asec) ikiwa ni miaka 2 tayar tangu aondoke juu na hapo mshauri mkuu wa aziz ni mama yake na kama ni ushauri aziz angeenda kuomba kwa mama yake na wameamua kusaini ama la pasipo ushauri na ushauri wa team yake ya zamani..
@frank18112
@frank18112 19 дней назад
HIZI TAARIFA HUWA UNAZIPATA WAPI AU UNAPEWA NA NANI...??
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 19 дней назад
Muongo huyu juz kaseama k hajasain wakat tu najua amesain na ndo ipo hivo
@mbaroukrashid6201
@mbaroukrashid6201 19 дней назад
Walisema wanataka dola laki tano tu kwa simba jamaa wakasema Sawa mara Tajiri yussuf akakataa
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 19 дней назад
Momo sahii ushakua muogo 😂😂😂😂😂b.3 zimenda wapi
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 19 дней назад
Muogo?😂😂😂😂
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 19 дней назад
@@user-uj5wg9mm2t muhimu umeelewa 😄 🤣 😂
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 19 дней назад
Simba hao wamemshindwa Feisali Dola 500 mchezo😂😂😂😂
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 19 дней назад
Siku hiz muongo sana
@davidsuleman233
@davidsuleman233 19 дней назад
Jana tu katudanganya aziz hajasaini na mo kamwekea $laki tano na badae aziz kathibitisha kusain yanga
@shukurusaria8527
@shukurusaria8527 19 дней назад
​@@davidsuleman233Labda kama hukumuelewa mzee rudia Tena kuangalia
@josephmabula9658
@josephmabula9658 19 дней назад
Momoooo
@MuhammadNasir-ln1xe
@MuhammadNasir-ln1xe 19 дней назад
Momo muongo bwana
@thejoeclassicsoldier
@thejoeclassicsoldier 16 дней назад
Haya mkamchukueee
@THADEOCHUNDU-eu3ez
@THADEOCHUNDU-eu3ez 14 дней назад
Na wenyewe wakitaka mchezaji?
@bestman8182
@bestman8182 19 дней назад
Wana Simba muwe makini na hawa chawa, wanatumika kuanzisha story za uongo ili kuipaisha Uto. Mfano mzuri ni hii ishu ya Ki.
@user-hh5tp2wr7s
@user-hh5tp2wr7s 19 дней назад
Pesa awana
@user-zj2gc2zj2c
@user-zj2gc2zj2c 19 дней назад
Hata hao waarabu unaosema hawajawahi kununua mchezaji tz kwa ghalama ya USD milioni mbili sasa hivyo hata Fey kununuliwa kwa ghalama hizo haiwezekani maana kwa ghalama hizo unapata akina Fey kumi
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 19 дней назад
Juzi umesema hamna habari km hizo ni uzushi tu leo tena umekuja na mpya tena
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 19 дней назад
Huyu jamaa ni mkweli bana ila tu yeye anaongea nyepesi nyepesi yaani sio rasmi na hulazimishwi kuamini! Juzjuz alisema Moo aliweka b3 kwa azizi Ki lakn kachelewaa maana azizi ameshasaini. Na kweli jana aziz katangazwa! 😂😂😂😂
@user-lr2ff5mp5t
@user-lr2ff5mp5t 19 дней назад
Akuna mcheza wa samani ihii momo kwa tanzania yenu wamefanya kwa kutk to kuwakomoa ila wakt ukifk tuta ona km abaki
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 19 дней назад
Ukiona mtu anaisema vibaya cmba ujue anaipenda story hazinogi ya kuitaja cmba wenyew wako misri wako bize na mambo yao
@MugireMagesa
@MugireMagesa 19 дней назад
Makolo kumtaka fei
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 19 дней назад
Gadi sasa hajapiga
@silvamtaturu4489
@silvamtaturu4489 19 дней назад
Badilikeni wasafi acheni kutoa story za uongo ili kumpandisha mmoja na kumshusha mwingine Tutaacha kabisa kuwafatilia mana mmekosa weledi kabisa, mtabaki na timu yenu mnayoipenda
@Stevmwamba2090
@Stevmwamba2090 18 дней назад
Tumia umoja kaka,,, sema nitaacha sio tutaacha😂😂
@juliusmsegu3347
@juliusmsegu3347 19 дней назад
Wajinga ni sisi tunaotazama uongo kila siku ilhali tukijua ni uongo.
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 19 дней назад
Wala sio uongo wewe ndio unahisi uongo 😅😅
@musamagulu2023
@musamagulu2023 19 дней назад
Mjinga ni wewe,hukulazimishwa kutazama
@hajisadiki4230
@hajisadiki4230 17 дней назад
Hiyo niyakwel moo kazima cm ili uamin zle kelele feisal anakuja simba zimeishia wap moo mbuz tu feisal anamikataba miwili yanga na azam
@sakaraboy8951
@sakaraboy8951 17 дней назад
Sio sisi wajingaaa... SEMA wew mwenyewe ndio........ 😂
@nyangosaid8430
@nyangosaid8430 16 дней назад
We ndo mjinga sio sisi kwani ayo mambo ayafanyiki kwenye hi dunia
@AminaAlmasi
@AminaAlmasi 19 дней назад
Muongo sana
@georgenachenga6394
@georgenachenga6394 19 дней назад
😂😂😂😂
@SylivesterKilunga
@SylivesterKilunga 19 дней назад
Ujinga wa kutotaka vijana wetu wasonge mbele
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 19 дней назад
Acha kuisema Simba yetu hivyo balance story zenu,siyo kila cku kuiponda Simba tuu,kama radio yenu Ipo kuiponda Simba semeni ijulikane.Mbona timu pinzani hamzipondi au Kwa sababu bila Simba hamuuzi
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f 19 дней назад
Hahaha susa unasusa susa😂😂😂😂
@IdrisaAbdallah-pf4mw
@IdrisaAbdallah-pf4mw 19 дней назад
Kwn kaitaja timu hapo😂
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 19 дней назад
Kwanza hajataja Timu kingine hayo makasiliko sio mahala pake hapa
@titobernard383
@titobernard383 19 дней назад
@@SalvatoryMbigili-m2f😂😂😂
@aminaomari2312
@aminaomari2312 18 дней назад
Huyo momo ni simba damu kabisa
@GillahRamadhani
@GillahRamadhani 19 дней назад
Subiri nakupigia
@abdulseif4093
@abdulseif4093 19 дней назад
𝙃𝙪𝙮𝙪 𝙟𝙖𝙢𝙖𝙖 𝙣𝙞 𝙢𝙣𝙜𝙚𝙨𝙚 𝙢𝙣𝙜𝙚𝙨𝙚 𝙩𝙪 𝙝𝙖𝙢𝙣𝙖 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙩𝙖𝙖𝙧𝙞𝙛𝙖 1 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖..
Далее
YANGA KWA USAJILI HUU WASHANGILIA KOMBE MAPEMA
1:26
Просмотров 1,9 тыс.
ЭТОТ ПЕНЁК ИЗ PLANTS VS ZOMBIES - ИМБА!
00:48
ВОТ ЧТО МЫ КУПИЛИ НА ALIEXPRESS
09:35
кукинг с Даниилом 🥸
01:00
Просмотров 378 тыс.
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Просмотров 24 тыс.
KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA
21:57
ОБХИТРИЛ NIKE НА 3,5 МЛН $🏅
0:48
Просмотров 26 млн