@Enock Katondo hivi ni nani ambaye akipigwa risasi ataendelea kuongea kwa kumdhania ni mtu fulani kanifanyia hivyo na akatamka hadharani kama yy? Na wala haongeia kwa hasira, nadhani umesahau ongea yake hata kabla ya kupigwa risasi. Hajabadilika kitu ktk uongeaji wake
We unasema hapewii, ebu fikiria uongozi mzurii n kujaribu kumuua mtu au n kuongoza taifa? Ata hasiposhinda ila Mungu atalipiza kisasi aliyesababisha lifo chake.
Mungu akulinde, na kweli mwisho wa siku zile riport zote za madini zilikuwa matango pori anaowaita Mabeberu walimnyosha mchana kweupe na hawakulipa hizo trilion 425
Huyo lisu hana hoja zaid ya office zinazo chomwa na lisasi 16 mbona majumbani kwetu tunamatatizo mengi tunashindwa kutatua hata Yesu alisema tajili atakuwepo pia maskini naye atakuwepo lisu ninani kwamungu atakaye maliza shida za watanzania please jamani punguzeni upofu pia uziwi chema lazima kipingwe na waovu
500 GTS 😂😂 Ule mkeka wenu mlioweka “ katumwa na mabeberu “ ushaharibika ❌❌ Iyo ya ushoga utakuja tu Mwaka huu wajinga kama nyie ambao ni mitaji ya kura za Ccm mtapata akili tu Mtake msitake akili itakuja
Mwanadamu hawezi kumwaga damu yake mwingine akakombolewa au damu nyingine yeyote ni yesu tu aliyenifia msalabani akanikomboa siyo mwanadamu nooo big noo
The Genius,Taifa linakuhitaji sana,ulipona ili uje kutukomboa kwenye nchi inayojiita ya Amani kumbe ni nchi yawaoga tunaomuliwa yale amabayo hatujayaamua sisi...NOW IS END!OVER!!!!....✌✌✌
Ww tulia ss hpo kaongea nn had mtu mzima unaropoka kuwa itajamba ? Yaan hyo ng'ombe haina cha kuongea ss kma hyo anagkmbea ubunge kupitia ccm yey inamuuma nn
WEWE MWENYEWE ULIMWITA LOWASSA FISADI KTK LIST OF SHAME PALE MWEMBE YANGA LAKINI UKAWA WA KWANZA KUMTETEA KUGOMBEA URAISI. Mwanasheria gani Anatoa mashtaka asiyokuwA na uhakika nayo??
mmekwisha ccm kama tu lowasa fisadi aliwashusha % mkaambulia 52 je mbeba maono wa Mungu Huyu ambaye akiongea watanzania tunafurahi na kulizika si atawashusha mpaka % 8 kweli ccm kwisha kwisha kwisha kabisaa
Mbona huongelei 10% uliyokuwa unachukua acacia! Acha hizo! Watanzania wa miaka 10 iliyopita si wa sasa.Umekuwa Na chuki Na magufuli kwa sababu ya mrija uliokuwa unaunyonya kwenye madini umekata.Magufuli oyeeeeeee! CCM oyeeeeee
Kama ni zauongo Magufuli anaweza kwenda mahakamani au mawakili wake haiwezekani zikawa zauongo kisha anayeambiwa anyamaze,mimi naona aongee ili hasira ziishe.
@@habibumdetele6530 ndugu kuna vitu vingine havina hata maana kwa mfano inajulikana kabisa mheshimiwa mbowe alikuwa amelewa! Mpaka inasemekana Dr aliyemuhudumia alikiri kuwa alikuwa amelewa,iwaje bado lisu anasema kuwa kapigwa?Hiyo Ni kupotosha umma wa watanzania.Nia ya uongozi Bora ni kupatanisha watu sio kueneza sera za chuki.
Hatuhitaj kuwekewa na ww TUNAJIELEWA WATANZANIA na hiyo HOTUBA ni kweli tumeifuatilia na tunaifahamu# ww mtoto wa shetani utuache maana yy ni baba wa huo UONGO;....!!! Rais mtarajiwa mh. TUNDU LISSU (Mbeba MAONO) ATABAKI KUWA JUU TU,, ANAYEPIGANA NAYE ATAPIGWA NA MUNGU....!!! VIVA LISSU VIVA....!!!
mna tudhulumu saana raia kuto tuwekea hotuba kamili tuna ulazima wa kumskiliza mkimbozi wa taifa fanyeni mikakati ya kueka maudhui kamili tumskilize haya ndio mambo ya msingi na muhimu ndio mustakabali wa maisha ya kesho .kama hamna bando fanyeni hata mchango tutajitolea
Tuna watu wengi wenye uwezo wa kuwa raisi na wasomi wenye kujua sheria sio kuburuzwa kama mzoga wa fisi chukuwa mdaa kutafakari miaka 50 ya uhuru mpaka leo tuko wapi ?
Kwa kweli ulipata taabu usiseme magufur ndy aliyetuma hayo majambazi una ushahidi gani pole sana ukiendelea kuwaambia watu matatizo yako wanaweza wasikupe kura watu siyo wenzio acha kukaa unajadili yanayokuhusu maana ni heri kukaaa unanena yako jina la magufuli unalutanganza kila uendapo hivyo atakushinda kwa kishindo kikubwa mpaka utajishangaa pole sana
wajumbe mlio elewana ni wewe na mkeo kama unaye lakini watanzani % 73 tunampigia kura tundu lisu nyie wajumbe tuna wachia hizo % 22 wengine wanagawana % 5 iliyo baki