Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Sadaam anauza butcher Mombasa mtaan kwetu tajiri flani sahi kafilisika baada yakukosa ubunge tunda nakumbuka hyo siku ukija nlikuwa ulikuwa umevaa flana nyeupe na jeans ya red 😂
Tunda yuko real sana. Nimekuja ku-learn recently kuwa nyimbo ya "Still" alioimba Dre na Snoopy" iliandikwa na Jay Z, kuandika pia ni sanaa kama wasanii wenyewe, we got to change.
Mbona tonya alikuwa anamwangushia diamond lawama kabeba nyota kumbe ndo tunagundua wasanii wengi kupotea kumechangiwa na kujua kuimba ila hawakuwa na idea waimbe nn na uwandishi*bongo watu hawapendi kuheshim wa2 walio wabeba
One thing hamjawahi jua nyimbo za kisomali kabla uimbe wataja mwandishi kwa 🎤 ndio unaimba vizuri naye anapata credit yake 😂😂😂😂😂😂 enyewe tonya ni mbaya